MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,545
- 11,660
Elimu Kuu ya kwanza ni Kujitambua, "Ni afadhali anayekaa nyumbani akajifunza anachokipenda alafu akabuni kitu kupitia Hicho kuliko anayeenda chuo, alafu anakuwa anasifia chuo alichopo bila kufaidika na Lengo la kuwa Pale." Swala St. Joseph kupewa GPA ili waajirike ni tatizo ambalo Hata vyuo kama UDSM au DIT au UDOM lipo kwa namna nyingine, ambayo matokeo yake ni wanafunzi kutokuweza Kuwa Competent kwenye Ubunifu na Watu wengine waliokuwa na Wanajifunza wenyewe kwa Muda Mrefu.