St Joseph ni jipu

St Joseph ni jipu

Leo ndo nineamini prof ndalichako na yeye ni jipu haiwezekani apewe walaka ulioandaliwa na serikali ya wanafunzi na kuusoma in two days ndani kukiwa na matatizo yote yanawakabili wanafunzi afu anafika chuoni anaanza kuwasikiliza wahindi badala ya serikali ya wanafunzi na ilipofika zamu ya serikali ya wanafunzi kuzungumzia matatizo yanayowakabili anamnyang'anya raisi wa chuo kipaza sauti kwamba asiongee vitu ambavyo havijaongelewa na huku vyote vipo kwenye ule walaka ulioandaliwa na yeye kupewa na sijaona umuhimu wake wa kuja chuoni maana hakuna hata kitu kimoja alichotatua afadhali angebaki hukohuko hata asije..!!
 
Leo ndo nineamini prof ndalichako na yeye ni jipu haiwezekani apewe walaka ulioandaliwa na serikali ya wanafunzi na kuusoma in two days ndani kukiwa na matatizo yote yanawakabili wanafunzi afu anafika chuoni anaanza kuwasikiliza wahindi badala ya serikali ya wanafunzi na ilipofika zamu ya serikali ya wanafunzi kuzungumzia matatizo yanayowakabili anamnyang'anya raisi wa chuo kipaza sauti kwamba asiongee vitu ambavyo havijaongelewa na huku vyote vipo kwenye ule walaka ulioandaliwa na yeye kupewa na sijaona umuhimu wake wa kuja chuoni maana hakuna hata kitu kimoja alichotatua afadhali angebaki hukohuko hata asije..!!
Wapo watu wanaoongea na kutetea vitu wasivyo vijua.Mpaka mtu anafikia hatua ya kugoma na kuponda chuo anachosomea basi ijulikane kuwa haridhishwi na baadhi ya upuuzi unaoendelea chuoni.Na pia naamini matatizo yetu yatatatuliwa na wanafunzi husika na si vinginevyo.

Mtu anakwambia usilinganishe na vyuo vya serikali kwa ubora wa huduma wakati tunalipa ada kubwa kuliko vyuo vingine vya engineering.
 
Mjomba mi sio mgeni kwenye enginering kabla nilisoma diploma ya umeme na nilifanya practical heavy mpaka leo naenjoy life kwa ile diploma yangu ya ATC! Huwezi kutetea upuuzi wa wahindi wa kucopy everything from Anna University. Na chaajabu huoni huyu aliyeweka huu uzi kuwa ni mwanafunz wa hicho chuo!? Hujiulizi analalamikia nini!? Ok labda wewe ulisoma pale wakati chuo kinaanza ambapo atleast kulikuwa na lecturers wa kutosha lakini from 2013 hadi leo kile chuo ni zaidi ya JIPU
Wengine wanafundisha hapo hapo chuo kikitumbuliwa ajira inakufa,
 
Leo ndo nineamini prof ndalichako na yeye ni jipu haiwezekani apewe walaka ulioandaliwa na serikali ya wanafunzi na kuusoma in two days ndani kukiwa na matatizo yote yanawakabili wanafunzi afu anafika chuoni anaanza kuwasikiliza wahindi badala ya serikali ya wanafunzi na ilipofika zamu ya serikali ya wanafunzi kuzungumzia matatizo yanayowakabili anamnyang'anya raisi wa chuo kipaza sauti kwamba asiongee vitu ambavyo havijaongelewa na huku vyote vipo kwenye ule walaka ulioandaliwa na yeye kupewa na sijaona umuhimu wake wa kuja chuoni maana hakuna hata kitu kimoja alichotatua afadhali angebaki hukohuko hata asije..!!

Aisee kama wadaiji wenyewe wa haki ndiyo nyie.? Basi hiyo haki kama ipo hamuwezi kuipata. hapa tuu mnashindwa kujielezea nini tatizo linalowasibu hapo chuoni kwenu. Hivi ulitegemea kuwa aje awasikilize nyinyi ama afikie kwenu moja kwa moja pasipo kwenda kwa uongozi kwanza ambao ndo wenye eneo ili uongozi utambue uwepo wake (Kumbuka yule ni waziri, Anything happens to her katika premises husika muhusika wa premises anakuwa answerable kwa serikali ya JMT).

Nyinyi hapo ni wanafunzi tuu. Hizo premises ni za hao wenye chuo, Hiyo ni logic tuu ya kawaida. haiitaji uchore truth table ili utambue kuwa hayo aliyoyafanya waziri whether ni Tautology ama Falacy. Hivi hata wewe unaweza kwenda eneo/ Nyumba ya watu ukafika na kuanza tuu kuongea na watoto pasipo kuonana na Baba/Mama mwenye nyumba.? Ama mlitegemea atoe hukumu kwa kubase upande mmoja wa madai pasipo kusikiza upande mwingine wa madai.? Uliona wapi mambo/ Migogoro inatatuliwa kinamna hiyo.?

Na hivi hamjiulizi kwa nini pamoja na kumkabidhi waraka wenye madai yenu, Stil hajayatilia maanani na kutaka kusikiza upande wa pili.? Ni kwamba mengi ya hayo malalamiko yenu hayaingii akilini, kwa mtu anayefikiria sawasawa. Same as i am telling you guys katika post zangu, katika uzi huu.

Reminding you guys, In a long run You ( Students ) ndo mtakuwa loosers wa hicho mlichokianzisha.
 
KALINZI NYUMBANI na Planett, hamjawa objective sana katika article yenu hii ila mnakuwa mpo specific na malengo yenu.Unataka utofautishaje practicle ya degree na diploma,ukibanwa hili unarukia jingine.Nakielewa sana hicho chuo na jinsi kinavyobana wanafunzi,hamtaki hilo.Umeulizwa wanafunzi wengi wa St.Joseph wameajirika katika viwanda vingi,kwanini iwe hivyo sababu unazozitoa ni tofauti na hii article yenu.Ukanda huu ni kazi sana kwa vyuo kujitosheleza kila kitu.Matatizo ya msingi komaeni yarekebishwe ila sio huu ujinga mnaou-circulate ili chuo kizima kionekane si lolote si chochote wakati ukija soko la ajira it look different.
 
KALINZI NYUMBANI na Planett, hamjawa objective sana katika article yenu hii ila mnakuwa mpo specific na malengo yenu.Unataka utofautishaje practicle ya degree na diploma,ukibanwa hili unarukia jingine.Nakielewa sana hicho chuo na jinsi kinavyobana wanafunzi,hamtaki hilo.Umeulizwa wanafunzi wengi wa St.Joseph wameajirika katika viwanda vingi,kwanini iwe hivyo sababu unazozitoa ni tofauti na hii article yenu.Ukanda huu ni kazi sana kwa vyuo kujitosheleza kila kitu.Matatizo ya msingi komaeni yarekebishwe ila sio huu ujinga mnaou-circulate ili chuo kizima kionekane si lolote si chochote wakati ukija soko la ajira it look different.

Hawa Madogo mob saikoloji inawasumbua. Hicho walichokianzisha, Kitawatafuna wenyewe hata kama siyo leo basi miaka ijayo. Hichi wanachofanya ni kutafuta sympath ya jamii Kwa matatizo yao wenyewe.
 
Aisee kama wadaiji wenyewe wa haki ndiyo nyie.? Basi hiyo haki kama ipo hamuwezi kuipata. hapa tuu mnashindwa kujielezea nini tatizo linalowasibu hapo chuoni kwenu. Hivi ulitegemea kuwa aje awasikilize nyinyi ama afikie kwenu moja kwa moja pasipo kwenda kwa uongozi kwanza ambao ndo wenye eneo ili uongozi utambue uwepo wake (Kumbuka yule ni waziri, Anything happens to her katika premises husika muhusika wa premises anakuwa answerable kwa serikali ya JMT).

Nyinyi hapo ni wanafunzi tuu. Hizo premises ni za hao wenye chuo, Hiyo ni logic tuu ya kawaida. haiitaji uchore truth table ili utambue kuwa hayo aliyoyafanya waziri whether ni Tautology ama Falacy. Hivi hata wewe unaweza kwenda eneo/ Nyumba ya watu ukafika na kuanza tuu kuongea na watoto pasipo kuonana na Baba/Mama mwenye nyumba.? Ama mlitegemea atoe hukumu kwa kubase upande mmoja wa madai pasipo kusikiza upande mwingine wa madai.? Uliona wapi mambo/ Migogoro inatatuliwa kinamna hiyo.?

Na hivi hamjiulizi kwa nini pamoja na kumkabidhi waraka wenye madai yenu, Stil hajayatilia maanani na kutaka kusikiza upande wa pili.? Ni kwamba mengi ya hayo malalamiko yenu hayaingii akilini, kwa mtu anayefikiria sawasawa.
Back to the topic mkuu,naona umeanza kukimbia mambo ya kitaaluma uliyokuwa unasifia kuwa wapo sawa.Pia lazima uelewe waziri kasemaje,waziri katoa time limit ya madai yetu yawe yamefanyiwa kazi na uongozi wa chuo.Waziri kaagiza tcu wakae na chuo waangalie namna yakushusha ada.Waziri kadai lazima ahadi ya kuwapeleka hao wanafunzi wa mechanical viwandani ifanyike.Waziri kadai lazima recturers wanaofundishwa wafanyiwe uchunguzi tena na tcu.

Waziri kadai hakufahamu kama chuo kinatoa degree ya ualimu,waziri kadai wanafunzi(uongozi) uandike tena malalamiko ambayo anahisi wameyasahau wampelekee wizarani.Lakini kaasa tu wanafunzi waendelee na mitihani baada ya hapo watakaporudi chuoni waangalie kama baadhi ya malalamiko yao yatakuwa bado hayajatekelezwa au tayali.

Wanafunzi walitaka chuo kifungwe kwa muda,baada ya marekebisho hayo ndio warudi chuoni na mpaka sasa kikao kinaendelea kati ya viongozi na manegement ya chuo kuona nimna gani watamaliza matatizo hayo.Hapa ndipo wanaona waziri hajafanya vizuri.

Back to the point chuo kina mapungufu mengi ndio hoja ya msingi,tujadili juu ya haya mapungufu na sio kukimbia mada.
 
Hawa Madogo mob saikoloji inawasumbua. Hicho walichokianzisha, Kitawatafuna wenyewe hata kama siyo leo basi miaka ijayo. Hichi wanachofanya ni kutafuta sympath ya jamii Kwa matatizo yao wenyewe.
Hakuna huruma inayotafutwa hapa mkuu,suala ni maboresho yafanyike na marekebisho pia.Hatuwezi kaa kimya kisa tunaogopa kutafunwa watu tume invest pesa zetu na wengine loan hatulipiwi so lazima tunachotoa kiwe saw.a na tunachopata
 
KALINZI NYUMBANI na Planett, hamjawa objective sana katika article yenu hii ila mnakuwa mpo specific na malengo yenu.Unataka utofautishaje practicle ya degree na diploma,ukibanwa hili unarukia jingine.Nakielewa sana hicho chuo na jinsi kinavyobana wanafunzi,hamtaki hilo.Umeulizwa wanafunzi wengi wa St.Joseph wameajirika katika viwanda vingi,kwanini iwe hivyo sababu unazozitoa ni tofauti na hii article yenu.Ukanda huu ni kazi sana kwa vyuo kujitosheleza kila kitu.Matatizo ya msingi komaeni yarekebishwe ila sio huu ujinga mnaou-circulate ili chuo kizima kionekane si lolote si chochote wakati ukija soko la ajira it look different.
Mkuu labda ungeleta ushahidi wa hizo ajira unazosema ili tupate uhakika,Kama kuna baadhi ya watu wanaenda field wanakataliwa kisa wametoka st joseph,mfano watu walio enda Tanga Siment,walionda TTCL huko kote wanakataa kisa umetoka st joe.Kwa ujumla nyie mnazungumzia st joe ya 2013 kushuka chini ambayo walikuwa na wakatoliki wanashirikiana nao lakini sio hii ya sasa.
 
Back to the topic mkuu,naona umeanza kukimbia mambo ya kitaaluma uliyokuwa unasifia kuwa wapo sawa.Pia lazima uelewe waziri kasemaje,waziri katoa time limit ya madai yetu yawe yamefanyiwa kazi na uongozi wa chuo.Waziri kaagiza tcu wakae na chuo waangalie namna yakushusha ada.Waziri kadai lazima ahadi ya kuwapeleka hao wanafunzi wa mechanical viwandani ifanyike.Waziri kadai lazima recturers wanaofundishwa wafanyiwe uchunguzi tena na tcu.

Waziri kadai hakufahamu kama chuo kinatoa degree ya ualimu,waziri kadai wanafunzi(uongozi) uandike tena malalamiko ambayo anahisi wameyasahau wampelekee wizarani.Lakini kaasa tu wanafunzi waendelee na mitihani baada ya hapo watakaporudi chuoni waangalie kama baadhi ya malalamiko yao yatakuwa bado hayajatekelezwa au tayali.

Wanafunzi walitaka chuo kifungwe kwa muda,baada ya marekebisho hayo ndio warudi chuoni na mpaka sasa kikao kinaendelea kati ya viongozi na manegement ya chuo kuona nimna gani watamaliza matatizo hayo.Hapa ndipo wanaona waziri hajafanya vizuri.

Back to the point chuo kina mapungufu mengi ndio hoja ya msingi,tujadili juu ya haya mapungufu na sio kukimbia mada.

Hakuna aliyetoka nje ya mada. post zangu zote nimejibu kadri ya nilivyotakiwa kujibu.

Haya unaona sasa.? Jinsi mnavyowasilisha taarifa ndivyo hivyo mambo yanavyochukuliwa. Hebu pitia kwanza post ya mwanafunzi mwenzako mkurya org huko juu namna alivyosema. Nami nilikuwa nawajibu kutokana na mnachokiandika na kukiwasilisha. Hatuwezi fahamu hayo matatizo kama uwasilishaji wenyewe wa matatizo ndo huo mliokuwa mnafanya hapa jukwaani

Siku zote stick katika facts bro usipayukepayuke bila facts. Fanyia kazi data ulizonazo mezani, Act accordingly. That is how life of an engineer should be. Achaneni na guess works.
 
Hakuna aliyetoka nje ya mada. post zangu zote nimejibu kadri ya nilivyotakiwa kujibu.

Haya unaona sasa.? Jinsi mnavyowasilisha taarifa ndivyo hivyo mambo yanavyochukuliwa. Hebu pitia kwanza post ya mwanafunzi mwenzako mkurya org huko juu namna alivyosema. Nami nilikuwa nawajibu kutokana na mnachokiandika na kukiwasilisha. Hatuwezi fahamu hayo matatizo kama uwasilishaji wenyewe wa matatizo ndo huo mliokuwa mnafanya hapa jukwaani

Siku zote stick katika facts bro usipayukepayuke bila facts. Fanyia kazi data ulizonazo mezani, Act accordingly. That is how life of an engineer should be. Achaneni na guess works.
Sioni hoja hapa uliyoleta katika post hii.
 
Back to the point chuo kina mapungufu mengi ndio hoja ya msingi,tujadili juu ya haya mapungufu na sio kukimbia mada.
Waziri amewaambia kama kuna matatizo mengine mmeyasahau myaorodheshe kisha myapeleke ofisini mwake.Hayo mengine ametoa order hao wahadhiri waangaliwe ubora wao kupitia TCU na chuo kitatue changamoto zinazokikabili.Sio kila tatizo linatatuliwa mda huo huo eti ukiamka kesho asubuhi tatizo limeondoka.Wametoa mda,lindeni mda then ulizeni walipofikia hapo mda ukifika mengine mtayaona direct wala haitahitaji kuandamana.Degree na elimu ya kuendelea sio kwenda kusoma tu na kurudi,then useme nimeenda kuchukua degree...kuna angle nyingu zitakusumbua.Elimu ya juu Inahangaikiwa kweli kweli sio mziki wa kitoto.Someni acheni utoto.
 
Waziri amewaambia kama kuna matatizo mengine mmeyasahau myaorodheshe kisha myapeleke ofisini mwake.Hayo mengine ametoa order hao wahadhiri waangaliwe ubora wao kupitia TCU na chuo kitatue changamoto zinazokikabili.Sio kila tatizo linatatuliwa mda huo huo eti ukiamka kesho asubuhi tatizo limeondoka.Wametoa mda,lindeni mda then ulizeni walipofikia hapo mda ukifika mengine mtayaona direct wala haitahitaji kuandamana.Degree na elimu ya kuendelea sio kwenda kusoma tu na kurudi,then useme nimeenda kuchukua degree...kuna angle nyingu zitakusumbua.Elimu ya juu Inahangaikiwa kweli kweli sio mziki wa kitoto.Someni acheni utoto.
Mkuu umeandika mengi tena ya msingi.But unadai tusome tuache utoto,utoto ni upi?,kudai haki zetu ndio utoto?.Kama ni hivyo basi hakika mimi sintokuwa maana huwa sivumilii kuona haki yangu inapokonywa.Hali yakuwa nikiwa na deni la sh 400 nazuiliwa nisanye UE.
 
Hawa Madogo mob saikoloji inawasumbua. Hicho walichokianzisha, Kitawatafuna wenyewe hata kama siyo leo basi miaka ijayo. Hichi wanachofanya ni kutafuta sympath ya jamii Kwa matatizo yao wenyewe.
Wanafikiri wanaenda chuo,unasoma,unafanya mtihani unapewa matokeo then unasubiri semester nyingine.Kuna mahangaiko mengi sana vyuoni humo,sio lelemama maana mengi pia utakutana nayo in real life,iwe ofisini au mtaani.Sio kama vile umetoka shule unalelewa kwa utaratibu,unapewa asubuhi mayai,umepangiwa ratiba we ni kusoma tu nakusubiri ku-perfom "A" au "B" Hivi vyuo vyetu vinatu-shape ubongo wetu lakini pia nao tunawa-shape katika mambo kadhaa ila kwa uangalifu isije ikawa kama wale wanafunzi kipindi chs Mwinyi pale UDSM waliomchora Rais Mwinyi hadi leo wengine hawaeleweki mtaani kuwa hata hiyo form VI walifika.
 
Pindi unapoandika anza na herufi kubwa pia mwisho wa maandishi yako weka nukta(kituo).
ndiyo wahindi wa st jose wanachowafundisha hicho basi....mwaka mzima unajua kuanza na herufi kubwa na kumalizia na nukta...shenz** kabisa
 
Back
Top Bottom