Watoto wa sasa hivi wanaakili kuliko watoto wa zamani huo ndo ukweliElimu ya siku hizi imekuwa mdebwedo sana! Ukitaka kujua hili waulize walimu wa vyuo na waajiri. Binafsi sio Mara moja nimewafanyia interview vijana kwenye mambo ya kazi na naishia kusikitika jinsi uelewa wao ulivyo wa mashaka.
ππOne man down!!!!Watoto wa sasa hivi wanaakili kuliko watoto wa zamani huo ndo ukweli
Hata mama yake alivokua anaongea ulisikia vileeee?yaan full comedy khaaah
Labda mhusika anamfahamu vizuri huyo mama.Alafu mama ake clouds hata hajataja status yake kuwa ni mhadhiri
Labda mhusika anamfahamu vizuri huyo mama.
Hivi ukiwa mwongo unapata faida gani?Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......
Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....
Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...
Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....
Niamaini Mimi haya nayoyasema
Watoto wa sasa hivi wanaakili kuliko watoto wa zamani huo ndo ukweli
Safi Sana Mkuu.Umemuondolea mashaka jamaa yetu.Yeah ni mhadhiri wa chuo kafundisha udsm, Jordan morogoro, St John tawi la dsm na Sasa yupo mwalim Nyerere Memorial.
ππππUfaulu wa darasa la nne, kidato cha pili na nne umepaishwa ili kuwafurahisha wapiga kura; ushahidi huu hapa
Watanzania tumerogwa; yaani tunafurahia matokeo feki huku elimu yetu ikizidi kushuka kila mwaka. Aliyeturoga kafa. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya matokeo ya darasa la nne (SFNA), kidato cha pili (FTNA) na kidato cha nne (CSEE) kutolewa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) hivi karibuni na...www.jamiiforums.com
Iyo haisaidii kitu,Baraza la mitihani lijitadhini upya. Waepuke mitihani ya multiple choice haraka iwezekanavyo.
Ni mwaka mmoja tu 1997 ambao St. Francis walikuwa nje ya kumi bora tangu shule ianzishwe. Na mwaka huo ndiyo ilikuwa form four ya kwanza na hapo walikuwa wa 17 kitaifa.Record yao haikuwa nzuri miaka ya tisini tu.
Nimekumbuka nilipatwa na maradhi ya ajabu mwaka jana,, nilikua nawashwa mwili mzima yaan nilikua najikuna balaa kahosptal fulan akanipima damu akasema eti una infections !!! Nikamuuuliza tatizo ni nn hasa maana nateseka? akasema takuandikia tu dawa uchukue hapo nje pharmacy utumie utapona.. nilivoskia sikia hivo nikamwambia haya alivonipa karatas hata pharmacy sikukwenda ..Maswali mepesi lakini mbona wanafunzi wengine kule Kazulamimba wanafeli? Hawa watoe strategies tujue wengine waige vipi. Inaniuma kuona karne hii wanafunzi wanashindwa kufaulu hata kidato cha nne. Kuna jamaa yangu alifeli form 2 nilisoma name shule moja ya ajabu ajabu uko. Juzi akanambia eti daktari alivyompima akamwambia anaumwa ugonjwa unaitwa "INFECTIONS", nikamuuliza mara mbili na akasisitiza sana.
Sasa taifa linakuwa na watu wa hivi hata kutumia mbolea shambani hawataweza, lishe kwa watoto hawawezi, uzalishaji wao kitaifa ni duni. Shule walienda kuishi, kuvaa sweta na kunywa uji. Elimu ya bongo hasa uswahilini uko ni ile wazazi wanawaambia watoto wao wakiwa wamefunga eti "mmetuchosha hebu shule zifunguliwe wazazi tupumzike". Hapo usitegemee maajabu ya kufaulu. Sasa hawa waliofaulu wangetoa strategies imekuwaje ingesaidia wengine