St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Elimu ya siku hizi imekuwa mdebwedo sana! Ukitaka kujua hili waulize walimu wa vyuo na waajiri. Binafsi sio Mara moja nimewafanyia interview vijana kwenye mambo ya kazi na naishia kusikitika jinsi uelewa wao ulivyo wa mashaka.
Watoto wa sasa hivi wanaakili kuliko watoto wa zamani huo ndo ukweli
 
Hivi ukiwa mwongo unapata faida gani?
 
Watanzania bhana, watoto wakifeli mnawaita vilaza, wakifaulu wamepewa mitihani. Sijui hata mnataka nini
 
Millardayo alifunga safari mpaka shulen. Kajifunza mengi sana. Wametoa sababu zaidi ya kumi zinazowafanya wafanye vizuri
 
Nimekumbuka nilipatwa na maradhi ya ajabu mwaka jana,, nilikua nawashwa mwili mzima yaan nilikua najikuna balaa kahosptal fulan akanipima damu akasema eti una infections !!! Nikamuuuliza tatizo ni nn hasa maana nateseka? akasema takuandikia tu dawa uchukue hapo nje pharmacy utumie utapona.. nilivoskia sikia hivo nikamwambia haya alivonipa karatas hata pharmacy sikukwenda ..

Nikaenda hosptal ya kueleweka ya binafs nikaelezea wakanipeleka kwa daktar special wa magonjwa ya ngoz nikapimwa nikaelezewa kila kitu wakaniandikia sindano 5 nikachoma nilivomaliza sindano baada ya sku 2 nilipona kabisa..

Yule daktar wa mchongo wa mara ya kwanza alikua muhun tu.

Miaka ya nyuma niliumwa usiku nikazdiwa palivo kucha saa 11 tukaenda pale magomen hosptal kwanza hatukukuta daktar hiyo saa 11 nikalala kwenye mabench et tunasubir daktar!! Nikalala pale kweny bench mpk saa 1 asubui nesi mmoja akanichukua mpka chumba fulan akaniwekea drip nikalala pale akaja na sindano akanichoma ya tako ile sindano nilikaa zaid ya miez 6 naiskia tu maumivu yake na uvimbe hauishi,, mpaka leo najiuliza yule alikua muuguzi kweli au alikua mfanya usafi akajiongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…