Sserunkuma Atakuwa Kama Tambwe

Sserunkuma Atakuwa Kama Tambwe

Mkuu ligi ya kenya ni sawa na ligi daraja la pili hapa Tanzania in terms of competativeness......!
so ligi yao ni nyepesi sana ...hata kama Tambwe akienda kule na kiwango chake alichokuwa nacho sasa hivi bado atawa-sumbua sana.

Ligi yao mbovu in short.! dah huyu Andunje sasa sijui itakuwaje....hukumuona alivyo kuja na timu yake kwenye moja ya pre season match hapa Tanzania...!

Jamaa sijui ataenda wapi ligi ikiisha...Mashabiki wa mpira pesa watamtaka ashindi kila mechi.

Hivi unamjudge vipi mchezaji kwa mechi moja? Nadhani u scout wako hauna tofauti na wa Maximo, wa kumusajili Jaja kisa ana umbo kubwa ili aje awasumbue mabeki vimbau mbau wa Tz.

Alafu Super Sport wanaweza onesha ligi isiyo na ushindani, misimu miwili mfululizo?

Ligi hiyo hiyo isiyo na ushindani ndo imewatoa Wanyama, Mariga n.k wanaokipiga ligi za ulaya. Ligi yako ya Bongo yenye ushindani imewatoa kina nani???
 
Hujui kutofautisha NBA na vpl pole hebu tengua kauli

Mkuu hata useme vipi...urefu wa huyu jamaa sio sawa na wa ngassa..huyu ni mfupu sana tena zaidi ya Tambwe....!

Simba walifanya kosa kubwa sana kumuondoa Musoti ili Okwi aje..sijui walisajili kwa kuwakomoa hao Yanga au kwaajili ya mapungufu ya kiufundi.

Simba = Ashki Majnun.
 
Hivi unamjudge vipi mchezaji kwa mechi moja? Nadhani u scout wako hauna tofauti na wa Maximo, wa kumusajili Jaja kisa ana umbo kubwa ili aje awasumbue mabeki vimbau mbau wa Tz.

Alafu Super Sport wanaweza onesha ligi isiyo na ushindani, misimu miwili mfululizo?

Ligi hiyo hiyo isiyo na ushindani ndo imewatoa Wanyama, Mariga n.k wanaokipiga ligi za ulaya. Ligi yako ya Bongo yenye ushindani imewatoa kina nani???


Mkuu ngoja nikupe shule kidogo.....

Ili upate haki ya kuonyesha ligi katika makampuni makubwa, yakupasa utoe pesa ndefu ili upate haki ya kuonyesha ligi husika kupitia media outlet yako..
Ligi ya Tanzania inapokea Pesa ndefu ya udhamini wa haki ya ligi kutoka kwa kampuni ya Azam Media ukilinganisha kiasi cha pesa wanachopokea Ligi ya kenya kutoka kwa supersport.

Hao sijui, DSTV Walitaka kulipia haki ya ligi ya Tanzania lakini hawakuweza kutokana nae Bakhresss(Azam Media) aliweka dau zuri mezani, na TFF walimchagua Azam, hivyo iliwabidi (supersport) warudi kwao.

Thats enough lesson tho...!
 
Mkuu ngoja nikupe shule kidogo.....

Ili upate haki ya kuonyesha ligi katika makampuni makubwa, yakupasa utoe pesa ndefu ili upate haki ya kuonyesha ligi husika kupitia media outlet yako..
Ligi ya Tanzania inapokea Pesa ndefu ya udhamini wa haki ya ligi kutoka kwa kampuni ya Azam Media ukilinganisha kiasi cha pesa wanachopokea Ligi ya kenya kutoka kwa supersport.

Hao sijui, DSTV Walitaka kulipia haki ya ligi ya Tanzania lakini hawakuweza kutokana nae Bakhresss(Azam Media) aliweka dau zuri mezani, na TFF walimchagua Azam, hivyo iliwabidi (supersport) warudi kwao.

Thats enough lesson tho...!

Asante kwa darasa. Vipi kuhusu kutoa wachezaji kibao wanaocheza ulaya wakati ligi yao, huku kwetu ni sawa Dr. Mwaka Sport Xtra Ndondo Cup?
 
Asante kwa darasa. Vipi kuhusu kutoa wachezaji kibao wanaocheza ulaya wakati ligi yao, huku kwetu ni sawa Dr. Mwaka Sport Xtra Ndondo Cup?

Mkuu fikiria kidogo maskauti na agents hawana access na Azam Tv...Huduma za supersport zimeenea bara zima...!

Hiyo ni sababu tosha kwa jibu lako.
 
Mkuu fikiria kidogo maskauti na agents hawana access na Azam Tv...Huduma za supersport zimeenea bara zima...!

Hiyo ni sababu tosha kwa jibu lako.

Lakini hao jamaa walitoka kenya, kabla super sport hawajaanza kuonesha KPL.
 
Lakini hao jamaa walitoka kenya, kabla super sport hawajaanza kuonesha KPL.

Nitahitaji kujua mchezaji yupi wa kikenya kapata exposure katika soka la ulaya kabla ya 2007...!
 
Nitahitaji kujua mchezaji yupi wa kikenya kapata exposure katika soka la ulaya kabla ya 2007...!

Tangu msimu wa 2005/2006 Mariga alikua anakula maisha Sweden mpaka msimu wa 2007/2008 alipotua Italy. Msimu wa 2007/2008 Wanyama alikuwa akila maisha Sweden. Kabla ya hapo walikuwa KPL. Hapo sijamgusia Daniel Ochieng.
 
Mimi sio shabiki wa Simba hata kidogo lakini Dani Sserunkuma ni moja kati ya wachezaji wajanja sana...

Nimekuwa nikimuona mara nyingi ligi ya Kenya, nilimuona Chalenji akiwa na Cranes...

Simba wamepata mchezaji lakini wasiwasi wangu pengine ni Simba kukosea namna ya kumchezesha au kumpa patna wasiyeendana...
 
Uongozi wa Aveva umeamua kutufanyia kituko kingine ndugu zangu...huu usajili wa haka kachezaji kafupi...sina uhakika nao..simply because kachezaji kaliongoza kwa magoli kwenye kaligi ka kenya sasa nao simba ndio wameona mlango wa kupitia...haka kachezaji ni kafupi kwelikweli...nilikaona pale msimbazi kalikuwa kanaingia ndani kumwaga wino.

Najiulizaga hivi kweli kataweza kuwakabili akina Canavaro na Yondani.

kusema kweli simba yangu ya nsimuu huu ni Ashki Majnuni.Ngoja niende kwa mtani Yanga (kwa mkopo)...hadi msimu huishe.

Hata mimi nimemwona jamaa ni mfupi kama kuku vile, anafaaa sana kwenye mashindano yale ya vingunguti ya kufukuza kuku
 
uongozi wa aveva umeamua kutufanyia kituko kingine ndugu zangu...huu usajili wa haka kachezaji kafupi...sina uhakika nao..simply because kachezaji kaliongoza kwa magoli kwenye kaligi ka kenya sasa nao simba ndio wameona mlango wa kupitia...haka kachezaji ni kafupi kwelikweli...nilikaona pale msimbazi kalikuwa kanaingia ndani kumwaga wino.

Najiulizaga hivi kweli kataweza kuwakabili akina canavaro na yondani.

Kusema kweli simba yangu ya nsimuu huu ni ashki majnuni.ngoja niende kwa mtani yanga (kwa mkopo)...hadi msimu huishe.

usiwaze uandunje jiulize je ni kiongozi gani anakula part ya mshahara wake ...na siku akivurumishwa huyo mchezaji atakuwa wa simba wakiongozi aliemleta ..???tusome nyakati
tulipotoka
 
Hivi unamjudge vipi mchezaji kwa mechi moja? Nadhani u scout wako hauna tofauti na wa Maximo, wa kumusajili Jaja kisa ana umbo kubwa ili aje awasumbue mabeki vimbau mbau wa Tz.

Alafu Super Sport wanaweza onesha ligi isiyo na ushindani, misimu miwili mfululizo?

Ligi hiyo hiyo isiyo na ushindani ndo imewatoa Wanyama, Mariga n.k wanaokipiga ligi za ulaya. Ligi yako ya Bongo yenye ushindani imewatoa kina nani???

Wanyama na Mariga ni product ya udhamini wa supersport..wanaonekana kirahisi.
 
Hivi hawa simba si bado wanadaiwa na mar.mafisango?!
 
Ngasa ni mrefu? Mijitu mingine kama mashetan mawazo yao

Huyu jamaa walasio mnazi wa Simba. Angejua mpira angeheshimu watu kama hawa. Hapa Terry Butcher (World Cup 1986 Mexico) aliteswa na "andunje" Maradona wakati huyu Butcher ni mrefu kuliko hao akina Yondani!

828882_full-lnd.jpg


Diego-Maradona.jpg
 
Back
Top Bottom