Sserunkuma Atakuwa Kama Tambwe

Sserunkuma Atakuwa Kama Tambwe

Mkipigwa kama kawaida mlokole feki atasema ilikuwa bonanza. Jumamosi nenda sabato mlokole feki mpira waachie wenyewe.
 
tena ya watoto mapacha watano, maana wale wa mwaka uleee walishakua.
Kwa timu gani pale ya kuifunga yanga goli tano (5)!!!!
Tusubibiri hiyo kesho ndo tutajua nan ni nan?
 
Kwa timu gani pale ya kuifunga yanga goli tano (5)!!!!
Tusubibiri hiyo kesho ndo tutajua nan ni nan?

"yanga ni sawa na mti wa maembe uliopo uani kwetu, tukijisikia hamu ya embe tunatoka nje na kuchuma." - jamhuri julio
 
"yanga ni sawa na mti wa maembe uliopo uani kwetu, tukijisikia hamu ya embe tunatoka nje na kuchuma." - jamhuri julio

Mkuu nimekuwa nikifuatilia sana posts zako nikajua wewe ni Great Thinker (GT), sasa ulipom-quote punguwani Julio nimeku-degrade hadi kuwa Great Sinker (GS).
 
Mkuu nimekuwa nikifuatilia sana posts zako nikajua wewe ni Great Thinker (GT), sasa ulipom-quote punguwani Julio nimeku-degrade hadi kuwa Great Sinker (GS).

Hahaha.. Eti Great Sinker.. Julio ni kocha "wetu" ambaye hajawahi kufungwa hata siku 1 na kandambili. Kukumbuka maneno yake kipindi tukielekea MJ sidhani kama kuna ubaya..
 
Hahaha.. Eti Great Sinker.. Julio ni kocha "wetu" ambaye hajawahi kufungwa hata siku 1 na kandambili. Kukumbuka maneno yake kipindi tukielekea MJ sidhani kama kuna ubaya..

Kama mna kocha punguwani kama Julio kweli ni hakika mashabiki wa Mikia ni Mambumbumbu.
 
Kama mna kocha punguwani kama Julio kweli ni hakika mashabiki wa Mikia ni Mambumbumbu.

Kama upunguwani ni kupeleka kilio kila anapokutana na kandambili, bora aendelee kuwa punguwani milele.
 
Heri kuwa maskini na huru kuliko utajiri wa kumpigia kanjibhai magoti. Kazi kwako msabato.
 
Back
Top Bottom