Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
"Andunje" mwingine Messi akimtesa tall Vermaelen
Uongozi wa Aveva umeamua kutufanyia kituko kingine ndugu zangu...huu usajili wa haka kachezaji kafupi...sina uhakika nao..simply because kachezaji kaliongoza kwa magoli kwenye kaligi ka kenya sasa nao simba ndio wameona mlango wa kupitia...haka kachezaji ni kafupi kwelikweli...nilikaona pale msimbazi kalikuwa kanaingia ndani kumwaga wino.
Najiulizaga hivi kweli kataweza kuwakabili akina Canavaro na Yondani.
kusema kweli simba yangu ya nsimuu huu ni Ashki Majnuni.Ngoja niende kwa mtani Yanga (kwa mkopo)...hadi msimu huishe.
Tangu msimu wa 2005/2006 Mariga alikua anakula maisha Sweden mpaka msimu wa 2007/2008 alipotua Italy. Msimu wa 2007/2008 Wanyama alikuwa akila maisha Sweden. Kabla ya hapo walikuwa KPL. Hapo sijamgusia Daniel Ochieng.
Mimi sio shabiki wa Simba hata kidogo lakini Sserumkuma ni moja kati ya wachezaji wajanja sana...
Nimekuwa nikimuona mara nyingi ligi ya Kenya, nilimuona Chalenji akiwa na Cranes...
Simba wamepata mchezaji lakini wasiwasi wangu pengine ni Simba kukosea namna ya kumchezesha au kumpa patna wasiyeendana...
Atakuwa kama Jaja tu huyo.
Ni mchezaji mzuri lakini siyo tishio. Pale Simba ni Okwi tu, akidhibitiwa huyo Simba kwishney! Walikuwa wanalalamikia ubovu wa safu ya ulinzi lakini hadi sasa naona wanasajili washambuliaji tu, kumbe nao wanatatizo kama letu!
....safi...mie huyo namjua kuanzia UG..kenya na last nilikua Kigali Kagame Cup...ingawa Gor mahia haikufanya vzr ila alicheza vzr...sina hofu naye kabisa..labda apigwe misumari maana mpira wa kibongo ...mambo nje ya uwanja ni mengiMkuu namjua sana Hutu dogo.....natazama sana kpl..
...hapo ndio nashindwa kuelewa simba ina ttz idara ipi?...maana hans pope alipokuja kigali alisema anataka beki ..tukamuonesha beki toka burundi Husen bitoy..na kweli wakaongea akaja dar..ghafla wakamkata wakamsajiri okwi..leo nasikia wameongeza sserukuma..na dani mrwanda..Ni mchezaji mzuri lakini siyo tishio. Pale Simba ni Okwi tu, akidhibitiwa huyo Simba kwishney! Walikuwa wanalalamikia ubovu wa safu ya ulinzi lakini hadi sasa naona wanasajili washambuliaji tu, kumbe nao wanatatizo kama letu!
mesi wa ajentina ni mrefu?
...hapo ndio nashindwa kuelewa simba ina ttz idara ipi?...maana hans pope alipokuja kigali alisema anataka beki ..tukamuonesha beki toka burundi Husen bitoy..na kweli wakaongea akaja dar..ghafla wakamkata wakamsajiri okwi..leo nasikia wameongeza sserukuma..na dani mrwanda..
...naona beki wameamua kumuamini mgeveke na owino.....sijui nafasi ya kiemba atasimama nani kwa ufanisi..
Uongozi wa Aveva umeamua kutufanyia kituko kingine ndugu zangu...huu usajili wa haka kachezaji kafupi...sina uhakika nao..simply because kachezaji kaliongoza kwa magoli kwenye kaligi ka kenya sasa nao simba ndio wameona mlango wa kupitia...haka kachezaji ni kafupi kwelikweli...nilikaona pale msimbazi kalikuwa kanaingia ndani kumwaga wino.
Najiulizaga hivi kweli kataweza kuwakabili akina Canavaro na Yondani.
kusema kweli simba yangu ya nsimuu huu ni Ashki Majnuni.Ngoja niende kwa mtani Yanga (kwa mkopo)...hadi msimu huishe.
mesi wa ajentina ni mrefu?
"Andunje" mwingine huyu hapa wa pili kutoka kulia. Alifikia kuitwa "Golden Boy" alipokuwa Simba.
![]()
....safi...mie huyo namjua kuanzia UG..kenya na last nilikua Kigali Kagame Cup...ingawa Gor mahia haikufanya vzr ila alicheza vzr...sina hofu naye kabisa..labda apigwe misumari maana mpira wa kibongo ...mambo nje ya uwanja ni mengi
mbona walikuwepo kina saidi maulidi smg,kina aguero unawasemaje?acha ushamba ndugu!!
Wewe kweli pwagu...pwaguzi ni Makoye Matale....Sserunkuma na Ngassa nani mfupi zaidi kama sio ngasa...