Squid Game imesukwa haswa

Daah yani watu wanaifananisha money heist na series wale walamba kashata za sukari pamoja na kucheza goroli???


Squid Game imepewa ujiko usioendana nayo aseee
SQUAD GAMES pia hata sie tumeicheza sana utotoni,mambo haya watoto wa Jakaya hawayajui.
Sina mpango wa kuendelea kutazama kabisa.
 
Season 2_game limekua modified yaan kama hufanyi kazi unapelekwa katik dunia ingine huko nikazaazaa hatar
 
Mimi hata huwa siwaelewi na hilo likitu lenu, naona linatajwa sana siku hizi...
Basi walioangalia hiyo kitu wanajikuta na kujiona wao ndo wana akili saana kuliko sisi
 
Niliposoma comment za humu na baada ya kuiangalia ni vitu viwili tofauti.

Naanza kuuamini ule msemo wa “Usiombe mbongo asifie kitu”
 
Mimi silinganishi na series nyingine mana hii na maudhui yake tofauti..kimsingi jamaa walijipanga sana na nimeilewea sana..nasubiri season 2 kwa hamu.

Pia mwakani inakuja house of the dragons...ni full shangwe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ata Mimi huyu mama nlimkubali Sana ameitendea haki ile nafasi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Squid game ni moja kati ya series mbaya nilizowahi kuangalia hata sikuweza kumaliza episode zote, ipo overated sana.
 
Watu wengi wanajiuliza hii series imependewa nini wakati inastory ya kawaida sana ,hii series watu wengi wameipenda sababu inaelezea maisha ya uhalisia wa maisha ya mtaani mfano humo ndani kuna issue ya vijana kukosa kazi, betting tunaona episode ya kwanza mshikaji kaingia kwenye kibanda cha kubeti dunia ya saa asilimia kubwa ya vijana tunabeti, sasa mtu ukimtajia kuna series fulani ni kali yeye anaibeba na kwenda kuilinganisha na series yake pendwa
 
Uangaliaji wako wa series nakupa 0.01/10.. Kama ndio hivyo... Tafuta series hiyo SG utajikuta ulipoteza muda....ila ni nzuri...
 
Hii series naipa 5/10.. money heist Ni 7/10.. breaking bad Ni 9.5/10
 
Inaonekana nzuri sababu ni rahisi kuielewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…