Squid Game imesukwa haswa

Tuache unafiki wabongo, kuna matumizi gani ya akili yaliyokuwa yanatumiwa na wale wacheza game?

Ni series ambayo imepata umaarufu ila ina story simple sana.

Kwa upande wangu hii series haina hadhi ya kushindanishwa na Money heist
Hata money heist pia ni ya ajabu

We mtu mpaka plan iwe poa eti wafall in love
Je mmama yule angekataa ingekuaje?
 
Overrated so far haiifikii ata Dark kwa creativity
NB: my own opinion
 
sijui kwa nn mpaka leo sijawah taman kuiona.....daahhh
 
Huwa sielewi mlinganisho wa hii series na money heist unaanzia wapi.Hii series sio kali kivile,imeandaliwa vizuri,inavutia sana kufuatilia lakini story yake ni ya kawaida mno.
 
Hata money heist pia ni ya ajabu

We mtu mpaka plan iwe poa eti wafall in love
Je mmama yule angekataa ingekuaje?

Rudia tena kuangalia kiongozi,

Prof ku-fall in love na yule Raquel it wasn’t part of the plan, alisema mwenyewe.
 
9/10
 
jamaa alifanya sio jombi anakuja kutazama kapigwa supa kawekewa mawe
 
jamaa alifanya sio jombi anakuja kutazama kapigwa supa kawekewa mawe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa nilimhurumia lakini pia alinichekesha at the same time, usimuamini mtu kiasi hicho aisee.

Yule jamaa ni true definition ya nice guy, dunia ya sasa haihitaji sana nice guys. Ukiwa hivo lazma utoweke mchezoni mapema.
 
Tuache unafiki wabongo, kuna matumizi gani ya akili yaliyokuwa yanatumiwa na wale wacheza game?

Ni series ambayo imepata umaarufu ila ina story simple sana.

Kwa upande wangu hii series haina hadhi ya kushindanishwa na Money heist
hukuona walivyokuwa wanalamba sukari guru
 
Walicheza ila jamaa baada ya kubakiwa na gololi 1 ndio akaanza kumdanganya.
 
Tuache unafiki wabongo, kuna matumizi gani ya akili yaliyokuwa yanatumiwa na wale wacheza game?

Ni series ambayo imepata umaarufu ila ina story simple sana.

Kwa upande wangu hii series haina hadhi ya kushindanishwa na Money heist
Daah yani watu wanaifananisha money heist na series wale walamba kashata za sukari pamoja na kucheza goroli???


Squid Game imepewa ujiko usioendana nayo aseee
 
Linganisha hiyo scene na ile ya kwenye money heist inayohusisha kumtorosha demu wa professa kutoka mahakamani na kumuingiza kwenye museum ajiunge na wenzie,,,,, hapo ndo utajua kwamba umefananisha Hennessy na Kitoko
 
Yani wanauliwa watu zaidi ya 100 kwa mara moja lkn mtazamaji hata husisimki kuona kwamba scene inatisha,,,,, yani ipo kama katuni za watoto vile
 
season two bado haijatoka eeh

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…