Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 561
- Thread starter
-
- #21
asee kwangu naipa rate 6/10 haifikii KWA SQUID GAMEKuna tofauti kubwa Sana Kati ya squid game na money heist.! Squid imegusa sana hisia/maisha yetu tunayoishi wameonesha nguvu halisi ya pesa kitu ambacho kwenye money heist hakipo na pia money heist Ile Ni plan kitu wanachokifanya ni utekelezaji tu kwa hiyo msije mkalinganisha kitu ambacho kimepangwa na mtu alikaa chini akafikiria Ile Ni game tu Ila ugumu upo kwenye uchezaji Cha muhimu usivunue sheria
Kwanguu Mimi money Ni best Aisee ina kila kitu mapenzi,usaliti,pesa na akili ya Hali ya juu
majukumu mzee baba, hii movie nimeileta watu wengu waipakue ni moja series bora kabisaWewe jamaa watu wameidiscuss SG huko miuzi kibao ukaona na ww uanzishe wako eti
Ni kweli album mpya ya kiba ni nzuri kiasi chake
*Haaf ulipotea Mr Kushmoto sikuon kwenye Page za movies.. vipi
kuna scene unatakiwa uchaguwe shape lakin ujui nini kinafuata baada ya uchaguzi huo sasa gi hun akachagua shape ya mwamvuli alafu akapewa kikake na sindano yaan achonge itoke iyo shape ya mwamvuli ukikosea unatwanga risasi alafu unakuja unapiga kelele money echi echiTuache unafiki wabongo, kuna matumizi gani ya akili yaliyokuwa yanatumiwa na wale wacheza game?
Ni series ambayo imepata umaarufu ila ina story simple sana.
Kwa upande wangu hii series haina hadhi ya kushindanishwa na Money heist
ndioKweli mkuu yanga jana wamecheza vizuri mno
π³π³Mbowe ni gaidi
ahahahahaππππππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏπππ
Alitumia muda gani kuzitoa pesa zake? Hukuona hadi Bank walimuita kumuomba afungue miradi sababu pesa zimekaa mwaka mzima na bado hakujibu kitu zaidi alimuomba yule manager hela ya nauli,Wee utakua uliangalia ukiwa una sinzia aki.jamaa alichukua begi akajaza hela akaenda kumchukua yule mdogo ake na yule demu alichomwa na chupa akampeleka kwa mama ake au unamaanisha nini unaposema jamaa hakuchukua hela au mama yake hakufaidi?na wakati alipanda hadi ndege kwenda kumfuata mtoto ake marekani.
Nipo SG E5 ila naona ya kawaida tu.Tuache unafiki wabongo, kuna matumizi gani ya akili yaliyokuwa yanatumiwa na wale wacheza game?
Ni series ambayo imepata umaarufu ila ina story simple sana.
Kwa upande wangu hii series haina hadhi ya kushindanishwa na Money heist
Hawezi kua gaidi sababu umesema wewe
Maana wewe huna mamlaka hayo...
Hata mimi chifu kuka nashindwa kujuaNi muvi au GAME
Sasa ndio nini hiko..kuna scene unatakiwa uchaguwe shape lakin ujui nini kinafuata baada ya uchaguzi huo sasa gi hun akachagua shape ya mwamvuli alafu akapewa kikake na sindano yaan achonge itoke iyo shape ya mwamvuli ukikosea unatwanga risasi alafu unakuja unapiga kelele money echi echi
Naipa 3/10Niliona watu wanaifagilia sana hii series wengine wanaishindanisha na money heist Ukweli ni kwamba tuache ushabiki hii series ni bora kuliko money heist
Hii series inaonyesha namna gani mtu yuko radhi kwa lolote ilimradi apate pesa Ukiingalia hii series kuna watu wanamadeni hatari kuna watu wanafanya kazi lakini hawalipwi mishahara kama kijana ali
Lakini baada ya kila mtu kuingia kwenye mchezo kuna matumizi ya akili sana humu hii series inaonyesha roho zetu zilivyo mbele ya pesa watu wanauana humu usipaime
Mchezo ulianza kama utani lakini waligundua eliminated is death watu wakadata hasa
Nipo episode ya 05 Naipa rate 9/10
Eti chagua shape then uaambiwa uichonge hiyo shape ukishindwa wanakuua πππ ndio nini sasa!!! Sema wabongo wengi wanafata upepohii series ipo chin ya kiwango maana inamauaji ambayo hayana uhalisia
Kama mwamba umesema, mimi nani nikupinge?Huwezi kupata hii superior artistic creation kutoka manchi ya kidikteta kama China au North Korea
Hizi out of the world creations zinatoka nchi HURU watu wapo free to think and create for themselves!
Unazipata South Korea,USA,UK,etc...sio hizi maiti za kidikteta halafu mama ndio anatupeleka upumbavuni huko
Game nimeipenda maana ni pure portrayal of capitalistic society and how human beings trully behave when in danger!
Hata mie nina mashaka sana kama season 2 itakua nzuri maana watengenezaji wanasema hawakuamini kama series ingeenda viral namna ile, sasa kujipanga kutoa kitu kikubwa zaidi inabidi watulie haswaaa wasiwe na papara.part two utashangaa wameingiza watu wengine humo ndani mpaka mtiriko unapotea kabisa.
watu ambao nahisi tutawaona tena baada ya babu kuwa ndiyo mwenye mchezo,yule demu mcharuko na jamaa yake wale nahisi pia kuna kitu wanahusika ktk hili game.
Nahis walilenga tu kuonesha usaliti, ila kwa maana ya Jina!! Hawajalitendea haki kabisa, iko very low!!Eti chagua shape then uaambiwa uichonge hiyo shape ukishindwa wanakuuandio nini sasa!!! Sema wabongo wengi wanafata upepo