Spika Tulia kaonesha uzalendo na kujali haki. Nampongeza

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,221
22,295
Leo natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni kuhusu ishu ya wabunge 19 wa viti maalum kutoka CHADEMA ambao walifutwa uanachama hivi karibuni. Na haya maoni ninayoyatoa nikiwa nimejiridhisha kabisa na ukweli kuhusu hili sakata. Ni suala zito linalohitaji kufikiria kwa makini.

Mengi yameshasemwa ila leo ninampongeza Spika kijana Tulia Akson kwa kuweza kusimama kidete hadi leo kaa kuhakikisha haki ya kina mama 19 yinapatikana. Spika kijana Tulia kwa hakika alishaona nia ya vigogo wa CHADEMA kwenye hili suala ilikuwa kuwaondoa kina Mdee na kuwaingiza watu wao ambao hawana historia yoyote ndani ya CHADEMA. Spika kalinda maslahi mapana ya taifa. Kuwang'oa wabunge waliokipigania chama kama Mdee na kuwaweka wasiojulikana ni hujuma kwa taifa.

Pia CHADEMA kutomfikisha mahakamani mtu aliyefoji barua ni sawa na kumlinda mhusika na kutetea uovu. Ilibidi na aliyefoji sahihi na mhuri wa chama afukuzwe pia uanachama pamoja na kufikishwa mahakamani. Kauli ya Mbowe kwamba alimwambia Mdee aachie ubunge ili akafanye kazi ya mshahara wa mamilioni nje ya nchi ni sababu nyingine inayoongeza ulazima wa hawa kina mama shupavu 19 kutetewa. Haiwezekani kipaji kikubwa cha siasa kama cha Halima tukizike kwa mshahara wa kazi fulani nje ya nchi.

Nampongeza sana Spika kijana Tulia kwa kazi nzuri. Kwa sababu ya umri mdogo namwombea aje kuwa Rais wa nchi hii miaka ijayo.
 
Ester Bulaya ana historia ya chama kuliko nani?
Umesha wahi iona hiyo barua unayo sema imefojiwa kwa saini na mhuri wa chama?
Siasa hatuziwezi tuziache, tuendelee na mambo mengine
 
Tunahitaji speaker wa viwango vya walau the late S. Sitta.

Jamaa ndie anashikilia record ya fair play.

Walau aliomesha kuwatambua wapinzani na haki na wajibu wao bungeni na popote katika kutimiza majukumu yao.

Hakuonesha chuki zidi ya wapinzani.

Hakuwahusudu.

Wapinzani waliendesha mikutano ya hadhara ya kikatiba bila kuzuiwa.

Hakukukufanyika hila zidi ya wapinzani.

Hatukuona wakisakamwa.

N.k.
 
Tunahitaji speaker wa viwango vya walau the late S. Sitta.

Jamaa ndie anashikilia record ya fair play.

Walau aliomesha kuwatambua wapinzani na haki na wajibu wao bungeni na popote katika kutimiza majukumu yao.

Hakuonesha chuki zidi ya wapinzani.

Hakuwahusudu.

Wapinzani waliendesha mikutano ya hadhara ya kikatiba bila kuzuiwa.

Hakukukufanyika hila zidi ya wapinzani.

Hatukuona wakisakamwa.

N.k.
Ila alichangia pakubwa ile Rasimu ya mzee Warioba ikwame !!
 
Leo natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni kuhusu ishu ya wabunge 19 wa viti maalum kutoka CHADEMA ambao walifutwa uanachama hivi karibuni. Na haya maoni ninayoyatoa nikiwa nimejiridhisha kabisa na ukweli kuhusu hili sakata. Ni suala zito linalohitaji kufikiria kwa makini.

Mengi yameshasemwa ila leo ninampongeza Spika kijana Tulia Akson kwa kuweza kusimama kidete hadi leo kaa kuhakikisha haki ya kina mama 19 yinapatikana. Spika kijana Tulia kwa hakika alishaona nia ya vigogo wa CHADEMA kwenye hili suala ilikuwa kuwaondoa kina Mdee na kuwaingiza watu wao ambao hawana historia yoyote ndani ya CHADEMA. Spika kalinda maslahi mapana ya taifa. Kuwang'oa wabunge waliokipigania chama kama Mdee na kuwaweka wasiojulikana ni hujuma kwa taifa.

Pia CHADEMA kutomfikisha mahakamani mtu aliyefoji barua ni sawa na kumlinda mhusika na kutetea uovu. Ilibidi na aliyefoji sahihi na mhuri wa chama afukuzwe pia uanachama pamoja na kufikishwa mahakamani. Kauli ya Mbowe kwamba alimwambia Mdee aachie ubunge ili akafanye kazi ya mshahara wa mamilioni nje ya nchi ni sababu nyingine inayoongeza ulazima wa hawa kina mama shupavu 19 kutetewa. Haiwezekani kipaji kikubwa cha siasa kama cha Halima tukizike kwa mshahara wa kazi fulani nje ya nchi.

Nampongeza sana Spika kijana Tulia kwa kazi nzuri. Kwa sababu ya umri mdogo namwombea aje kuwa Rais wa nchi hii miaka ijayo.
P unahangaika sana
 
Leo natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni kuhusu ishu ya wabunge 19 wa viti maalum kutoka CHADEMA ambao walifutwa uanachama hivi karibuni. Na haya maoni ninayoyatoa nikiwa nimejiridhisha kabisa na ukweli kuhusu hili sakata. Ni suala zito linalohitaji kufikiria kwa makini.

Mengi yameshasemwa ila leo ninampongeza Spika kijana Tulia Akson kwa kuweza kusimama kidete hadi leo kaa kuhakikisha haki ya kina mama 19 yinapatikana. Spika kijana Tulia kwa hakika alishaona nia ya vigogo wa CHADEMA kwenye hili suala ilikuwa kuwaondoa kina Mdee na kuwaingiza watu wao ambao hawana historia yoyote ndani ya CHADEMA. Spika kalinda maslahi mapana ya taifa. Kuwang'oa wabunge waliokipigania chama kama Mdee na kuwaweka wasiojulikana ni hujuma kwa taifa.

Pia CHADEMA kutomfikisha mahakamani mtu aliyefoji barua ni sawa na kumlinda mhusika na kutetea uovu. Ilibidi na aliyefoji sahihi na mhuri wa chama afukuzwe pia uanachama pamoja na kufikishwa mahakamani. Kauli ya Mbowe kwamba alimwambia Mdee aachie ubunge ili akafanye kazi ya mshahara wa mamilioni nje ya nchi ni sababu nyingine inayoongeza ulazima wa hawa kina mama shupavu 19 kutetewa. Haiwezekani kipaji kikubwa cha siasa kama cha Halima tukizike kwa mshahara wa kazi fulani nje ya nchi.

Nampongeza sana Spika kijana Tulia kwa kazi nzuri. Kwa sababu ya umri mdogo namwombea aje kuwa Rais wa nchi hii miaka ijayo.

Tuongee ukweli tu, linapofika suala la CHADEMA sheria zetu hupindishwa. Ni kwenye CHADEMA tu ndipo sheria hazifuatwi. Yani CHADEMA haina haki hata kwa wanchama wake, wabunge wanabebwa wanaletwa bungeni na kulazimisha kutumia Jina la CHADEMA halafu CHADEMA haina haki ya kuwafukuza kwa kukiuka taratibu za Chama.

Hata suala la Lissu sheria zilipindishwa kisa ni CHADEMA. Yani mtu analimwa risasi mchana , polisi wansema kuwa wanasubiri Lissu aliye mahututi apone ndipo wafanye upelelezi.
 
Leo natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni kuhusu ishu ya wabunge 19 wa viti maalum kutoka CHADEMA ambao walifutwa uanachama hivi karibuni. Na haya maoni ninayoyatoa nikiwa nimejiridhisha kabisa na ukweli kuhusu hili sakata. Ni suala zito linalohitaji kufikiria kwa makini.

Mengi yameshasemwa ila leo ninampongeza Spika kijana Tulia Akson kwa kuweza kusimama kidete hadi leo kaa kuhakikisha haki ya kina mama 19 yinapatikana. Spika kijana Tulia kwa hakika alishaona nia ya vigogo wa CHADEMA kwenye hili suala ilikuwa kuwaondoa kina Mdee na kuwaingiza watu wao ambao hawana historia yoyote ndani ya CHADEMA. Spika kalinda maslahi mapana ya taifa. Kuwang'oa wabunge waliokipigania chama kama Mdee na kuwaweka wasiojulikana ni hujuma kwa taifa.

Pia CHADEMA kutomfikisha mahakamani mtu aliyefoji barua ni sawa na kumlinda mhusika na kutetea uovu. Ilibidi na aliyefoji sahihi na mhuri wa chama afukuzwe pia uanachama pamoja na kufikishwa mahakamani. Kauli ya Mbowe kwamba alimwambia Mdee aachie ubunge ili akafanye kazi ya mshahara wa mamilioni nje ya nchi ni sababu nyingine inayoongeza ulazima wa hawa kina mama shupavu 19 kutetewa. Haiwezekani kipaji kikubwa cha siasa kama cha Halima tukizike kwa mshahara wa kazi fulani nje ya nchi.

Nampongeza sana Spika kijana Tulia kwa kazi nzuri. Kwa sababu ya umri mdogo namwombea aje kuwa Rais wa nchi hii miaka ijayo.
We jamaa kiasi hasa tena cha gairo
 
Ila alichangia pakubwa ile Rasimu ya mzee Warioba ikwame !!


Umenikumbusha mbali aisee!

Ni kweli alitaka kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa lile bunge la Katiba ma kufanya Ghalib ili aje kupitishwa kuwa mgombea pekee wa uchaguzi ulofuata ,

Kwa hila ilofanyika na wala haikuwa alivyotaka na kukubaliana na wenye hila wenzie!

Inauma hela za Umma zikapotea bure mabilioni bila lengo kutimia mpaka leo!

Hii inamchukiza Mwenyezi Mungu sana na Wanadamu.
 
Back
Top Bottom