Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,129
Habari!
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya spika Ndugai ndilo lililopitisha sheria kandamizi nyingi zaidi kuliko kipindi cha maspika wengine wote.
Serikali (Rais) kazi yake ni kutawala, na katika kutawala kuna mahali panahitajika mkono wa chuma(maumivu) na kuna mahali hapahitaji mkono wa chuma.
Sasa bunge kazi yake ni kuutuliza mkono wa serikali usilete maumivu kwa Wananchi.
Sasa inatika wakati spika Ndugai anawaambia wabunge wapitishe sheria na wasipopitisha bunge litavunjwa. Na kwakuwa wabunge wetu njia walizoingilia bungeni wanazijua wenyewe basi wakisikia kuhusu kuvunjwa bunge wanaufyata.
Kwahiyo adui nambari moja wa Wananchi ni Spika Ndugai na si Rais Samia Suluhu.
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya spika Ndugai ndilo lililopitisha sheria kandamizi nyingi zaidi kuliko kipindi cha maspika wengine wote.
Serikali (Rais) kazi yake ni kutawala, na katika kutawala kuna mahali panahitajika mkono wa chuma(maumivu) na kuna mahali hapahitaji mkono wa chuma.
Sasa bunge kazi yake ni kuutuliza mkono wa serikali usilete maumivu kwa Wananchi.
Sasa inatika wakati spika Ndugai anawaambia wabunge wapitishe sheria na wasipopitisha bunge litavunjwa. Na kwakuwa wabunge wetu njia walizoingilia bungeni wanazijua wenyewe basi wakisikia kuhusu kuvunjwa bunge wanaufyata.
Kwahiyo adui nambari moja wa Wananchi ni Spika Ndugai na si Rais Samia Suluhu.