Bongo-mpya
JF-Expert Member
- Nov 10, 2020
- 311
- 244
Amen Amen!!! And never again!!
Ndugu USIDANGANYIKE,Habari!
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya spika Ndugai ndilo lililopitisha sheria kandamizi nyingi zaidi kuliko kipindi cha maspika wengine wote.
Serikali (Rais) kazi yake ni kutawala, na katika kutawala kuna mahali panahitajika mkono wa chuma(maumivu) na kuna mahali hapahitaji mkono wa chuma.
Sasa bunge kazi yake ni kuutuliza mkono wa serikali usilete maumivu kwa Wananchi.
Sasa inatika wakati spika Ndugai anawaambia wabunge wapitishe sheria na wasipopitisha bunge litavunjwa. Na kwakuwa wabunge wetu njia walizoingilia bungeni wanazijua wenyewe basi wakisikia kuhusu kuvunjwa bunge wanaufyata.
Kwahiyo adui nambari moja wa Wananchi ni Spika Ndugai na si Rais Samia Suluhu.
Ndiyo maana ukitaka kufahamu rangi zao waambie tunataka Katiba Mpya! Wataweweseka na kukosa hoja,Mara Watanzania wanataka Maji,elimu,sijui afya nk.... wangepewa titles mpya tu tujue moja - His Royal Highness Prince Job Ndugai; Her Royal Highness Princess Dr. Tulia Ackson Mwang'onda. Ni katika familia za kifalme ukiacha His/Her Majesty, Crown Prince na Crown Princess ndio ambao hawashtakiwi kokote. Bila Katiba Mpya na Bora hatuchomoki kwenye makucha ya hawa watu!
Sijaona picha ya Ndugai akipata akipata chanjo!Kwa akili ya ndugai ukimuacha aongoze bila kumsimamia lazima lawama ziwepo ndio maana mwendazake alikuwa anawaingilia akitacho huwa.