Spika Ndugai anaendesha Bunge kwa matakwa yake binafsi na si kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

chadema wanahubiri demokrasia ambayo HAWAIFUATI..
Ndugai ana matatizo na viongozi wa chadema nao wana matatizo.
TUSIANGALIE UPANDE MMOJA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbukumbu zipo za wanachama wa vyama tofauti ambo walikuwa wabunge na wakafukuzwa.
Walipofukuzwa walienda mahakamani kupinga kufukuzwa kwao. Siyo spika aliyepinga kufukuzwa kwao kama anavyofanya Job.
Na kama unakumbuka vizuri waliendelea na ubunge wao na vyama vyao vilisema hao ni wabunge wa mahakama.
Hiki anachofanya Job ni kuingilia maamuzi ya chama ambayo kwa kweli hayamhusu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgonjwa ghali zaidi duniani anayepaswa kuingia kwenye Guinness Book of Records anaonesha umahiri wake katika taratibu la kuendesha bunge la vyama vingi.

Jr
Inasikitisha sana nchi maskini kabisa duniani kuingiza mgonjwa aliyetibiwa kwa gharama kubwa kuliko wote duniani kwenye Guinness Book of Records. Walipongia madarakani walisema nchi ilikuwa inapigwa sana hii, lakini kumbe wao katika kipindi kifupi tu nchi inapigwa hadi kuvunja rekodi na bado itaendelea kuchakachuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai ni spika wa ajabu haijawahi kutokea. Utawala wa Jiwe hauachi kuwavua nguo watetezi wake kila siku uchwao. Wacha kina mzee mwanakijiji wakae kimya jukwaani
Naye anapambana arejeshwe kwenye uspika awamu ya pili,lazima awafurahishe watakaomuweka pale,anajua anaikanyaga katika Ila uspika Ni zaidi ya katiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maelezo ya spika, hayo yalikuwa ni makubaliaono ya wabunge wengi ku karantin, si maamuzi ya mbowe, tatizo mmekariri tu kuwa kila kinachotoka chadema ni mbowe mana yy ndiye aliyesaini hyo taarifa, hata angesain mnyika bado mngesema mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai haitambui Katiba ya JMT kabisa, bora hata wangetumia mbinu za Mahakama ila hii ni dharau kubwa sana kwa Watanzani.

Tanzania imekabidhiwa kwa washamba.

So sad
Ni jambo la hatari sana kwa Spika wa Bunge Ndugai kuisigina Katiba ya nchi kadri apendavyo
 
Kwa katiba yako wewe na Ndugai sawa kwa hiyo kule wanamwakilisha Ndugai?Mnaakili Kama mmetoa mimba
 
Ni sharti waende Mahakamani ili sheria za Nchi na za Chama chao zitafsiriwe pale.
 
Ni sharti waende Mahakamani ili sheria za Nchi na za Chama chao zitafsiriwe pale.
Wakati hilo likifanyika inabidi hao wabunge wasiweze kuendelea vya Bunge, kwa kuwa hao wabunge siyo tena wanachama wa chama cha Chadema
 
Kama vipo unamlaumu job yule mgogo wa watu kwa ajili gani?lile bunge ni jukwaa la siasa hata job anafanya siasa mule
.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo Bunge lazima liwe makini na huyo Ndugai, ili asije rudia yale aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa 2015, alipomchapa fimbo mgombea mwenzake wa CCM hadi akazirai na kukimbizwa hospitalini
 
Spika ndugai amekuwa alifanya haraka sana kuchukua maamuzi ya kumpoka Lissu ubunge,pia alifanyia kazi haraka sana barua Prf.Lipunga kuhusu wabunge wa CUF,pia alifanyia kazi haraka sana barua ya CCM juu ya Nyalandu.Mbona katika hili la wabunge wa Chadema amekuwa mzito sana? Kuna nini nyuma ya pazia? Au anataka kuthibitisha kauli ya CAG mstaafu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KATIBA YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA

5.2 Haki za Mwanachama
5.2.4 Kujitetea, kusikilizwa na kukata rufaa anaposhitakiwa ama kuchukuliwa hatua za kinidhamu kichama
 
KATIBA YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA

5.2 Haki za Mwanachama
5.2.4 Kujitetea, kusikilizwa na kukata rufaa anaposhitakiwa ama kuchukuliwa hatua za kinidhamu kichama
Angalia
 

Attachments

  • IMG_20200512_084541.jpg
    37 KB · Views: 1
Mbowe ameonea wabunge wake

Wabunge wapo bungeni wanashiriki vikao wanafukuzwa !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…