Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,547
Spika ana mwa-attack Mbowe kama vile Mbowe kawafukuza na wakati ni kamati kuu, shame on him
Maalimu Seif na Nyalandu walisikilizwa wapiNi baada ya Spika kujiridhisha kwamba CCM imefuata taratibu zake and then akaiandikia Tume ya uchaguzi kuitaarifu!
Alijiridhisha kwa kupata barua toka CCM, usijali barua ya uthibitisho toka Chadema atapata tu.Ni baada ya Spika kujiridhisha kwamba CCM imefuata taratibu zake and then akaiandikia Tume ya uchaguzi kuitaarifu!
Sio kujiridhisha kwa kupata barua tu bali kama taratibu za chama husika zimefuatwa!Alijiridhisha kwa kupata barua toka CCM, usijali barua ya uthibitisho toka Chadema atapata tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huelewi si ukae kimya? Spika siyo mkaguzi wa katiba za vyama.Maamuzi mengi aliyofanya kabla yanaonyesha amepwaya sana.Halafu huo wema wa wanaccm kuwapigania wabunge wa Chadema umeanza lini?Sio kujiridhisha kwa kupata barua tu bali kama taratibu za chama husika zimefuatwa!
Hapo ndipo utagundua kuwa Kuna chama kipo nyuma ya vitando vya kisaliti walivyofanya hao wabunge wa CHADEMA! Ukweli ni kwamba kwa mbunge yeyote awe wa CDM au CCM , hakuna chombo kikubwa mbele yake kama chama kilichomdhamini! Hivyo watu wanaopotosha kwamba wabunge hao 4 wa CDM wamefukwa sababu ya kuhudhuria bungeni si sahihi, wabunge wamefukuzwa kwa sababu ya kukaidi maagizo ya Chama! Na hapa ushahidi upo mpana sana nitashangaa spika akiwabeba hawa alafu akashinda kesi mahakamani!Ndugai dawa zinamzingua
Mbona msajiili akusema Kama wamekosea Kama wamevunja sheria, vyama vinayaratibu zake zalima zifuatwe, ndo maana point ya mgombea binafsi ikaja ili usifungwe na taratibu za chamaMbowe ndie kavuja katiba .Kaxi ya mbunge ni kuhudhuria vikao vya bunge huwezi mwandikia mbunge barua kuwa kakosea kuhudhuria vikao vya bunge hivyo afukuzwe uanachama!!!!!
Hao wabunge Wala wasiende mahakamani chadema Kama chama ndio waende wakiona libarua lao spika hajalifanyia kazi .Wabunge watulie tuli wapige kaziNi sharti waende Mahakamani ili sheria za Nchi na za Chama chao zitafsiriwe pale.
Suala hapa ni kuheshimiwa kwa katiba. Lipumba aliwafukuza uanachama wale viti maalum mbona Ndugai hakusema waendelee? Katiba ya nchi ndiyo imeandikwa hivyo.chadema wanahubiri demokrasia ambayo HAWAIFUATI..
Ndugai ana matatizo na viongozi wa chadema nao wana matatizo.
TUSIANGALIE UPANDE MMOJA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bungeni kuna kanuni ndugu ndio maana hujawahi kumuona Saidi Kubenea akienda kukalia kiti cha Spika hata siku moja.Kama vipo unamlaumu job yule mgogo wa watu kwa ajili gani?lile bunge ni jukwaa la siasa hata job anafanya siasa mule
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bunge kibogoyoBunge ni Dhaifu Sipika Dhaifu unategea tutakuwa strong government kweli .
Ninachokiona Taifa letu linaelekea kudecline Kama Songhai Empire maana tukikosa strong insititution Kama Bunge hiyo lazima ipotee tu
Ngoma ishapangwa iende kwa nani na yeye supika anamjua tayariHuyu Spika Ndugai nilimshangaa pia alipotamka kuwa Mbunge Mbowe hatarudi kwenye ubunge wake, hapo mwisho wa mwaka baada ya uchaguzi mkuu.
Hivi yeye kama Spika anawezaje kutoa matamshi kama hayo wakati yeye siyo mmoja wa wapiga kura wa jimbo la Hai, analotoka Mheshimiwa Mbowe?
Yeye siyo mhimili wa mahakama, hao walioadhibiwa wana haki ya kupeleka Shauri lao mahakamani na watalitolea maamuzi....Kama huelewi si ukae kimya? Spika siyo mkaguzi wa katiba za vyama.Maamuzi mengi aliyofanya kabla yanaonyesha amepwaya sana.Halafu huo wema wa wanaccm kuwapigania wabunge wa Chadema umeanza lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo ujue kuwa hiyo ilikuwa "planned mission"Kama huelewi si ukae kimya? Spika siyo mkaguzi wa katiba za vyama.Maamuzi mengi aliyofanya kabla yanaonyesha amepwaya sana.Halafu huo wema wa wanaccm kuwapigania wabunge wa Chadema umeanza lini?
Sent using Jamii Forums mobile app