Spika Ndugai anaendesha Bunge kwa matakwa yake binafsi na si kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

chadema wanahubiri demokrasia ambayo HAWAIFUATI..
Ndugai ana matatizo na viongozi wa chadema nao wana matatizo.
TUSIANGALIE UPANDE MMOJA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbukumbu zipo za wanachama wa vyama tofauti ambo walikuwa wabunge na wakafukuzwa.
Walipofukuzwa walienda mahakamani kupinga kufukuzwa kwao. Siyo spika aliyepinga kufukuzwa kwao kama anavyofanya Job.
Na kama unakumbuka vizuri waliendelea na ubunge wao na vyama vyao vilisema hao ni wabunge wa mahakama.
Hiki anachofanya Job ni kuingilia maamuzi ya chama ambayo kwa kweli hayamhusu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgonjwa ghali zaidi duniani anayepaswa kuingia kwenye Guinness Book of Records anaonesha umahiri wake katika taratibu la kuendesha bunge la vyama vingi.

Jr
Inasikitisha sana nchi maskini kabisa duniani kuingiza mgonjwa aliyetibiwa kwa gharama kubwa kuliko wote duniani kwenye Guinness Book of Records. Walipongia madarakani walisema nchi ilikuwa inapigwa sana hii, lakini kumbe wao katika kipindi kifupi tu nchi inapigwa hadi kuvunja rekodi na bado itaendelea kuchakachuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai ni spika wa ajabu haijawahi kutokea. Utawala wa Jiwe hauachi kuwavua nguo watetezi wake kila siku uchwao. Wacha kina mzee mwanakijiji wakae kimya jukwaani
Naye anapambana arejeshwe kwenye uspika awamu ya pili,lazima awafurahishe watakaomuweka pale,anajua anaikanyaga katika Ila uspika Ni zaidi ya katiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maelezo ya spika, hayo yalikuwa ni makubaliaono ya wabunge wengi ku karantin, si maamuzi ya mbowe, tatizo mmekariri tu kuwa kila kinachotoka chadema ni mbowe mana yy ndiye aliyesaini hyo taarifa, hata angesain mnyika bado mngesema mbowe
Kosa alianza kulifanya mbowe
Chama cha siasa kinaendeshwa na katiba na kanuni
Haujakaa kikao na mtu yeyote yule unakuja na maazimio makubwa hakuna kuingia bungeni twendeni tukajikarantini
Ni kama vile mwalimu mkuu anawapa amri wanafunzi wake,
Wabunge ni watu wazima wanaamini vikao vya chama, kamati kuu nk
Sio amri ya mtu mmoja kana kwamba chama ni chake,

Ukimlaumu ndugai anaendesha bunge bila kufuata katiba

Vile vile rudi na kwa mbowe anaendesha chama cha siasa kama kampuni yake binafsi
Ili tupate kujenga nchi tuache double Standard kama ni kusema tuwaseme wote..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai haitambui Katiba ya JMT kabisa, bora hata wangetumia mbinu za Mahakama ila hii ni dharau kubwa sana kwa Watanzani.

Tanzania imekabidhiwa kwa washamba.

So sad
Ni jambo la hatari sana kwa Spika wa Bunge Ndugai kuisigina Katiba ya nchi kadri apendavyo
 
Huwezi mvua uanachama mbunge kwa kutekeleza majukumu yake ya kibunge bungeni

Kazi ya mbunge ni.kuhudhuria vikao vya bunge sasa Wewe ujlkisema unamfukuza kakosea kuhudhuria vikao vya bunge akili unakuwa huna .Nasimama na spika yuko sahihi mbunge kuhudhuria vikao vya bunge sio kosa .Hakuna awezaye mwadhibu kuwa eti kakosea kuhudhuria vikao vya bunge !!!
Kwa katiba yako wewe na Ndugai sawa kwa hiyo kule wanamwakilisha Ndugai?Mnaakili Kama mmetoa mimba
 
Hapa unachanganya mambo Nyalandu kosa alilofukuzwa na chama sio kuhudhuria vikao vya bunge Uanachama wake ulikoma kwa sababu zingine sio za ubunge wake au kuhudhuria bungeni.Vyama ruksa kuadhibu uanachama wao lakini sio kuadhibu MTU kwa kuhudhuria vikao vya bunge wakati unajua ni wajibu wake hilo hakuna

Usilinganishe ya Nyalandu na hilo wakilofanya chadema

Chadema wanaadhibu mbunge kwa kuhudhuria vikao vya bunge hiyo no haikubaliki popote
Ni sharti waende Mahakamani ili sheria za Nchi na za Chama chao zitafsiriwe pale.
 
Ni sharti waende Mahakamani ili sheria za Nchi na za Chama chao zitafsiriwe pale.
Wakati hilo likifanyika inabidi hao wabunge wasiweze kuendelea vya Bunge, kwa kuwa hao wabunge siyo tena wanachama wa chama cha Chadema
 
Kama vipo unamlaumu job yule mgogo wa watu kwa ajili gani?lile bunge ni jukwaa la siasa hata job anafanya siasa mule
.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo Bunge lazima liwe makini na huyo Ndugai, ili asije rudia yale aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa 2015, alipomchapa fimbo mgombea mwenzake wa CCM hadi akazirai na kukimbizwa hospitalini
 
Spika ndugai amekuwa alifanya haraka sana kuchukua maamuzi ya kumpoka Lissu ubunge,pia alifanyia kazi haraka sana barua Prf.Lipunga kuhusu wabunge wa CUF,pia alifanyia kazi haraka sana barua ya CCM juu ya Nyalandu.Mbona katika hili la wabunge wa Chadema amekuwa mzito sana? Kuna nini nyuma ya pazia? Au anataka kuthibitisha kauli ya CAG mstaafu?
IMG-20200512-WA0014.jpeg
IMG-20200512-WA0015.jpeg
IMG-20200512-WA0016.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
KATIBA YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA

5.2 Haki za Mwanachama
5.2.4 Kujitetea, kusikilizwa na kukata rufaa anaposhitakiwa ama kuchukuliwa hatua za kinidhamu kichama
 
KATIBA YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA

5.2 Haki za Mwanachama
5.2.4 Kujitetea, kusikilizwa na kukata rufaa anaposhitakiwa ama kuchukuliwa hatua za kinidhamu kichama
Angalia
 

Attachments

  • IMG_20200512_084541.jpg
    IMG_20200512_084541.jpg
    37 KB · Views: 1
Mbowe ameonea wabunge wake

Wabunge wapo bungeni wanashiriki vikao wanafukuzwa !
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom