Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Ni rubber stamp tu, hakuna lolote pale.Eti hili bunge ndio linalitunga sheria
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni rubber stamp tu, hakuna lolote pale.Eti hili bunge ndio linalitunga sheria
Mkuu kumbukumbu zipo za wanachama wa vyama tofauti ambo walikuwa wabunge na wakafukuzwa.chadema wanahubiri demokrasia ambayo HAWAIFUATI..
Ndugai ana matatizo na viongozi wa chadema nao wana matatizo.
TUSIANGALIE UPANDE MMOJA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha sana nchi maskini kabisa duniani kuingiza mgonjwa aliyetibiwa kwa gharama kubwa kuliko wote duniani kwenye Guinness Book of Records. Walipongia madarakani walisema nchi ilikuwa inapigwa sana hii, lakini kumbe wao katika kipindi kifupi tu nchi inapigwa hadi kuvunja rekodi na bado itaendelea kuchakachuliwaMgonjwa ghali zaidi duniani anayepaswa kuingia kwenye Guinness Book of Records anaonesha umahiri wake katika taratibu la kuendesha bunge la vyama vingi.
Jr
Naye anapambana arejeshwe kwenye uspika awamu ya pili,lazima awafurahishe watakaomuweka pale,anajua anaikanyaga katika Ila uspika Ni zaidi ya katibaNdugai ni spika wa ajabu haijawahi kutokea. Utawala wa Jiwe hauachi kuwavua nguo watetezi wake kila siku uchwao. Wacha kina mzee mwanakijiji wakae kimya jukwaani
Kosa alianza kulifanya mbowe
Chama cha siasa kinaendeshwa na katiba na kanuni
Haujakaa kikao na mtu yeyote yule unakuja na maazimio makubwa hakuna kuingia bungeni twendeni tukajikarantini
Ni kama vile mwalimu mkuu anawapa amri wanafunzi wake,
Wabunge ni watu wazima wanaamini vikao vya chama, kamati kuu nk
Sio amri ya mtu mmoja kana kwamba chama ni chake,
Ukimlaumu ndugai anaendesha bunge bila kufuata katiba
Vile vile rudi na kwa mbowe anaendesha chama cha siasa kama kampuni yake binafsi
Ili tupate kujenga nchi tuache double Standard kama ni kusema tuwaseme wote..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo la hatari sana kwa Spika wa Bunge Ndugai kuisigina Katiba ya nchi kadri apendavyoNdugai haitambui Katiba ya JMT kabisa, bora hata wangetumia mbinu za Mahakama ila hii ni dharau kubwa sana kwa Watanzani.
Tanzania imekabidhiwa kwa washamba.
So sad
Kwa katiba yako wewe na Ndugai sawa kwa hiyo kule wanamwakilisha Ndugai?Mnaakili Kama mmetoa mimbaHuwezi mvua uanachama mbunge kwa kutekeleza majukumu yake ya kibunge bungeni
Kazi ya mbunge ni.kuhudhuria vikao vya bunge sasa Wewe ujlkisema unamfukuza kakosea kuhudhuria vikao vya bunge akili unakuwa huna .Nasimama na spika yuko sahihi mbunge kuhudhuria vikao vya bunge sio kosa .Hakuna awezaye mwadhibu kuwa eti kakosea kuhudhuria vikao vya bunge !!!
Ni sharti waende Mahakamani ili sheria za Nchi na za Chama chao zitafsiriwe pale.Hapa unachanganya mambo Nyalandu kosa alilofukuzwa na chama sio kuhudhuria vikao vya bunge Uanachama wake ulikoma kwa sababu zingine sio za ubunge wake au kuhudhuria bungeni.Vyama ruksa kuadhibu uanachama wao lakini sio kuadhibu MTU kwa kuhudhuria vikao vya bunge wakati unajua ni wajibu wake hilo hakuna
Usilinganishe ya Nyalandu na hilo wakilofanya chadema
Chadema wanaadhibu mbunge kwa kuhudhuria vikao vya bunge hiyo no haikubaliki popote
Hilo Bunge lazima liwe makini na huyo Ndugai, ili asije rudia yale aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa 2015, alipomchapa fimbo mgombea mwenzake wa CCM hadi akazirai na kukimbizwa hospitaliniKama vipo unamlaumu job yule mgogo wa watu kwa ajili gani?lile bunge ni jukwaa la siasa hata job anafanya siasa mule
.
Sent using Jamii Forums mobile app
AngaliaKATIBA YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA
5.2 Haki za Mwanachama
5.2.4 Kujitetea, kusikilizwa na kukata rufaa anaposhitakiwa ama kuchukuliwa hatua za kinidhamu kichama
Wale wa CUF walisikilizwa?Je ,Nyalandu?KATIBA YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA
5.2 Haki za Mwanachama
5.2.4 Kujitetea, kusikilizwa na kukata rufaa anaposhitakiwa ama kuchukuliwa hatua za kinidhamu kichama
Nisaidie kidogo,Hivi maamuzi yamefanywa na Mbowe au kamati kuu?Mbowe ameonea wabunge wake
Wabunge wapo bungeni wanashiriki vikao wanafukuzwa !
Mbowe ameonea wabunge wake
Wabunge wapo bungeni wanashiriki vikao wanafukuzwa !