Nimeshangaa sana Spika kumtaka CAG ajiuzulu,
SIO kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake, Ila na kwa kuwa tu amekosoa mwenendo wa konokono wa Bunge katika kuisimamia Serikali dhidi ya matumizi mabaya ya fedha za Umma.!
Kweli aliyemloga Ndungai kafwaa!
SIO kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake, Ila na kwa kuwa tu amekosoa mwenendo wa konokono wa Bunge katika kuisimamia Serikali dhidi ya matumizi mabaya ya fedha za Umma.!
Kweli aliyemloga Ndungai kafwaa!