Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,820
- 4,572
Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson amewataka wenyeviti wa kamati za kudumu za Bunge kuwa makini kuepuka kuingizwa kwenye mitego ya kudanganywa na asasi za kiraia zinapotaka ushawishi wa chombo hicho kupitisha ajenda fulani kwa utashi na maslahi yao.
“Bunge huwa ni chombo ha ushawishi, kwahiyo linapokuwapo jambo kwenye jamii asasi zitakuja ili kushawishi, watakuja kwenye kamati kwahiyo wenyeviti wanatakiwa kuwa makini na mambo hayo yanapotokea ili kujiridhisha kukwepa kutoingia kwenye mitego ya kudanganywa.
Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Februari 21, 2021 wakati akifungua mafunzo ya siku tano ya kamati ya uongozi, makamu wenyeviti wa kamati na wajumbe wa Tume utumishi wa bunge katika ofisi ndogo ya Bunge Tunguu, Zanzibar.
Mwananchi
“Bunge huwa ni chombo ha ushawishi, kwahiyo linapokuwapo jambo kwenye jamii asasi zitakuja ili kushawishi, watakuja kwenye kamati kwahiyo wenyeviti wanatakiwa kuwa makini na mambo hayo yanapotokea ili kujiridhisha kukwepa kutoingia kwenye mitego ya kudanganywa.
Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Februari 21, 2021 wakati akifungua mafunzo ya siku tano ya kamati ya uongozi, makamu wenyeviti wa kamati na wajumbe wa Tume utumishi wa bunge katika ofisi ndogo ya Bunge Tunguu, Zanzibar.
Mwananchi