Spika aongezewa ulinzi

Spika aongezewa ulinzi

wakati ukilaumu wengine kwa vitisho wakati huo huo wewe mwenyewe Dr.kashillah(wa kichina)unatoa vitisho kwa wengine Ebu waache wananchi waendelee kutoa maoni bila kujaribu kuwatisha kwani wanalipia hizo simu waache watoe mawazo yao

Mtu muovu hata akilindwa na binadamu mwenzie, hukumu yake itatoka tu hapa hapa duniani.Mnawakumbuka hawa: Saadam, Cheuscescu, Hitler, Iddi Amin, Franco, Anastazio Samoza, Hosni Mubarak, Kadaffi n.k.? "na siku si nyingi"
 
"Wote waliotoa lugha za matusi kwa Spika Makinda na Naibu Ndugai watachukuliwa hatua za kisheria. Tutawatafuta kwa njia zote, hii itasaidia kuwa fundisho kwa watu wenye tabia kama hizo ambao wanapewa namba kwa manufaa ya wananchi, lakini wanazitumia kinyume chake," alionya Kashililah.


"Tutawasaka kwa kila hali, tutawabaini tu kwa kushirikiliana na idara mbalimbali ikiwemo Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Polisi ili wachukuliwe hatua kali."
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika alipoulizwa jana kuhusu msimamo wa chama chake baada ya kutoa namba hizo kwa wananchi alisema; "Bunge halijatuuliza ila wakituuliza tutajibu."

Wakiweza kufanya hilo waje watuambia kilichowashinda kukamata wale jamaa wa DR Ulimboka nini wakati namba zilitolewa na majina yalitolewa, je walikatazwa, walishindwa, au walikuwa ni wenzao??

Na je wakina lusinde wako juu ya sheria? mbona walitukana na hakukamatwa?
 
Hivi Spika hajui kuwa akutukanaye hakuchagulii tusi...asamehe tu!!!
 
Shule bwana sasa hao wanamtumia vitisho wakati namba zao za simu wamezisajiri wakikamatwa wakabinywa korodani kwa plais wanabaki wanalia lia

mkuu kama ingekuwa rahisi hivyo basi hata waliokuwa wanawatisha wakina Dr Mwakyembe, Dr slaa, waliomteka Dr Ulimboka tungesikia wamekamatwa maana namba zao zipo mpaka majina, otherwise uniambie kuwa Makinda na makinda yake wana thaminika zaidi kuliko hao wengine.

na swala la kibinywa korodani siku hizi hamna siku hizi polisi akikupiga tu una haki ya kumshtaki siyo kama zamani.
 
He! umeulizia gesi asilia ya Mtwara? Wanamtwara wanasema hakuna cha ujenzi wa bomba la gesi baadala yake hivi karibuni vyombo vya habari meripoti kuwa symbion power watajenga mtambo wa kufua umeme wa megawati 400 lakini waziri mkuu na rais walisema utajengwa mtambo wa kufua umeme wa megawatt 600 baadala ya megawatt 300. Lakini wanamtwara tunajua kuwa hizo ni proganda maana hakuna kauli dhabiti kia mmoja anaongea lake. tumeapa gesi asilia haitoki mtwara.
 
Hawa watu wapuuzi sasa; kwani namba za Spika zilikuwa hazijulikani? MBona ni public information? Namba za Rais zinajulikana, namba za Waziri Mkuu zinajulikana; imekuwa namba za Spika? Chadema hawakutoa namba za Spika hadharani; namba hizo alizotoa yeye mwenyewe, CDM wao walizirudia tu kwenye mkutano wa hadhara; wangeweza kumwelekeza mtu aende kwenye tovuti ya Bunge au kuzitafuta kwa namna nyingine.

Kosa la wale viongozi waliotaja jamba za Spika na Naibu wake hawakuwa na ujumbe Specific wa kumwambia Spika. They should have a standard message - short, clear and pointed.
Mkuu naomba ya Kikwete nina hasira nae sana...
 
Wakiweza kufanya hilo waje watuambia kilichowashinda kukamata wale jamaa wa DR Ulimboka nini wakati namba zilitolewa na majina yalitolewa, je walikatazwa, walishindwa, au walikuwa ni wenzao??

Na je wakina lusinde wako juu ya sheria? mbona walitukana na hakukamatwa?
Yaani kila ninapo ona vitisho hivi ndiyo naongeza kuhamasisha na kutuma sms kwa bi kiroboto...
 
Kuongezewa ulinzi pekee kutatosha kumbadilisha kuacha kuibaka demokrasia? maana huo ndio ujumbe muhimu kwake! mengine yote ni namna ya kututoa kwenye madai ya msingi na hatuta rudi nyuma kupigania haki inayokabwa na watu kama hawa.
 
wanatumia kodi zetu vibaya.... hakuna cha gari jingine wala nyumba watu wenye nia zao wakiamua kumtungua wanamdungua tu, nyumba gari sawa mmebadilisha je huko mtaani mnafanyaje au atakuwa ndani tu hatatembea?

style inaweza kuwa ileile tu piga baadae tunasema tulimfananisha kama ya Kombe
 
Shule bwana sasa hao wanamtumia vitisho wakati namba zao za simu wamezisajiri wakikamatwa wakabinywa korodani kwa plais wanabaki wanalia lia

Mhh ina maana ushajua kuwa walikuwa wanaume tu?
 
Hawa watu wapuuzi sasa;


Mkuu Mwanakijiji, kuna haja ya kuiambia serikali kwamba msaada kwa mtu mwenye tatizo la kuharisha sio kumweka karibu na choo. Sasa Spika wetu ana tatizo la kuvurugikiwa tumbo wao wanakuja na suluhisho la kumweka karibu na choo na kumpa toilet paper kibao - kumwongezea ulinzi na kubadilisha namba za magari. Huko ni kutatua tatizo lililopo kweli?
 
Chadema wanalitia gharama taifa!!!

-Wanaolitia gharama taifa ni wale wanaoshabikia elimu ya kipuuzi kwa walalahoi wao wakineemeka, tangu lini hesabu zikawa multiple choice? wewe unaridhika na mwenendo wa elimu ya tanzania kwa watanzania waleo na wale wa kesho?

-Wanaolitia gharama taifa ni wale wanaoruhusu meli zao kubeba shehena za meno ya tembo kwenda ughaibun. KINANA katibu mkuu ccm

-Wanaolitia gharama taifa ni wale wanaotafuta uraisi kwa nguvu ya udini kuwagawa watanzania, wao wakila bata ikulu-ccm na viongozi wake

-Wanaolitia gharama taifa ni wale waloshindwa kuboreha hospitali ya muhimbili na kuigeuza India ya wahindi kuwa muhimbili wanatufedhehesha sana maana walalahoi hawawezi kuenda huko wao kwao DAR muhimbili wewe unalizika na kitendo hicho cha wao kila kukicha India?

-Wanaolitia gharama taifa ni wale wanaoficha fedha za taifa uswis kwa mabilioni sisi tukiteseka na maisha magumu
.
.
.
. EPA, Richimond, twiga ndani ya ndege kuelekea arabun, mikataba ya gesi imefichwa kwa faida ya nani?..........

Tumia akili yako kuwaunganisha watanzania kudai haki zao za msingi.
 
Laana aina mlinzi,kama anafanya upuuzi ili aongezewe ulinzi haisaidii,manung'uniko ya watu ni laana tosha ktk uongozi wake
 
-Wanaolitia gharama taifa ni wale wanaoshabikia elimu ya kipuuzi kwa walalahoi wao wakineemeka, tangu lini hesabu zikawa multiple choice? wewe unaridhika na mwenendo wa elimu ya tanzania kwa watanzania waleo na wale wa kesho?

-Wanaolitia gharama taifa ni wale wanaoruhusu meli zao kubeba shehena za meno ya tembo kwenda ughaibun. KINANA katibu mkuu ccm

-Wanaolitia gharama taifa ni wale wanaotafuta uraisi kwa nguvu ya udini kuwagawa watanzania, wao wakila bata ikulu-ccm na viongozi wake

-Wanaolitia gharama taifa ni wale waloshindwa kuboreha hospitali ya muhimbili na kuigeuza India ya wahindi kuwa muhimbili wanatufedhehesha sana maana walalahoi hawawezi kuenda huko wao kwao DAR muhimbili wewe unalizika na kitendo hicho cha wao kila kukicha India?

-Wanaolitia gharama taifa ni wale wanaoficha fedha za taifa uswis kwa mabilioni sisi tukiteseka na maisha magumu
.
.
.
. EPA, Richimond, twiga ndani ya ndege kuelekea arabun, mikataba ya gesi imefichwa kwa faida ya nani?..........

Tumia akili yako kuwaunganisha watanzania kudai haki zao za msingi.

Maelezo yako hayana uhusiano na topic ya thread. Tusitoke nje ya mada. Hayo yako unaweza kuyaanzishia thread, tutakuja kuchangia...
 
Mwanakijiji acha unazi,chanzo cha matusi kwa spika ni mkutano wa Mwembe yanga tena mtoa namba alisisita hadhara imtumie ujumbe spika.Na hizi ndio athari za jazba za siasa za kutaka sifa za kijinga majukwaani.

Mbona huyo SUPIKA wako hajasema walimtumia SMS za kumpongeza na kumpa pole? Ina maana watu wote walitukana?
 
Back
Top Bottom