Mwanakijiji acha unazi,chanzo cha matusi kwa spika ni mkutano wa Mwembe yanga tena mtoa namba alisisita hadhara imtumie ujumbe spika.Na hizi ndio athari za jazba za siasa za kutaka sifa za kijinga majukwaani.
Watanzania ni mabingwa katika kumalizia hasira zao kwenye keyboard and keypad, kwa njia hii kila aina ya maneno machafu wanayajua. Inapokuja kwenye physical confrontation na ukichukulia hata kanuni za bunge wengi hawazijui, thubutu, huwezi kuwaona.
Mama Spika wala usiwe na wasiwasi, haya ni maneno ya debe tupu. hakuna mtu atakaye kudhuru kwa sababu ya kanuni ambazo wachache sana wanazijua. kilichofanyika ni mob mentality kuchagizwa na waheshimiwa ambayo imewasukuma watu kutenda deindividuation.
Huu ni upepo tu na utapita.
'unawashwa washwa' nukuu ya MabumbaMwanakijiji acha unazi,chanzo cha matusi kwa spika ni mkutano wa Mwembe yanga tena mtoa namba alisisita hadhara imtumie ujumbe spika.Na hizi ndio athari za jazba za siasa za kutaka sifa za kijinga majukwaani.
Hawa watu wapuuzi sasa; kwani namba za Spika zilikuwa hazijulikani? MBona ni public information? Namba za Rais zinajulikana, namba za Waziri Mkuu zinajulikana; imekuwa namba za Spika? Chadema hawakutoa namba za Spika hadharani; namba hizo alizotoa yeye mwenyewe, CDM wao walizirudia tu kwenye mkutano wa hadhara; wangeweza kumwelekeza mtu aende kwenye tovuti ya Bunge au kuzitafuta kwa namna nyingine.
Kosa la wale viongozi waliotaja jamba za Spika na Naibu wake hawakuwa na ujumbe Specific wa kumwambia Spika. They should have a standard message - short, clear and pointed.
[Ndugu yangu mwanakijiji na wengine Viongozi wa CDM wamefanya sehemu yao vizuri sana kwani wametoa namba na kuwaasa wananchi wasitoe lugha za kejeli, matusi wala kashfa ila wawatake wajiuzulu kwani inaonekana kazi imewashinda. KUWAAMBIA KWAMBA MASSAGE YA KUANDIKA NI HII SI SAHIHI kwani watakuwa wanawasilisha mawazo ya viongozi badala ya mawazo yao ]
Hawa watu wapuuzi sasa; kwani namba za Spika zilikuwa hazijulikani? MBona ni public information? Namba za Rais zinajulikana, namba za Waziri Mkuu zinajulikana; imekuwa namba za Spika? Chadema hawakutoa namba za Spika hadharani; namba hizo alizotoa yeye mwenyewe, CDM wao walizirudia tu kwenye mkutano wa hadhara; wangeweza kumwelekeza mtu aende kwenye tovuti ya Bunge au kuzitafuta kwa namna nyingine. Kosa la wale viongozi waliotaja jamba za Spika na Naibu wake hawakuwa na ujumbe Specific wa kumwambia Spika. They should have a standard message - short, clear and pointed.
Ndio kosa la wanasiasa wetu wengi;
Huwaacha wananchi katika limbwi kubwa la sitofahamu;
Matokeo yake ujumbe uliokusudiwa haufiki;
Bali inakuwa fujo naam mchafugoke.Tubadilike na Tujisahihishe.
Bazazi!