Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,597
- 46,224
Ndugai ashukiwa "kama Mwewe" na Mwenezi wa Njombe
Kama huna bando ni hivi, Ndugai aliupata Uspika kwa fitna dhidi ya Mama Anne Makinda, Ndugai alitibiwa kwa mamilioni ya fedha ughaibuni na hajapona Bado, Ndugai ana tabia ya kuwachapa bakora wapinzani wake... Na Kali kuliko zote, Ndugai anawashikilia Wabunge 19 wasio na vyama kinyume na Katiba...
www.jamiiforums.com