As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,526
Amesahau kwamba Serikali ya sasa hivi niyakuisifia tu haina makosa
Kwani 1+1 inajibu jingine tofauti na 2 ???Tatizo wewe Ulitaka awe Ukawa?
Paschal Mayalla ni Mwanahabari huru...
Hafungamani na Upande wowote na Huwa analiweka wazi hilo....Tatizo Inategemea na Uelewa wa Kichwa chako...spoon Feeding!
Yeye kila Upande Kukosoa na Kusifia pale inapostahili....Tatizo wewe Umezoea 1+1=2
Spika Job Ndugai ametoa maagizo kwa Kamati ya Maadili ya Bunge, kumhoji Mwanahabari Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema kwa kuandika makala ikiwa na kichwa "Bunge linajipendekeza?"
View attachment 742128
Makala hiyo inayodaiwa kulidhalilisha Bunge ilitoka kwenye toleo la Jumatatu tarehe 9 Aprili 2018.
Taarifa zaidi zinafuata...
Spika Job Ndugai ametoa maagizo kwa Kamati ya Maadili ya Bunge, kumhoji Mwanahabari Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema kwa kuandika makala ikiwa na kichwa "Bunge linajipendekeza?"
View attachment 742128
Makala hiyo inayodaiwa kulidhalilisha Bunge ilitoka kwenye toleo la Jumatatu tarehe 9 Aprili 2018.
Taarifa zaidi zinafuata...
Hii iishie humu humu jf, ikitoka tuu nje, ikachapishwa na gezeti lolote, jiandae kuitwa Dodoma!.Asalaam Tanzania! bilashaka mmejibu kazi iendelee.
binafsi nimehuzunishwa sana na kauli ya SPIKA akiwa bungeni siku ya alhamisi tarehe 8/4/2021 yakuwa
"MKUBWA akishasema wengine inabidi tukae kimya"
Aliyasema hayo akirejea maoni yake kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo ambapo alisema rais alishauriwa vibaya.
Kiukweli kauli hii inaonesha udhaifu MKUBWA katika taasisi ambayo ilipaswa kuheshimika na kusikilizwa sana! Taasisi ambayo ni mhimili mkuu, taasisi ambayo inapaswa kuisimamia serikali, kutunga sheria na kutupa bajeti bora kwa maendeleo ya kweli kwa taifa letu.
Kistaarabu kauli ile (YA AIBU) ilipaswa kufutwa kwenye Hansard kwani inawafundisha wabunge ambayo wengine niwageni sio tuu kutoshauri kitu mkubwa (rais) akishakiongea! Bali kuwa waoga! bubu! na kutowasilisha matakwa ya wananchi waliowachagua!
Endapo kiongozi wako ananyamazishwa wewe uliye chini yake utasema nini?
Na huu ni uthibitisho mwingine yakuwa serikali ililiweka bunge mkononi na kuliamulia vyakusema, kwa bunge la namna hii tusitarajie maendeleo hili ni 'rubber stamp' ya nini serikali inataka.
Si ajabu sasa kuona wooote waliokosoa serikali waziwazi wametupwa pembeni kwenye uchaguzi wa aibu wa 2020. Sio ajabu kusema wabunge wa upinzani kupitia viti maalumu kuingia bungeni litakuwa ni agizo toka kwa MKUBWA kwenda kwa MDOGO.
Mhimili umegeuka sio mhimili tena,haustahimili kulibeba taifa na hauwezi. Udhaifu huu ni lazima tuuongee bila kukubali kuogopa vitisho na mateso yanayoweza kutekelezwa juu yetu! Tupaze sauti tulikatae.
BUNGE LA AIBU, AIBU, AIBU TUPU!
Hii iishie humu humu jf, ikitoka tuu nje, ikachapishwa na gezeti lolote, jiandae kuitwa Dodoma!.
Usije kusema hukujua, niulize mimi mwenzio, yalinikuta yepi?.
P
Spika Job Ndugai ametoa maagizo kwa Kamati ya Maadili ya Bunge, kumhoji Mwanahabari Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema kwa kuandika makala ikiwa na kichwa "Bunge linajipendekeza?"
View attachment 742128
Makala hiyo inayodaiwa kulidhalilisha Bunge ilitoka kwenye toleo la Jumatatu tarehe 9 Aprili 2018.
Taarifa zaidi zinafuata...
Mkuu NIJUE , kumbe licha ya kuitwa nijue, kumbe hujui na unataka kujua!. Na mimi naomba kujua hiyo miaka 5 iliyopita, ulikuwa unasomaga magazeti?.nilitaka nijue tu kipindi cha miaka mitano iliyopita hakuna matukio yaliyotokea na haukuandika chochote
Kwasasa amebaki na roho Ile ya kayafa ndiye anayeongoza kundi lakesisi wanahabari tunaojielewa na kuhoji tunatafutwa sana
Sijawahi kuwa na Mashaka na Pascal, ninamuelewa mara zote.Pascal take strength from this indictment! Hii kwako ni recognition kwamba Paschal Mayallah a.k.a NJALA you are notable member of the fourth estate, a confident "pen pusher" of merit; nenda Dodoma with confidence, kwako hii ni fursa adhimu kusema unachokiamini na kuweka msimamo mzito kwanini uliandika ulichokiandika kwa makusudi mazima wala sio bahati mbaya, wape waheshimiwa wabunge darasa, usiogope, ni kweli utaadhibiwa na kukemewa kwa namna moja au nyingine kwani watu hao wana madaraka na hasira kwa ulichokiandika lakini katika adhabu wanazoweza kukupa sio kifungo wala kukuua bali kujaribu kukupunguza confidence! Kwa hiyo simama imara, pay them back in kind kwa kuwaambia ukweli kwa kadiri unavyoamini na jinsi dhamira yako ilivyokutuma kuandika, maana kusema ukweli kutakuweka huru, na pia kusema ukweli sio hodhi ya mtu mmoja peke yake "NJI" hii! wambie ukweli, ukweli mtupu ili nafsi na dhamira yako viwe huru, Paschal nasisitiza usiogope kwani There is no gain without pain! I wish you a good encounter@parliament.org
Thex sana mkuu,nakupenda bule tu.maana we ni nguli kwelikweli.View attachment 1825422
Mkuu NIJUE , kumbe licha ya kuitwa nijue, kumbe unataka kujua!. Na mimi naomba kujua hiyo miaka 5 iliyopita, ulikuwa unasomaga magazeti?.
Gezeti hili uliwahi kulisoma?. Angalia ni la mwaka gani!.
Pasco