Spidi ya internet tigo imeongezeka sana

Weka ushahidi hapa wa kuwa wewe unafikisha 3mbps.


FaizaFoxy

Unachokilalamikia wewe hapa Ni unlimited bundle uliyojiunga !
Kwamba ina speed ndogo !

Sidhani kama unamaanisha speed ya vodacom ni ndogo kwa vifurushi vyote !

Na hata hiyo speed unayoisemea wewe kwa kifurushi hicho cha unlimited !
Kuna wengine wanapata speed nzuri tu mwanzoni baada yakujiunga !

Ndomana nikakwambia ujiulize kwanini hiyo speed iwe kwako tu

Na binafsi sina uteja na Vodacom !

Nikimaanisha hiyo screen shot unayotaka nikuwekee !

Na binafsi siwekagi screen shot mana najijua ni muongo !

Naweza kukuwekea screen shot yoyote uitakayo !

Hata 50MBps

Mfano ! --->

10313848_239206886287050_4149855725885631370_n.jpg

screen attachment kuweka sio kazi kama unaitaka hiyo ya 3MBps
 

Attachments

  • Copying !.jpg
    Copying !.jpg
    19.9 KB · Views: 90
Last edited by a moderator:
FaizaFoxy

Unachokilalamikia wewe hapa Ni unlimited bundle uliyojiunga !
Kwamba ina speed ndogo !

Sidhani kama unamaanisha speed ya vodacom ni ndogo kwa vifurushi vyote !

Na hata hiyo speed unayoisemea wewe kwa kifurushi hicho cha unlimited !
Kuna wengine wanapata speed nzuri tu mwanzoni baada yakujiunga !

Ndomana nikakwambia ujiulize kwanini hiyo speed iwe kwako tu

Na binafsi sina uteja na Vodacom !

Nikimaanisha hiyo screen shot unayotaka nikuwekee !

Na binafsi siwekagi screen shot mana najijua ni muongo !

Naweza kukuwekea screen shot yoyote uitakayo !

Hata 50MBps

Mfano ! --->

10313848_239206886287050_4149855725885631370_n.jpg

screen attachment kuweka sio kazi kama unaitaka hiyo ya 3MBps

Kwa hiyo huyu katudanganya:

Karibu voda.. 3Mb/S Better than 320kb/s
 
Kiukweli kwa takribani wiki moja na nusu hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa sana tunapozungumzia kasi ya internet kwa hawa tigo, yani zamani spidi ya kudownload kawaida mchana 60 kb/s ila kwa sasa nmeshangaa sana spidi average ya kudownload inaenda 320 kb/s.

Kiukweli wamejitahidi sana yani jana nmedownload movie ya gb 1 at a satisfying speed hongereni sana tigo.


ni hatari me huwa nafika huku ila mida ya usiku
2014-05-24_3-43-08.jpg
 
sasa wewe mbona unatuwekea screen shot ya kucopy vitu na sio ku download???hata kama mi sio mkali wa ivi vitu usitudanganye kitoto ivo
 
Nafikiri watu wapewe somo la KB/sec au KBps na Kbps au MB/sec au MBps ndo tutaenda sawa kabisa.....

Speed unayoiona kwenye dashboard/interface ya modem inapimwa kwa "bits" na sio "bytes"

Megabytes per second=MBps
Megabits per second =Mbps

Hivo hapo ni vipimo tofauti na vinamaana tofauti...

sasa wewe faiza kama huwa unaishia 600kbps kwa hapa Dar ujue modem yako imesetiwa kusoma EDGE only i.e 2G

Vinginevyo 3Mbps kama unadownload kitu na Voda lazima uififikishe

kumbe!!
 
Inategemeana na maeneo mlipo !

Mi naona Tigo ina speed kubwa kuliko Voda !

Ni kweli mkuu location ndo inayomatter....me kwangu tigo ni mida ya usiku ... ila airtel all the time kanyaga twende



airtel.png
 
sasa wewe mbona unatuwekea screen shot ya kucopy vitu na sio ku download???hata kama mi sio mkali wa ivi vitu usitudanganye kitoto ivo


Hujaelewa nilichokimaanisha !

Mwalimu wako shule yamsingi alikufundisha kusoma kwanza maelezo kabla yakujibu !
 
Hii IDM kumbe inawatumiaji wengi! mwenye serial no. za idm anisaidie.
 
ni hatari me huwa nafika huku ila mida ya usiku
View attachment 160961

Sio mbaya sana lkn speed ya dashboard haifanani na Speed ya kupakua kwenye IDM 2.6Mbps maana yake kwa IDM inabidi isome 300KB/sec
kwa maneno speed yako ulipomaliza kufanya capture hapo hapo ikashuka mpaka 300KBps na hii ni challenge kwa network za 3G yaani speed zinafluctuate mno
 
sijaona msamiati hapo ndo nishindwe kuelewa wee umeambiwa weka screen shot ya jinsi unavo shusha vitu kwa speed kubwa unajifanya unajua kudanganya afu unatudanganya kitoto
 
Sio mbaya sana lkn speed ya dashboard haifanani na Speed ya kupakua kwenye IDM 2.6Mbps maana yake kwa IDM inabidi isome 300KB/sec
kwa maneno speed yako ulipomaliza kufanya capture hapo hapo ikashuka mpaka 300KBps na hii ni challenge kwa network za 3G yaani speed zinafluctuate mno

yeah up... kuna muda inashuka mpaka 300KB/sec...
unafanyaje izo convertion rate za kwenye dashbord na idm
 
yeah up... kuna muda inashuka mpaka 300KB/sec...
unafanyaje izo convertion rate za kwenye dashbord na idm

siku zote lazima ujue kwamba kwenye speed ya internet tunatumia bits e.g 8Mbps au 800Kbps wakati katika file size tunatumia Bytes e.g 1MBps au 100KBps
Zinatofautiana kwa unit factor ya 8

Generally simple formula ni kwamba 1MB/sec======> 8Mbps

Hivo katika dashboard yako ilikua inaonesha 2.6Mbps tuifanyie converstioon
Iwapo
1MBps=========>8Mbps

je 2.6Mbps ni sawa na ngapi?
Fanya cross multiplication

2.6/8=0.35MBps ambayo ni sawa na 350KBps

Hope umeelewa japo somo limekua gumu sababu ya typing interface ya JF haina symbols za Basic Maths
 
sijaona msamiati hapo ndo nishindwe kuelewa wee umeambiwa weka screen shot ya jinsi unavo shusha vitu kwa speed kubwa unajifanya unajua kudanganya afu unatudanganya kitoto



Isiwe ishu sana mkuu !
Ntakuwekea speed yoyote ile unayoitaka ! Ila sitaki ubishi !

Kama tunakubaliana sawa ntaweka !
 
chief-mkwawa na Mwl.RCT tupeni neno lolote kuhusu hii speed mkizingatia ni tigo

Kaka kama hauiamini naweka nyingine
Ila mimi hiyo ni speed ya kawaida kwa Tigo hususani saa sita
Kama bado hauamini ntaweka ya 2MB/sec
Ila ikiwa mchana inacheza 300KB/sec on average

Mfano usiku wa leo tigo kieo sana hadi ku-edit post ya JF ni taabu tupu
 
Yani mimi MB 500 namaliza dakika 10 tu... tigo wametoa unlimited ya mwezi nimeamia vodacom kwa sasa ila tatizo la voda kustream movie online ni shida... wanabana.... HIVI KUNA MTU ANAE JUA JINSI YA KUI BOOST VODA IONGEZEKE SPEED
 
wadau najua sana hio mitandao mingine ina spidi ila bure hupati au nyie mnapiga bure
  • Shiny C, kwa wewe ninavyokujua sikutegemea kuuliza jibu
  • Okay! nicheck wakati wowote 0784 496 856 kama bado hujawa connected
 
Back
Top Bottom