Spidi ya internet tigo imeongezeka sana

Kiukweli kwa takribani wiki moja na nusu hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa sana tunapozungumzia kasi ya internet kwa hawa tigo, yani zamani spidi ya kudownload kawaida mchana 60 kb/s ila kwa sasa nmeshangaa sana spidi average ya kudownload inaenda 320 kb/s.

Kiukweli wamejitahidi sana yani jana nmedownload movie ya gb 1 at a satisfying speed hongereni sana tigo.

Mitaa ya kwetu usiku wa sita TIGO nyepesi kama vile 4G hivi ya smile
9f1u.png
 
Dah! mie natumia Voda bundle ya mwezi Unlimited, sijapata hiyo spidi hata siku moja. Zaidi ya miaka mitatu natumia modem ya Voda G3.


Ungejiunga Kifurushi cha siku ! Usingepata speed ndogo !

Ukijiunga unlimited baada ya Kufikia limit flani

! ISP huwa wanafanya speed throttling kwa hapa TZ ndivyo wananchi tulivyolidhika na uonezi huu !

Ila kuna njia zaku bypass nyingi ni ---- tu !

Ngoja tuwasikilizie Airtel Jamaa ! Wanafikisha 8GB mpaka sasa bila speed kushuka !
 
Mitaa ya kwetu usiku wa sita TIGO nyepesi kama vile 4G hivi ya smile
9f1u.png


Usingeweka na IDM kidogo hiyo speed ya Dashboard 10MBps ingetishia !

Ila kama Downloading speed ya IDM ni 1.34MBps basi ni speed ya kawaida sana !

Ni differ sana na 4G ya smile ! Hiyo speed ya Tigo ina ---- !
 
Ungejiunga Kifurushi cha siku ! Usingepata speed ndogo !

Ukijiunga unlimited baada ya Kufikia limit flani

! ISP huwa wanafanya speed throttling kwa hapa TZ ndivyo wananchi tulivyolidhika na uonezi huu !

Ila kuna njia zaku bypass nyingi ni ---- tu !

Ngoja tuwasikilizie Airtel Jamaa ! Wanafikisha 8GB mpaka sasa bila speed kushuka !

Nalijuwa hilo, kwa voda Unlimited ni 5 GB lakini hata hapo ambapo haijafikia 5 GB spidi hiyo ya 3Mbps sijawahi ifikia hata nusu yake. Tuwe tunaweka hadithi za ukweli kwa haya mambo na nilifikiri labda ni sehemu niliyokuwepo, lakini la hasha, nimejaribu Kariakoo, hali hiyo hiyo, nimejaribu Upanga hayo hayo, nimejaribu masaki yale yale, nimejaribu Mlimani (UDSM) yale yale, haijawahi kuzidi 600 kbs.
 
Usingeweka na IDM kidogo hiyo speed ya Dashboard 10MBps ingetishia !

Ila kama Downloading speed ya IDM ni 1.34MBps basi ni speed ya kawaida sana !

Ni differ sana na 4G ya smile ! Hiyo speed ya Tigo ina ---- !

kaka 10MBps ni tofauti na 10Mbps...yaani 10MBps ni 10MegaBytes per sec wakati 10Mbps ni 10Megabits per second....

Hivo ukifanya conversion ya 10Mbps utapata 1MBps
Hivo kinachoonekana kwenye dashboard ni sawa na transfer rate kwenye IDM...

Smile 4G nimewatumia kama zali vile lakini speed yao ya kudownload max ni 2.5MBps ambako inashuka mpaka 1MBps
Yaani so far Tigo na Voda wana evolved 3G niaijue hawa Airtel maana line zangu zinasoma kwenye modem yao tu
 
Nalijuwa hilo, kwa voda Unlimited ni 5 GB lakini hata hapo ambapo haijafikia 5 GB spidi hiyo ya 3Mbps sijawahi ifikia hata nusu yake. Tuwe tunaweka hadithi za ukweli kwa haya mambo na nilifikiri labda ni sehemu niliyokuwepo, lakini la hasha, nimejaribu Kariakoo, hali hiyo hiyo, nimejaribu Upanga hayo hayo, nimejaribu masaki yale yale, nimejaribu Mlimani (UDSM) yale yale, haijawahi kuzidi 600 kbs.

Nafikiri watu wapewe somo la KB/sec au KBps na Kbps au MB/sec au MBps ndo tutaenda sawa kabisa.....

Speed unayoiona kwenye dashboard/interface ya modem inapimwa kwa "bits" na sio "bytes"

Megabytes per second=MBps
Megabits per second =Mbps

Hivo hapo ni vipimo tofauti na vinamaana tofauti...

sasa wewe faiza kama huwa unaishia 600kbps kwa hapa Dar ujue modem yako imesetiwa kusoma EDGE only i.e 2G

Vinginevyo 3Mbps kama unadownload kitu na Voda lazima uififikishe
 
wamenisikitisha sana xtreem pack ya sh.500/- ambayo uapewa 100MB, kwa sasa wamepunguza MB ufikia 75MB.
 
Nalijuwa hilo, kwa voda Unlimited ni 5 GB lakini hata hapo ambapo haijafikia 5 GB spidi hiyo ya 3Mbps sijawahi ifikia hata nusu yake. Tuwe tunaweka hadithi za ukweli kwa haya mambo na nilifikiri labda ni sehemu niliyokuwepo, lakini la hasha, nimejaribu Kariakoo, hali hiyo hiyo, nimejaribu Upanga hayo hayo, nimejaribu masaki yale yale, nimejaribu Mlimani (UDSM) yale yale, haijawahi kuzidi 600 kbs.


Umefikisha GB ngapi toka ulipojiunga ?
 
Unanifanya niijaribu TiGo, ni kifurushi kipi hicho? nna Modem yao ya 3G.

kwa modem za Kibongo hauwezi fikisha 10Mbps ukifika ni kwa bahati sana...

Mimi natumia modem yenye kasi ya 28Mbps wakati modem za kibongo mwisho 7.2Mbps
Ndo maana imeandikwa "HSPA+ TIGO"

Ingekuwa modem ya kawaida ungeona "HSPA Tigo"

Na kwa Tigo hiyo speed mpaka saa tano kuja asubuhi sehemu ninapo kaa(Dar-Upanga) japo nimesikia mitaa ya Morroco pale muda wote iko poa sana
 
Umefikisha GB ngapi toka ulipojiunga ?

Nnakwambia sijawahi kufikisha zaidi ya 600Kbps hata ninunuwe leo kifurushi cha unlimited cha mwezi, sijawahi kupata zaidi ya 600kbps, sijui unaelewa nnachokiandika?
 
Back
Top Bottom