Spidi ya internet tigo imeongezeka sana

Mimi niko Mbinga lakini hawa tigo bado hadi leo hawajafunga kwenye minara 3G,wakati voda hata mwezi haujaisha wamefunga 3G mambo ni poa sana,ila hawa tigo ndo bure kabisa bado tunatumia EDGE.......
 
sijaona msamiati hapo ndo nishindwe kuelewa wee umeambiwa weka screen shot ya jinsi unavo shusha vitu kwa speed kubwa unajifanya unajua kudanganya afu unatudanganya kitoto


Unachokitaka ni hiki hapa mkuu !

attachment.php
 

Attachments

  • sssssssssssssssssssssssssssssssss.jpg
    sssssssssssssssssssssssssssssssss.jpg
    113.9 KB · Views: 555

duh mkuu naona hamna uwiano kabisa unadownload mb 200 kwa almost 1 Mb/sec ambayo inahitaji kama secunde 200 tu ila kwako naona bado dakika 18 hadi hio download imalizike kwa estimation yangu unacheza kwenye 150 hadi 240 kb/sec
 
pouwa mi mwenyewe sio nabisha ila nilikuwa nakukosoa tu kwa ulichokiweka.ila yaishe
 
duh mkuu naona hamna uwiano kabisa unadownload mb 200 kwa almost 1 Mb/sec ambayo inahitaji kama secunde 200 tu ila kwako naona bado dakika 18 hadi hio download imalizike kwa estimation yangu unacheza kwenye 150 hadi 240 kb/sec


Shiny unaona vizuri lakini ?

Si download 200 MB kwa speed unayoisemea !
Labda nikuandikie !

File size = 200,000 MB = 200GB


transfer rate 1,065 MB/sec = 1GB/sec

Time left 18 min 22 sec !
 
Nimekuelewa mkuu.....sana





siku zote lazima ujue kwamba kwenye speed ya internet tunatumia bits e.g 8Mbps au 800Kbps wakati katika file size tunatumia Bytes e.g 1MBps au 100KBps
Zinatofautiana kwa unit factor ya 8

Generally simple formula ni kwamba 1MB/sec======> 8Mbps

Hivo katika dashboard yako ilikua inaonesha 2.6Mbps tuifanyie converstioon
Iwapo
1MBps=========>8Mbps

je 2.6Mbps ni sawa na ngapi?
Fanya cross multiplication

2.6/8=0.35MBps ambayo ni sawa na 350KBps

Hope umeelewa japo somo limekua gumu sababu ya typing interface ya JF haina symbols za Basic Maths
 
Samahani wakuu hivi ni modem toleo gani ndiyo lenye speed zaidi ?
 
Shiny unaona vizuri lakini ?

Si download 200 MB kwa speed unayoisemea !
Labda nikuandikie !

File size = 200,000 MB = 200GB


transfer rate 1,065 MB/sec = 1GB/sec

Time left 18 min 22 sec !

mkuu hakuna hii spidi popote bongo kwa 3rd party user wa isp kabisaaa.. nakubaliana na njunwa wamavoko this shit umephotoshop mkuu. hiyo ni speed ya fiber optic data transfer tena ikiwezekana wired to the server directly... usitufanye mambumbumbu....... kama ipo kweli nitafute nikupe kilo 5 uniungie ya miezi miwili tu.. na hiyo modem sijui unapoozea nitrogen maana takuwa inawaka moto sio kupata joto .. hube get ur facts ryt snipa
 
Shiny unaona vizuri lakini ?

Si download 200 MB kwa speed unayoisemea !
Labda nikuandikie !

File size = 200,000 MB = 200GB


transfer rate 1,065 MB/sec = 1GB/sec

Time left 18 min 22 sec !

mkuu homgera naona umejitahidi kutumia photishop ila kwa hio spid wadanganye watoto wa mtaani kwenu
 
its no reward its a curse,we unakaa mars au hadi udownload 1 gb/sec ha haha ha

Achana na huyu muongo tuendeleze makamuzi hapa mpaka asubuhi yaani 2hrs zilizopita nshashusha 7GB naendelea na 7GB maana PC yangu haina Drivers za sauti kucheza kwenye Microphone hivo nashusha Driver pack solution v14

wnkf.png
 
Back
Top Bottom