Alikuwa zaidi anazindua program....ya wanawake, yeye si mpandaji kwa siku zote tatu za ziara yake K'njaro.kupanda mlima hadi kileleni ni siku tano (kwedna na kurudi). Kupanda nusu ni siku tatu (kwenda na kurudi)
atafika mbele ya mandara hut ni safari ndefu
Zile gari zimetoka moshi kumuwahi kumchukua airport hapa dar, amerudi jioni hiiWakuu salamu,
Muda huu umenipita msafara wa JK hapa maeneo ya Tabata dampo. Msafara ulikuwa na magari zaidi ya 30 na difenda za Presidential Protective Unit kama 8 hivi. Wamepita kwa spidi kali pengine kuliko kawaida ya spidi ya Presidential motorcade jambo ambalo limewashangaza wengi hapa.
Gari hizo zimetokea maeneo ya Ubungo na zimeelekea Tazara/Airport.
Kwa wale wenye taarifa mtujuze;
1. Bwana mkubwa anaelekea wapi?
2. Kwa nini msafara ukimbie kwa spidi ile? (spidi ilikuwa si chini ya 160kph).
3. Kwa nini leo amebadili njia na kutumia njia ya Mwenge-Ubungo-Tazara-Airport? (Njia ambayo huwa anatumia mara nyingi akiwa anaenda Airport ni Nyerere Road, leo mbona amezunguka hivi....kulikoni?
Wenye taarifa tafadhali.
Huyu jamaa kesha toka moshi?
Masharti toka Mlingotini Mjomba.
JK yuko Kilimanjaro wewe uliyemuona ni JK gani? Usitupige changa la macho bhana!
Bado yuko milima Kilimanjaro anashuka kesho bila shaka ni kiongozi mwingine aliyeonekana huko Tabata.
JMK anaweka rekodi nyingine tena kwa kuupanda Mlima Kilimanjaro akiwa Rais.
Jomba ile kitu si mchezo.
JMK anaweka rekodi nyingine tena kwa kuupanda Mlima Kilimanjaro akiwa Rais.
Jomba ile kitu si mchezo.
Muda mfupi uliopita amefungua mkutano wa polisi pale CCP MoshiMoshi si alikuwa jana? kwani leo hawezi kuwa Dar?
Hivi kuna watu waalikuwa wanaamini kuwa bwamkubwa kapanda mlima hadi kileleni..!? Kweli humu kuna ma-greti sinkers.Taarifa za KIINTELIJENSIA zinasema kuwa, JK hakupanda mlima kabisaaaaaaaaaaaa! Aliwasindikiza tu na aliishia pale getini Marangu. Jana jioni alipanda pipa kurudi bongo daslam! Inawezekana anaelekea airport JKNIA kuelekea Russia kuhudhuria sherehe za kuapishwa rais mchaguliwa wa Russia, Vladimir Putin!
Mkuu ile spidi ya leo mi huwa naionaga kwenye motor racing championship tu.Mkeshaji,
Unasema msafara umepita kwa speed isiyo ya kawaida kwani standard ya speed kwa msafara wa Prez ni ngapi km/hr?
Na je huo ulikuwa unaenda kilometa ngapi wka saa?
Nadhani kwanza ungeanza kuniuliza nilijuaje kama ile spidi ni 160kph.Speed 160km/hr umewezaje kumuona aliye ndani ya gari kama ni JK???
Mh!!!upandaji wa mlima na mokasin....:shock:
Hapana hakupanda juu zaidi ya Marangu geti kuu
Mkuu kwani ilikuwa Rais akutane na madaktari?Kila nikiulazimisha ubongo wangu kukuelewa inakuwa ngumu sana, yaani swala la madaktari na kupanda mlima priority ya Rais ni kupanda mlima kwa sababu lipo kwenye ratiba ya muda mrefu?
Mbona JK huyu huyu alikatisha ziara yake South Africa kwa ajili ya kuja kuwahi kumzika yule mchawi wa magomeni Mwembe chai?