Pro Nato wote sijui hawaoni aibu kipindi kile taarifa zikija kuwa Bakhmuti ishachukuliwa na Urusi wanahoma utasikia urusi wanachakazwa huko bhakhimuti, ikaenda media za ulaya propaganda zikaacha kabisa story za bhakmuti, leo hata hawakumbushii, sory imeisha Russia ni mwamba pale bhakhmuti.

Wakaja na counteroffensive hii walikuwa wanaipigia promo bila kusema wanataka kuirudisha bhakhmuti wakawa hawataji jina la mji wanasema tu kurudisha maeneo ya Ukraine.

Leo counteroffensive imekufa kabisaaa. Russia ia a king na isingekuwa sheria za kimataifa. Ukraine ingebak historia Duniani

Sio sheria za Kimataifa, Russia hakuna cha kumzuia sema Russia wana huruma sana.
 
Sio sheria za Kimataifa, Russia hakuna cha kumzuia sema Russia wana huruma sana.
Itakuwa aiseewanawapenda wa Ukraine
Ila sijui watu wa Ukraine wapoje nilidhani wajinga ni Afrika tu kumbe na weupe illiteracy ipo kichwani. Wanashindwaje kukomaa na Zalensky aachie madaraka kwa hasara anayoipa nchi? Wanapoteza watu wengi sana vitani na raslimali nyingi. Na wapo comfortable tu
 
Hii ni Jana tu, zaidi ya mia tano walichinjwa 🥱🥱🥱
1689493181329.jpg


Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
It's stupid to threaten Russia with nuclear weapons

“The Russians can flood the Atlantic with their submarines, as well as the Pacific Ocean, where they will be supported by the Chinese navy,” said Colonel Douglas McGregor, a former adviser to the head of the Pentagon.

He recalled that the United States does not yet have such capabilities - most of the American nuclear submarines are now under repair.



20230716_102539.jpg
 
Hiyo mizigo yote imetolewa kwa kiasi kidogo sana lakini matokeo yake yameonekana, mfano Himars
Matokeo katika mazingira ya vita kama hii sio Kuua Warusi wawili au watatu,au kupiga kwenye Kuta za majengo ya wakazi wa mitaa ya baadhi ya miji ya Warusi,Bali ni kupata ushindi usio na mashaka,kwa mfano kuyaondoa majeshi yanayoitwa ya wavamizi katika ardhi inayosemwa imetekwa ama imevamiwa.
Je Himmers imewaondoa wanajeshi wa Urusi katika eneo Gani waliloteka?
 
It's stupid to threaten Russia with nuclear weapons

“The Russians can flood the Atlantic with their submarines, as well as the Pacific Ocean, where they will be supported by the Chinese navy,” said Colonel Douglas McGregor, a former adviser to the head of the Pentagon.

He recalled that the United States does not yet have such capabilities - most of the American nuclear submarines are now under repair.



View attachment 2689690
Huyu ni Marekani halisi kaongea ukweli mtupu juu ya uwezo wa nuke wa urusi,ila Kuna viji Marekani uchwara humu ndani vitampinga General wa USA Tena alikua mshauri wa Rais wa masuala ya usalama , vinaiita Urusi Supapawa wa mchongo na kuiona Marekani kama ina weza Kila kitu
Vijimtu hivyo viswahili Fulani havikubaliani na Mmarekani aliyeko Marekani anaelijua jeshi la USA vizuri na jeshi la Urusi kwa kiasi chake,ambavyo vijimtu hivyo sio TU havijawahi kufikiria kufika Marekani Bali pia hata ubalozi wa Marekani uliopo hapa Tanzania havijui uko wilaya Gani.

Hata Mimi lee van cliff navishinda najua ubalozi wa USA uko hapa Kwimba karibia na kwa Mzee Kishosha.
 
Pro Nato wote sijui hawaoni aibu kipindi kile taarifa zikija kuwa Bakhmuti ishachukuliwa na Urusi wanahoma utasikia urusi wanachakazwa huko bhakhimuti, ikaenda media za ulaya propaganda zikaacha kabisa story za bhakmuti, leo hata hawakumbushii, sory imeisha Russia ni mwamba pale bhakhmuti.

Wakaja na counteroffensive hii walikuwa wanaipigia promo bila kusema wanataka kuirudisha bhakhmuti wakawa hawataji jina la mji wanasema tu kurudisha maeneo ya Ukraine.

Leo counteroffensive imekufa kabisaaa. Russia ia a king na isingekuwa sheria za kimataifa. Ukraine ingebak historia Duniani
Dah andiko fupi lkn zuri sana.
Shida ya Pro NATO ni movies a Hollywood zimewaathiri sana.
Unajua watunzi wa movie wanaweza wakatunga story yoyote na actors wanaweza wakaigiza story yoyote.
Maana yangu Hollywood wanweza wakatengeneza movie inayoonesha jeshi la Marekani linapigana na majeshi ya Dunia nzima na kuyashinda,ama wakatengeneza movie kua wanasayansi wa Marekani wanaongea na Mungu na Mungu akawapa baadhi ya Siri zake.
Sasa wengi wa Pro NATO wameathiriwa na Hollywood movies kwa muktadha huo.
Bila kujali kwamba Kuna vitu UK anaviweza vizuri kuliko USA ,ama Urusi kamzidi USA katika nyanja Fulani nae USA kawazid Urusi na UK vitu vingine,France kamzidi USA katika engo fulani ama German kamzidi Urusi na Urusi kamzidi secta Fulani UK na kadahalikakadhalika.
 
Pro Nato wote sijui hawaoni aibu kipindi kile taarifa zikija kuwa Bakhmuti ishachukuliwa na Urusi wanahoma utasikia urusi wanachakazwa huko bhakhimuti, ikaenda media za ulaya propaganda zikaacha kabisa story za bhakmuti, leo hata hawakumbushii, sory imeisha Russia ni mwamba pale bhakhmuti.

Wakaja na counteroffensive hii walikuwa wanaipigia promo bila kusema wanataka kuirudisha bhakhmuti wakawa hawataji jina la mji wanasema tu kurudisha maeneo ya Ukraine.

Leo counteroffensive imekufa kabisaaa. Russia ia a king na isingekuwa sheria za kimataifa. Ukraine ingebak historia Duniani
Leo Putin kawambia mabomu ya mtawanyo wanayo yakutosha

Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, kwa wenzetu hawa ukiwa Chief of General Staff kama Gerasimov au wa US na nchi zingine kubwa Duniani ni lazima uwe unayafahamu haya yote.

Unakuwa unacoordonate haya kwa kushirikiana na Waziri wa Ulinzi.

Hybrid Warfare ni strategia ya kijeshi.

Hivyo mkuu alieeleza mwanzo yupo sawa.

Wewe unasema anakuwa anacoordinate, mwenzako alisema ndiye aligundua.

Nilichopinga Mimi ni yeye kusema kwamba huyo Jenerali wa Urusi ndiye aligundua Hybrid Warfare.

Umenipata? Naona hata wewe umejitenga na ugunduzi na kujielekeza kwenye cordination.
 
Wewe unasema anakuwa anacoordinate, mwenzako alisema ndiye aligundua.

Nilichopinga Mimi ni yeye kusema kwamba huyo Jenerali wa Urusi ndiye aligundua Hybrid Warfare.

Umenipata? Naona hata wewe umejitenga na ugunduzi na kujielekeza kwenye cordination.

Mkuu, hapana shida uko sahihi.

Hakuna alegundua Hybrid Warfare isipokuwa kuna nadharia (Theory) ambayo ilipendekezwa na mwandishi wa vitabu vya vita na sera za mambo ya nje aitwae Dr Frank G Hoffmam.

Ndiye aliependekeza hii nadharia ya Hybrid Warfare katika papers zake mbili "Hybrid Warfare and Challenges" na kingine cha "The Rise of Hybrid Wars".

Kwahiyo kusema kwamba jenerali Gerasimov ndie aliegundua ni jambo ambalo si kweli.

Ila Majenerali wengi husoma hizi nadharia za Hoffman na huzitumia katika majeshi yao.

Russia walikwishasema kwamba vita hii ni Hybrid na wataijibu ipasavyo, na ndicho kinoendelea kwa sasa.

Nimetumia neno "coordination" kwa sababu huyu jenerali ndie anaefanikisha kila sekta ya Hybrid War inafanya kazi kuanzia majeshi ya kukodi, mashambulizi ya mitandaoni (cyber attacks), vita ya propaganda, vita ya habari (information war), vita ya ujasusi wa kiuchumi kama vikwazo na utekaji wa mali), matumizi ya silaha za teknolojia ya hali ya juu kabisa na zana mchanganyiko za kivita.

Hayo yote huitaji jenerali ambae yupo makini na aweza kufanya "coordination" ya vikosi vyote vya majini, ardhini, kwenye mitandao, vyombo vya habari na angani.

Hivyo waweza kuona uwezo wa majenerali hawa na hata wale wa Ukraine na wa NATO na US wote wameiva kwa kila idara.
 
Mkuu, hapana shida uko sahihi.

Hakuna alegundua Hbdrid Warfare isipokuwa kuna nadharia (Theory) ambayo ilipendekezwa na mwandishi wa vitabu vya vita na sera za mambo ya nje aitwae Dr Frank G Hoffmam.

Ndiye aliependekeza hii nadharia ya Hybrid Warfare katika papers zake mbili "Hybrid Warfare and Challenges" na kingine cha "The Rise of Hybrid Wars".

Kwahiyo kusema kwamba jenerali Gerasimov ndie aliegundua ni jambo ambalo si kweli.

Ila Majenerali wengi husoma hizi nadharia za Hoffman na huzitumia katika majeshi yao.

Russia walikwishasema kwamba vita hii ni Hybrid na wataijibu ipasavyo, na ndicho kinoendelea kwa sasa.
Russia wanaposema hii vita ni hybrid wanamaanisha nin???
 
Russia wanaposema hii vita ni hybrid wanamaanisha nin???
Wakisema hivyo wamaanisha kwamba kila aina ya mbinu za kivita zatumiwa na NATO na US hivyo na wao ni lazima wajibu na kuwa sambamba navyo.

Vita vya Hybrid hujumisha matumizi ya mambo yafuatayo:

1. Vifaa vya zamani na vipya vya kivita na ndo maana silaha nyingi kwa upande wa NATO na US zimepungua maghalani kutokana na matumizi mabaya ya majeshi ya Ukraine. Russia watumia silaha zao kwa mpangilio ingawa Prigozhin alikuja kuwa mkali kwa kuona abaniwa lakini ukweli nikwamba Russia atumia silaha zake kwa mahesabu.

2. Information War -yaani vita ya habari yaani nani kasema nini na nani kasema visivyo hivyo kuweka mashindano ya nani habari zake au taarifa zake ndizo zenye uzito.

3. Matumizi ya vikosi vya kukodi ambapo Russia wana Wagner, Ghukas na vikosi vya Chechen wakati NATO na US nao waitumia Ukraine kupigana na Russia kwa niaba yao na pia kutumia vikosi vya kukodi kutoka katika sehemu ya wanajeshi wa zamani na wale wenye ujuzi mbalimbali.

4. Uchumi kwa maana ya kuwekeana vikwazo ambapo NATO na EU na US wameweka vikwazo vya kiuchumi kwa Russia lakini Russia watumia mbinu zingine kuhakikisha uchumi hautetereki kabisa na kusababisha matatizo kwenye nchi.

5. Vita vya mitandaoni (cyber attacks) na adversaries ambapo hivi sasa mitandaoni kuna vita watu washambuliana kwenye mifumo ya computers jambo ambalo halitangazwi ila vita hiyo ipo yaendelea.

6. Matumizi ya mbinu kama mabomu ya kutega kushambulia miundombinu ambapo Ukraine ndie hufanya sana hivi na pia kuua watu muhimu kutoka upande wa adui (assassinations) na kadhalika.

7. Matumizi ya vifaa vya hali ya juu vya kiteknolojia kama UAVs, AI katika kutambua targets na magari ya ardhini ambayo huchimba kuficha mabomu (huitwa VBIED au Vehicle Borne Improvised Device) bila kujulikana na maadui.

Na njia zingine nyingi za kisiasa, kidiplomasia kama vile kumtangaza Putin kuwa ni mhalifu wa kivita ambayo inamfanya mtu kuwa ametengwa au "isolated".

Hivyo NATO na US pamoja na washirika wote walijiandaa kwa aina hii ya vita na pia Russia na washirika wake pia walijiandaa vilivyo kwa miaka 8 tangu 2014.

Haya ni kwa ufupi tu.
 
Huyu ni Marekani halisi kaongea ukweli mtupu juu ya uwezo wa nuke wa urusi,ila Kuna viji Marekani uchwara humu ndani vitampinga General wa USA Tena alikua mshauri wa Rais wa masuala ya usalama , vinaiita Urusi Supapawa wa mchongo na kuiona Marekani kama ina weza Kila kitu
Vijimtu hivyo viswahili Fulani havikubaliani na Mmarekani aliyeko Marekani anaelijua jeshi la USA vizuri na jeshi la Urusi kwa kiasi chake,ambavyo vijimtu hivyo sio TU havijawahi kufikiria kufika Marekani Bali pia hata ubalozi wa Marekani uliopo hapa Tanzania havijui uko wilaya Gani.

Hata Mimi lee van cliff navishinda najua ubalozi wa USA uko hapa Kwimba karibia na kwa Mzee Kishosha.
.
Screenshot_20230320-175502.jpg
 
Wakisema hivyo wamaanisha kwamba kila aina ya mbinu za kivita zatumiwa na NATO na US hivyo na wao ni lazima wajibu na kuwa sambamba navyo.

Vita vya Hybrid hujumisha matumizi ya mambo yafuatayo:

1. Vifaa vya zamani na vipya vya kivita na ndo maana silaha nyingi kwa upande wa NATO na US zimepungua maghalani kutokana na matumizi mabaya ya majeshi ya Ukraine. Russia watumia silaha zao kwa mpangilio ingawa Prigozhin alikuja kuwa mkali kwa kuona abaniwa lakini ukweli nikwamba Russia atumia silaha zake kwa mahesabu.

2. Information War -yaani vita ya habari yaani nani kasema nini na nani kasema visivyo hivyo kuweka mashindano ya nani habari zake au taarifa zake ndizo zenye uzito.

3. Matumizi ya vikosi vya kukodi ambapo Russia wana Wagner, Ghukas na vikosi vya Chechen wakati NATO na US nao waitumia Ukraine kupigana na Russia kwa niaba yao na pia kutumia vikosi vya kukodi kutoka katika sehemu ya wanajeshi wa zamani na wale wenye ujuzi mbalimbali.

4. Uchumi kwa maana ya kuwekeana vikwazo ambapo NATO na EU na US wameweka vikwazo vya kiuchumi kwa Russia lakini Russia watumia mbinu zingine kuhakikisha uchumi hautetereki kabisa na kusababisha matatizo kwenye nchi.

5. Vita vya mitandaoni (cyber attacks) na adversaries ambapo hivi sasa mitandaoni kuna vita watu washambuliana kwenye mifumo ya computers jambo ambalo halitangazwi ila vita hiyo ipo yaendelea.

6. Matumizi ya mbinu kama mabomu ya kutega kushambulia miundombinu ambapo Ukraine ndie hufanya sana hivi na pia kuua watu muhimu kutoka upande wa adui (assassinations) na kadhalika.

7. Matumizi ya vifaa vya hali ya juu vya kiteknolojia kama UAVs, AI katika kutambua targets na magari ya ardhini ambayo huchimba kuficha mabomu (huitwa VBIED au Vehicle Borne Improvised Device) bila kujulikana na maadui.

Na njia zingine nyingi za kisiasa, kidiplomasia kama vile kumtangaza Putin kuwa ni mhalifu wa kivita ambayo inamfanay mtu kuwa ametengea au "isolated".

Hivyo NATO na US pamoja na washirika wote walijiandaa kwa aina hii ya vita na pia Russia na washirika wake pia walijiandaa vilivyo kwa miaka 8 tangu 2014.

Haya ni kwa ufupi tu.
Nashukuru sana
 
Mh, kitaeleweka tu!!!!!!!!!!!! Huu mgogoro unaelekea kuwachosha watu!!!!!!!!!!!

War fatigue is 'setting in' - and the West has a 'fundamentally different approach' to Ukraine​



A more divisive NATO summit than expected has exposed a "fundamentally different approach" to the war between the West and Ukraine, said a military expert.

Analyst Sean Bell said it is "increasingly difficult" for the West to provide weapons, taking "more and more risk" and spending "more and more money".

"War fatigue is gradually settling in
and we're seeing some of the truths, some of the undercurrents starting to pop to the surface now," said Mr Bell.

NATO may also be withholding membership options in case Ukraine continues to make little progress in its counteroffensive.

Source:Sky news:16/07/2023
 
Back
Top Bottom