Hii ni Jana tu, zaidi ya mia tano walichinjwa 🥱🥱🥱
1689429083061.jpg


Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Proved Wewe ni miongoni mwa watu naofuatilia sana habari zako hapa jamvini.

Ila leo naomba nikueleze kitu na wewe nenda kafanye homework yako.

Kunakitu kinaitwa Hybrid warfare

Sasa ipo hivi.

Russia hybrid warfare, unayoiona sasa hivi, ambayo kwa miaka mingi imekuwa inawasumbua hao US and NATO imekuwa designed na huyu General Valery Gerasimov

Huyu Valery Gerasimov alii design hii Hybrid warfare wakati akiwa ni officer wa kawaida tu kwenye Russia Army (kabla hajawa General). Hii ishu ipo well documented.

Kwa hiyo unapomuongelea General Valery Gerasimov, usifikiri ni mtu ambaye ni light weight.

Go and do your homework na utapata majibu.
Mkuu, kula tano.
 
Pengine ni suala la mgawanyo wa majukumu zaidi, pengine PM ana deal zaidi na domestic issues kama elimu, afya, maji, miundombinu n.k ndio maana in respect na issues za int affairs ambazo sisi ndio tuko connected nazo zaidi kuhusu Russia, ndio maana hatumsikii kabisa.
Nyinyi kama mko concerned na international affairs za Russia ila niko concerned na Russia kwa ujumla.
Kipindi Medvedev akiwa Waziri Mkuu mbona alikuwa anasikika na katiba ni hiihii haijabadilishwa?
Ina maana Mishustin kaja na utaratibu wake mwenyewe unaompa majukumu tofauti na aliyokuwa nayo Medvedev?
 
Nkuba25,

Ninavyofahamu, Hybrid Warfare in matumizi ya vitendo mbalimbali vyenye lengo la kudistablize au kumvuruga adui iwe katika vita au isiwe katika vita.

Mfano wa vitendo vya Hybrid Warfare ni;

1. Kuingilia chaguzi (Interference in electoral process),
2. Mashambulizi ya mtandao (Cyber attack),
3. Kusambaza habari za uongo (disinformation and dissemination of false news),
4. Matumizi ya mbinu za kiuchumi (Financial instruments), nk.

Napata mashaka kama kweli huyo Generali wa Urusi ndiye aligundua haya yote.

Kwamba yeye ndiye aligundua Cyber attack! Yeye aligundua kuingilia chaguzi! Yeye huyo huyo akagudua usambazaji wa habari za uongo, nk!
Mkuu, kwa wenzetu hawa ukiwa Chief of General Staff kama Gerasimov au wa US na nchi zingine kubwa Duniani ni lazima uwe unayafahamu haya yote.

Unakuwa unacoordonate haya kwa kushirikiana na Waziri wa Ulinzi.

Ni sababu tu Tanzania hatujafika huko (kushiriki vita vya namna hii) lakini ni lazima mnadhimu mkuu wa jeshi awe ameiva kwenye hii idara ya Hybrid Warfare.

Hybrid Warfare ni strategia ya kijeshi.

Hivyo mkuu alieeleza mwanzo yupo sawa.
 
Nyinyi kama mko concerned na international affairs za Russia ila niko concerned na Russia kwa ujumla.
Kipindi Medvedev akiwa Waziri Mkuu mbona alikuwa anasikika na katiba ni hiihii haijabadilishwa?
Ina maana Mishustin kaja na utaratibu wake mwenyewe unaompa majukumu tofauti na aliyokuwa nayo Medvedev?
Mimi sikubishii sababu sina hakika, nimetumia tu logic ndio maana nimesema pengine, ila wewe uko assured, tumalize maneno nisaidie rejea za kisheria zinazoonyesha Majukumu ya waziri mkuu wa urusi.
 
Hamna mwenye akili hawa mashabiki wa jeshi la babantilie aliyeasi madikteka

Analysis: Why Vladimir Putin said the Wagner mercenary group does not exist​

Analysis by CNN's Nathan Hodge

Now you see Wagner, now you don’t.

Weeks after an armed uprising by the Russian mercenary group Wagner revealed cracks in Russia’s system of one-man rule, the Kremlin has been on a PR offensive. The message is simple: "Russian President Vladimir Putin is firmly in control, now please move along."

In an interview Thursday with the Russian business daily newspaper Kommersant, Putin described a three-hour meeting with Wagner commanders, including the group’s leader Yevgeny Prigozhin, just days after the private military company (PMC) made its abortive march on Moscow last month.

Putin put a positive spin on the meeting, but made a curious admission.

“Wagner PMC does not exist,” Putin said when asked if Wagner would be kept on as a fighting unit. “We do not have a law for private military organizations. It simply does not exist.”

Putin, who is a trained lawyer, reiterated the point during the interview: “There is no such legal entity,” he said.

Technically, Putin is correct. Article 359 of Russia’s Criminal Code outlaws mercenary activity. The law states that “recruitment, training, financing or other material support of a mercenary, as well as their participation in an armed conflict or military operations” carries heavy criminal penalties.

Putin went on to explain in the interview that the State Duma — Russia’s parliament — should consider legislation to legalize PMCs, conceding, “It’s not an easy question.”

This legalistic answer, however, raises more questions than answers. If Wagner was technically an illegal entity all this time, who authorized its use? Who trained and equipped them? And who signed off on their budget?

The issue is about more than Putin’s cavalier approach to the rule of law. It also serves as a reminder that Putin is the pioneer of a post-truth world.
=========================
 

US is “very close” to a decision on providing guided missiles to Ukraine, Zelensky aide says​

From CNN's Andrew Carey


An early version of an Army Tactical Missile System is tested on December 14, 2021, at White Sands Missile Range in New Mexico.
An early version of an Army Tactical Missile System is tested on December 14, 2021, at White Sands Missile Range in New Mexico. John Hamilton/White Sands Missile Range Public Affairs

One of Ukrainian President Volodymyr Zelensky’s most senior aides has expressed optimism Kyiv might soon be adding Army Tactical Missile Systems (ATACMs) to its arsenal of weapons. The US-manufactured guided missile has a range of up to 300 kilometers (about 186 miles).

Andriy Yermak told journalists in Kyiv he believed the Biden administration was “very close” to making a decision on approving the transfer of the missiles to Ukraine, though he stressed that a final decision had not yet been made.

Ukrainian leaders have had ATACMs close to the top of their wish list since the early months of the war. The missiles’ longer range would bring more Russian targets into view, including some in occupied Crimea, as well as in Russia itself, a fact that has worried the US.

Key among the Russian targets Ukraine is looking to hit are ammunition dumps and fuel depots, as well as buildings housing Russian soldiers far behind the frontlines.

In recent months, Ukraine has stepped up these strikes in what are described as shaping operations, aimed at disrupting and degrading enemy supply lines ahead of ground offensives.

Reports suggest Ukraine has begun to make effective use of Storm Shadow missiles, which were donated by the UK in May and have a range of about 250 kilometers (155 miles).

Yermak’s comments follow a report in The New York Timesthat described a “quiet debate” inside the Biden administration over whether to send the missiles to Ukraine, thereby reversing the US position that Ukraine does not need them.

==========================

Ukraine inahitaji sana haya madude wakati huu.

Ila sioni hili likitekelezeka hivi karibuni kwa hofu wanaweza kukuza zaidi hii Vita (japo wanaweza kumpa tu hata vifaru waligoma Ila baadae walikubali).

Hii ndio itakuwa 'real game changer'....japo 'jammers' wa Russia watajaribu kuzitafutia dawa.

Hizi Atacms tunaweza kuzifananisha na Iskander ?

T14 Armata Jackal

 

US to buy back decommissioned HAWK missiles from Taiwan to send to Ukraine​

The US is planning to repurchase decommissioned HAWK air defence missiles it sold to Taiwan and redirect them to Ukraine as part of a military aid package, according to the China Times.

Citing unnamed sources, the paper claims Washington and Taipei agreed on the repurchase after consultations with senior security officials as early as last year.

The transfer is set to be carried carried out under the $2.1bn (£1.6bn) defence aid package announced by the US on 9 June.

The MIM-23 HAWK is an American medium-range surface-to-air missile system developed by Raytheon.

It entered service in 1960 and is still being used by Egypt, Greece, Saudi Arabia, Spain, Sweden, and other countries.

The Ukrainian military has also used HAWK air defence systems provided by Spain.
In January, the US reportedly asked the Israeli government to transfer its old Hawk anti-aircraft missiles in storage to Ukraine, but Israel declined.
===========================

Hii silaha ni ya miongo mingi iliyopita ila bado inaweza kuleta ufanisi.

It entered service with the US Army in 1959.

MIM-23 Hawk
TypeSurface-to-air missile


T14 Armata
Supapawa ameamua kununua silaha Hadi kwa kataiwani!
Aisee kweli Supapawa amechoka kachoka kachaa.
 
Rais wa India na Rais wa Israel naomba kuwajua Plz
The president of India (IAST: Bhārat kē Rāṣṭrapati) is the head of state of the Republic of India. The president is the nominal head of the executive,[a] the first citizen of the country, as well as the commander-in-chief of the Indian Armed Forces. Droupadi Murmu is the 15th and current president, having taken office from 25 July 2022.

President of India
Bhārat kē Rāṣṭrapati

Emblem of India

Flag of India

Incumbent
Droupadi Murmu

since 25 July 2022
Head of state of the Republic of India
Executive branch of the Indian Government
Style
    • Rāṣṭrapati‍ Mahodaya
      (Within India (Hindi))[1]
    • Hon’ble President
      (Within India (English))[1]
    • His/Her Excellency
      (Outside India)[1]
    • The Honourable
      (WithinCommonwealth)
TypeHead of state
AbbreviationPOI
Residence




President of the State of Israel
נשיא מדינת ישראל‎
Presidential Standard of IsraelSquare.svg
Presidential standard
Isaac Herzog, July 2021 (D1233-049).JPG
Incumbent
Isaac Herzog

since 7 July 2021
StyleHis Excellency
ResidenceBeit HaNassi
AppointerKnesset
Term lengthSeven years, non-renewable
Inaugural holderChaim Weizmann
DeputySpeaker of the Knesset
SalaryUS$173,255 annually[1]
WebsiteIsrael presidential website

 
Back
Top Bottom