Mikhail Mishustin retained the post of Prime Minister of the Russian Federation

375 deputies voted for his candidacy .
1715349734030.png
 
5 ways for man to be completely happy.
1. Be with a woman who makes you laugh
2. Be with a woman who gives you her time
3. Be with a woman who takes care of you
4. Be with a woman who really loves you
5. Finally, make sure these four women don’t know each other!
 
Hawa jamaa vipi??

Russian forces advance 1km in Kharkiv in bid to make buffer zone - Ukrainian source​


More now from Kharkiv, where fighting appears to be intensifying.


Ukraine's defence ministry says its forces are repelling an attack in the Kharkiv region, with Kyiv sending reinforcements after an attempt to "break though" at about 5am this morning.


A high-ranking Ukrainian military source says Russian forces have advanced 1km near Vovchansk, in the Kharkiv region.


 
Official: Operesheni ya mkoa wa Kharkiv/ kharkov imeanza.

Lengo kuu ni lipi:
Kubeba mkoa mwengine au kutengeneza njia ya kwenda maeneo mengine mfano kupyansk
Kharkiv ndipo mashambulizi yote ya Ukraine kwenda Belgorod huanzia.

Pili, Kharkiv ndipo NATO /Marekani wamekuwa wakipanga kufanya mashambulizi kwa Russia na baadae waingie Russia kupitia Belgorod.

Russia tayari siku nyingi walikuwa wakilifahamu hilo hivyo ndo wameanza kushambulia ili baadae waweke "Buffer Zone" kuizuia Ukraine wasiweze kushambulia tena kwenda Belgorod.

Na ndo maana Jenerali Surovikin kapewa kazi hiyo akasimamie shughuli hiyo ya kuishughulikia Kharkiv.
 
Kharkiv ndipo mashambulizi yote ya Ukraine kwenda Belgorod huanzia.

Pili, Kharkiv ndipo NATO /Marekani wamekuwa wakipanga kufanya mashambulizi kwa Russia na baadae waingie Russia kupitia Belgorod.

Russia tayari siku nyingi walikuwa wakilifahamu hilo hivyo ndo wameanza kushambulia ili baadae waweke "Buffer Zone" kuizuia Ukraine wasiweze kushambulia tena kwenda Belgorod.

Na ndo maana Jenerali Surovikin kapewa kazi hiyo akasimamie shughuli hiyo ya kuishughulikia Kharkiv.
Maelezo mazuri na timilifu.
 
Kharkiv ndipo mashambulizi yote ya Ukraine kwenda Belgorod huanzia.

Pili, Kharkiv ndipo NATO /Marekani wamekuwa wakipanga kufanya mashambulizi kwa Russia na baadae waingie Russia kupitia Belgorod.

Russia tayari siku nyingi walikuwa wakilifahamu hilo hivyo ndo wameanza kushambulia ili baadae waweke "Buffer Zone" kuizuia Ukraine wasiweze kushambulia tena kwenda Belgorod.

Na ndo maana Jenerali Surovikin kapewa kazi hiyo akasimamie shughuli hiyo ya kuishughulikia Kharkiv.
Kumbe General Surovkin yupo tayari kazini Tena?
 
Back
Top Bottom