Mkuu, warusi wa Tanzania watakubishia, kwamba Ujerumani na Ulaya hawawezi kuishi bila gasi ya Urusi. kwamba Mrusi anasubiri wakati wa baridi kali ili wakate mabomba ya gesi watu wa magharibi wapukutike kwa baridi - haya ni mawazo mgando kabisa tena ya karne ya 14.
Anzia kusoma hapa by the end of the year..
 
Ila Intelligence agency ya Urusi ipo makini aise.
Yani ukimpa Risasi moja tu Pro-NATO aitumie kumshut Putin kwa kuchagua picha halisi ya Putin kati ya hao wazee watatu, Am sure atamuacha Putin hai na kupuyanga kwa mwingine.

Hiyo ndo inaitwa kupoteza manyani, Putin mmoja anaambatana na mfanano wa kina putin wawili
 
Kwahiyo hapo Ukraine hana maslahi. Hayo mapesa anayomwaga kila siku on the detriment ya raia wake yanasababishwa na nini kama siyo maslahi aliyonayo. By the way siyo mavyuma tu bali hata Seal wapo ukraine Ila Russia anajipigia tu na wapo Nguchiro kutoka kwake kajiokotea kama maembe hapo kiwandani juzi kati.

Wanachoshindwa kuelewa awa pro Russia ni kuwa USA mpaka kuwa superpower dunian ajafika kwa bahati mbaya ayo machuma Russia anayowatishia west USA anayo tena zaidi ya ayo anasubiria siku Russia atakapogusa masilahi yake direct ndio mtajua USA ndio nani
 
Wajomba hii nimeinukuu kama ilivyo... ExPrezdaa Huyo. Medvedev kama Med... Humo ndani kuna kauli za kukera

Ed.jpg


Ukrainization of liver sausage

Anticipating his inevitable defeat, Ukrainian President Zelensky found a convenient way out of the impasse. No country, no problem. His actions and statements prove that now he is ready to put almost everything on the altar of his political ambitions.

People, cities, the economy - that's the main thing that so far remains with his state. The fact that Russia is just trying with all its might to preserve, destroying nationalism, militarism and rabid hostility to everyone "who does not jump" with precision strikes.

The conditions that Zelensky puts forward for a truce are categorical to the point of idiocy and are impossible in principle. He demands to make Donbass and Crimea Ukrainian again, as if he does not know the will of their inhabitants.

Withdraw all troops from the Donbass, leaving the Ukrainian army full scope for repressions against people. And then, perhaps, will begin to agree on something.

Ultimatums sound beautiful only on paper. Yes, and they usually put them all the same from a position of strength, and not obvious weakness. At the moment of victory, not defeat. On a sober head, and not under psychotropic drugs.

However, there will always be those to whom all this cock-like, stupid, obviously doomed, but militant rhetoric can be beneficial. Zelensky was joined by his German counterpart, German Chancellor Olaf Scholz, aka “offended liver sausage” (in the words of the ambassador of the same Ukraine to Germany, who diligently shits on the heads of the citizens of the host country).

The bearer of the proud sausage title said that Germany would not accept the “peace treaty imposed by Russia” and was in solidarity with Ukraine in this.

Why Ukraine Scholz? You don't have to look far for an answer. The Polish-Prussian alliance, which is escalating the situation with all its might and pushing the deranged Zelensky to more and more catastrophic statements and actions, is very beneficial if Ukraine as a state is not on the map.

But there will remain poorly lying factories, fields, mines, strategic space and human resources. So already, I remember, someone argued in the late 30s of the last century in the same language and with the same ardor. What happened is known.

One of the oldest politicians in the world, former US Secretary of State Henry Kissinger, speaking at a forum in Davos, called on Kyiv to make concessions in negotiations with Moscow, assess the situation soberly and realistically.

And start negotiations as soon as possible, before too much tension is created, which can have dire consequences for Europe and plunge it into chaos. Just the case when the young "cockerel" should have listened to the wiser "hawk". By the way, for many years the venerable old man was not noticed in sympathy for Russia, but he always thought rationally.

However, no one orders Zelensky and his "sausage" puppeteers. Kissinger and the New York Times, which also called for compromises in an editorial, he recalls 1938 and "then Munich." It would be more correct for him to remind his partners in Poland about Munich, who are thirsty for Ukrainian lands and who are not allowed to sleep peacefully by the laurels of Nazi Germany.
 
Kwahiyo hapo Ukraine hana maslahi. Hayo mapesa anayomwaga kila siku on the detriment ya raia wake yanasababishwa na nini kama siyo maslahi aliyonayo. By the way siyo mavyuma tu bali hata Seal wapo ukraine Ila Russia anajipigia tu na wapo Nguchiro kutoka kwake kajiokotea kama maembe hapo kiwandani juzi kati.
 
Wajomba hii nimeinukuu kama ilivyo... ExPrezdaa Huyo. Medvedev kama Med... Humo ndani kuna kauli za kukera

View attachment 2239896

Ukrainization of liver sausage

Anticipating his inevitable defeat, Ukrainian President Zelensky found a convenient way out of the impasse. No country, no problem. His actions and statements prove that now he is ready to put almost everything on the altar of his political ambitions.

People, cities, the economy - that's the main thing that so far remains with his state. The fact that Russia is just trying with all its might to preserve, destroying nationalism, militarism and rabid hostility to everyone "who does not jump" with precision strikes.

The conditions that Zelensky puts forward for a truce are categorical to the point of idiocy and are impossible in principle. He demands to make Donbass and Crimea Ukrainian again, as if he does not know the will of their inhabitants.

Withdraw all troops from the Donbass, leaving the Ukrainian army full scope for repressions against people. And then, perhaps, will begin to agree on something.

Ultimatums sound beautiful only on paper. Yes, and they usually put them all the same from a position of strength, and not obvious weakness. At the moment of victory, not defeat. On a sober head, and not under psychotropic drugs.

However, there will always be those to whom all this cock-like, stupid, obviously doomed, but militant rhetoric can be beneficial. Zelensky was joined by his German counterpart, German Chancellor Olaf Scholz, aka “offended liver sausage” (in the words of the ambassador of the same Ukraine to Germany, who diligently shits on the heads of the citizens of the host country).

The bearer of the proud sausage title said that Germany would not accept the “peace treaty imposed by Russia” and was in solidarity with Ukraine in this.

Why Ukraine Scholz? You don't have to look far for an answer. The Polish-Prussian alliance, which is escalating the situation with all its might and pushing the deranged Zelensky to more and more catastrophic statements and actions, is very beneficial if Ukraine as a state is not on the map.

But there will remain poorly lying factories, fields, mines, strategic space and human resources. So already, I remember, someone argued in the late 30s of the last century in the same language and with the same ardor. What happened is known.

One of the oldest politicians in the world, former US Secretary of State Henry Kissinger, speaking at a forum in Davos, called on Kyiv to make concessions in negotiations with Moscow, assess the situation soberly and realistically.

And start negotiations as soon as possible, before too much tension is created, which can have dire consequences for Europe and plunge it into chaos. Just the case when the young "cockerel" should have listened to the wiser "hawk". By the way, for many years the venerable old man was not noticed in sympathy for Russia, but he always thought rationally.

However, no one orders Zelensky and his "sausage" puppeteers. Kissinger and the New York Times, which also called for compromises in an editorial, he recalls 1938 and "then Munich." It would be more correct for him to remind his partners in Poland about Munich, who are thirsty for Ukrainian lands and who are not allowed to sleep peacefully by the laurels of Nazi Germany.
Kwa kifupi Zelensky ametukanwa matusi ya mama.
 
1-Kutambulika rasmi kwa Russia na china kama super power.
2-Rubble kuichallenge dolla (petrodollar inaenda kuzikwa)
3-Russia kuongeza ushawishi kwenye bara la africa (fursa)
4-US ushawishi wake kimataifa umepungua (simu azipokelewi na vibaraka wake Saudia,Kuomba UN aingilie suala la msosi uko site)
5-Nyingine pro RUSSIA naomba mniongeze
Umeandika kimahaba sana, hizo zote ni propaganda tu .
 
Kinachoisaidia Urusi ni wingi wao lakini wanakufa kama kuku.Wao hawajali wakifa hata 30 kati ya wanajeshi 100 Hilo kwao halihusiki.Kiufupi Putin hathamini uhai wa wanajeshi wake🤔
Upo sahihi kabisa, hawajali uhai na usalama wa askari wao kabisa,toka wakiwa ndani ya Ussr enzi za Vita ya pili ya dunia, waliwatoa muhanga mamilioni ya askari wao wasiojua Vita (japo walishinda ila walilipa gharama kubwa).

Walikuwa wanawapa bunduki moja watumie askari wawili, sema msaada walioupata kutoka Marekani kupitia 'lend lease program' ulisaidia sana kuokoa jahazi lao lisizame.
 
pro Russia kujitetea kwao wanakuambia china wametujengea Reli ya bure, ivi kuna watu wanyonyaji na cruel kama wachina ni afadhali ya west kuliko wachina, siku wachina watakapomilikishwa migodi yetu ata wachimbaji wadogo wadogo awatokuwepo wachina uwa awaachi kitu

China hakulazimishi umkope, china hakupi masharti ya ushoga, china haingilii siasa za nchi yako china hakupangii cha kufanya kama hao US.
 

Ukombozi kamili n kurudi kwenye mizizi yetu kuanzia elimu,utamaduni,siasa,uchumi maana wametushikia chini kwenye hizo nyanja zote muhimu hatuna vyetu.
Tunaanza anzaje ndio mtihani????
Njia zipo hakuna linaloshindikana basi tu sio wakati wake huu.

Kuna kitu kimenivutia toka kwako... Una ka "utayari" flan hivi shangazi hadi raha... Sema tunarudi pale pale sio wakati wake sasa...

Tuendelee kutafuta chapaa kwanza kujiimarisha wenyewe kiuchumi kabla hatujawageukia wengine kuanza safari ya ukombozi wa kifikra.

Harakati si harakati kama mfukoni hapako vizuri, kununliwa na kutumikishwa ni dk zero tu.
 
1-Kutambulika rasmi kwa Russia na china kama super power.
2-Rubble kuichallenge dolla (petrodollar inaenda kuzikwa)
3-Russia kuongeza ushawishi kwenye bara la africa (fursa)
4-US ushawishi wake kimataifa umepungua (simu azipokelewi na vibaraka wake Saudia,Kuomba UN aingilie suala la msosi uko site)
5-Nyingine pro RUSSIA naomba mniongeze
6. ngaboru, Pro Russia tumegoma maana hata kama tukiongeza zitaingilia kulia zitokee kushoto kwasababu hazitawafurahisha

 
Back
Top Bottom