Special thread: Viwanda vilivyojengwa kwenye Awamu ya Serikali ya Viwanda

I dare to say comedian goverment should be overthrown.what what need is agood life, Good life can be archieved through strong Institions and not Democracy.
 
Hivi ninyi mnategemea viwanda kufunguliwa kwa mwaka mmoja tu?? Yaani mtu afanye utafiti, upembuzi yakinifu, ujenzi wa godown, mitambo, boiler, trial...... yoote hayo ndani ya mwaka mmoja?? achene maneno yenu, labda kama ni kiwanda cha laki moja alichosema mwijage jana.

Magufuli ataendelea kufungua viwanda wilivyoanza kujengwa awamu ya nne. Tusubiri kuona viwanda vilivyoanza kujengwa awamu ya tano kuanzia mwaka 2018..
Basi simple viorodheshwe vilivyo kwenye ujenz mwaka huu 2017 na uliopita 2016
 
1)kiwanda cha maziwa meatu
2)kiwanda cha chaki maswa
3)kiwanda cha kutengeneza mkaa wa kisasa meatu(hiki kiko mbioni kuanzishwa na mimi mwenyewe!) meatu
 
Kama viwanda vilivyopo sasa vinakufa, vingine vimekufa, vingine viko hoi bin taabani, kuna haja gani tena ya kujenga viwanda vingine?
Tuanzie na vilivyopo na vile vilivyokufa ili vifufuke, halafu ndio tuje na vipya.

Suala la uchumi wa viwanda sio jambo rahisi rahisi kabisa la kuimbwa majukwaani kama ngonjera. Ni mtiti mzito na unaohitaji muda mrefu sana. Kwa style ya utendaji wa JPM, halitawezekana kamwe,
 
Kila mara huwa ninamkumbuka sana Dr Slaa. Watanzania tuishi maisha halisi, tuache kuish kwa kufuata mikumbo
 
Back
Top Bottom