herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,155
- 4,743
Anatembelewa na Mabwana wakubwa wakubwa wanaishia kumpa TUVITU TUDOGO wakati kajumba kake KAMECHOOOKAAA...FULL EXPANSION JOINTSHuyu jamaa kiukweli yupo very deep...View attachment 897840
Anatembelewa na Mabwana wakubwa wakubwa wanaishia kumpa TUVITU TUDOGO wakati kajumba kake KAMECHOOOKAAA...FULL EXPANSION JOINTSHuyu jamaa kiukweli yupo very deep...View attachment 897840
Comment yako ndio umenifanya nielewe kilichomaanishwa....USA naona kala mzigo wa kutosha anaondoka![]()

Solo thang alimchana sana kwenye wimbo wake wa miss TanzaniaAnaonekana hajatulia
Solo thang alimchana sana kwenye wimbo wake wa miss Tanzania
Labda alikuwa anataka mbao tu.
Wewe umefurahi....?Unapaswa pia ufurahie hivyo hata anapochora kinachokukera!!...
Wapi nimeandika kuwa nimefurahi..!?Wewe umefurahi....?
Wapi nimeandika kuwa nimefurahi..!?
Unapaswa pia ufurahie hivyo hata anapochora kinachokukera!!...
Msingi wa swali unalenga nini nje ya utashi wangu..!?Sio lazima uandike moja kwa moja....na swali langu halikulenga hiki ulichokiandika