Mwanaginingi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 464
- 400
Amemaanisha Anapigana Na Kinyago Alichokichonga Mwenyewe!Huyu jamaa huwaga simuelewi kabisa!View attachment 836889
Ina Maana Chama Cha Kijani Kinapambana Na Upinzani Waliotengeneza Wenyewe
Amemaanisha Anapigana Na Kinyago Alichokichonga Mwenyewe!Huyu jamaa huwaga simuelewi kabisa!View attachment 836889
Well clarified [emoji122]Apo ni kutumia rasilimali zote,Polisi,Nec na serikali kumpitisha mgombea wa CCM.
Wakati mgombea wa CHADEMA akidhoofishwa kwa vipigo,hujuma na kunyimwa haki ya uchaguzi.
Mwisho wa picha watu wanajitangazia ushindi wa 100%...wakati walipigana na kinyago ulingoni
Shubaaaaamit!!!!
Front seat kwenye hii filamu.
Huyu bibie kuna tatizoNawahi Seat kwa Mara ya Kwanza
BiBie Mbona ungali Macho mapemaa?