angaria rangi ya gari utajuaDreamliner wakati hata usafiri wa mabasi ni gharama kwa raia.
Flyover mjini huku serikali inahamia Dom badala ya kujenga mji mpya ambako hakujajengeka.
Kila leo Dar inabomolewa, msishangae miaka 10 ijayo makao makuu ya serikali yakarudi Dar.
hii rangi chama gani!????Mimi nimeielewa hivi..hizo tairi hazifanani ,hii ni hali ya sasa ya hamahama ya wanasiasa kuelekea upande mwingine na hii inaudhohofisha upinzani..upinzani ukidhohofika nchi haiwezi kuendelea kwani kunakuwa hakuna wakosoaji wazuri wa serikali..so nchi haiwezi kwenda mbele,,na ni kama unavyoona hapo kwenye picha ya gari,,gari hilo haliwezi kuenda mbele zaidi ya kudondoka bondeni,sababu tairi hazijabalance au kukaribiana size

angaria rangi ya gari utajua
Tusaidiane kuelewA wengine hatujaelewa anamaanisha mini?View attachment 829459
Sema kweli dada?Akili ndogo kuongoza akili kubwaa