Hawa ni ile 75% ambayo JK alisema yenyewe huwa inafuata upepo unapovuma !!, no reasoning no nothing. ukisema tumenunua bombadia - oyeeee; ukisema madawa hosp. bureee - oyeeeeeee, tumefuta karoo msingi hadi seko - oyeeeeeeeee; tunahamia dodoma, oyeeeeeee.
Sasa yule mwenye wigi ndiyo serikali, then sisi wananchi tunacheza kila wimbo unaopigwa.
Sasa yule mwenye wigi ndiyo serikali, then sisi wananchi tunacheza kila wimbo unaopigwa.