balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,456
- 12,582
Na Joyce wowowoHa ha ha, kanikumbusha kuna vi midoli tulikuwa tunaviita mama nabela!
Controller unashika kamba unakuwa unavuta kamba kulingana na unavyotaka mdoli ucheze.
Na Joyce wowowoHa ha ha, kanikumbusha kuna vi midoli tulikuwa tunaviita mama nabela!
Controller unashika kamba unakuwa unavuta kamba kulingana na unavyotaka mdoli ucheze.
Safi sana mkuu, tulikuwa tunalipa hela ndo jamaa anachezesha.
Wimbo wa Pepe Kale ulihusika sana.
mkuu umenikumbusha mbali sanaNi vikaragosi, vile vinavyochezeshwa na mshika kamba, Akivuta mguu unacheza, akivuta mkono vivyo hivyo!!
We jamaaaa ungefaulu IQ test aiseeeee.mbona inaelewekayaani hawawezi kufanya maamuzi bila kamba inayoongozwa na mtu mwingine,yaani kifupi hawana uwezo wa kufanya lolote bila anayewa control kwa kutumia kamba kufanya hivyo
Wewe tu ndio usielewa.
Joyce WowowoKuna yule dada alikuwa na jina nimelisahau!! Anakatika kulingana na mvuta kamba anavyotaka...
Viongozi wa chama cha kijani ndiyo wanachezeshwa segere na mkulu....kwa maneno mengine yeye ameshika remote.Serikali inatuchezesha segere
kweli wewe ni geniousmbona inaelewekayaani hawawezi kufanya maamuzi bila kamba inayoongozwa na mtu mwingine,yaani kifupi hawana uwezo wa kufanya lolote bila anayewa control kwa kutumia kamba kufanya hivyo
Mkuu kweli humjuihahaa ivo vimdoli wenzetu wazambia wanaviita "kalelanda" najiuliza sasa anayevichezesha ni nani apo
Word...upo sahihi. HapoPupet leader