gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,583
Madiwani vezavi Mhe.Lazaro wanapishana darajani(siasa)!
Ukiangalia kwa umakini upande wa chadema hauna surface ya kutosha, means wanaokuja huko wanabanana sana na pia nafasi ndogo inareflect ufinyu wa kufikiri. Daraja ni kivuko cha wanaotoka kwenye upeo mkubwa kwenda kwa wenye upeo na fikra ndogo.View attachment 622903
wataalam wa lugha za picha kazi kwenu
Ukiangalia kwa umakini upande wa chadema hauna surface ya kutosha, means wanaokuja huko wanabanana sana na pia nafasi ndogo inareflect ufinyu wa kufikiri. Daraja ni kivuko cha wanaotoka kwenye upeo mkubwa kwenda kwa wenye upeo na fikra ndogo.View attachment 622903
wataalam wa lugha za picha kazi kwenu
Naunga mkono ojaTasfiri yangu ni hii...
1/Daraja la kisiasa limejengwa kuruhusu wanasiasa kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine baina ya CCM na CHADEMA.
2/Mwelekeo wa hilo daraja unaonyesha kuna wepesi(Mteremko) zaidi kutoka CCM kwenda CHADEMA.
3/Mwelekeo wa daraja unaonyesha Uko imara zaidi kwenye kingo za upande wa CHADEMA kuliko upande wa CCM(Ukijenga picha kubwa kuwa ni salama zaidi kisiasa kuhamia CHADEMA ukitokea CCM kuliko kutoka CHADEMA kwenda CCM.
4/Mlingoti wa bendera wa CCM unaonekana umelegea, kuchoka na kuinama kiasi cha kutaka kuanguka, wakati wa CHADEMA uko imara zaidi. (Hii inatoa tafsiri kuwa, CHADEMA ina uungwaji mkono zaidi kijamii kuliko CCM au Kisiasa CHADEMA ndani wako imara zaidi kuliko CCM).
daraja upande waccm linaweza kukatika anytime. Huyu jamaa atakuwa chadema huyu... sio kwa upendeleo huo katika lughapicha zake.Licha ya kwamba katikati ya hizo kambi mbili kuna daraja kuonyesha ni kuwa ni ruksa kuhamia upande wa pili, hebu angalia mchoro ulivyochorwa upande wa CCM uko juu (mwinuko) wa CHADEMA uko chini (bondeni). Inawezekana ni lugha inayoonyesha kuwa ni rahisi kushuka bondeni kuliko kupanda mlimani na kuna vingi vitakavyo teremka bondeni.
hahahahaUkiangalia kwa umakini upande wa chadema hauna surface ya kutosha, means wanaokuja huko wanabanana sana na pia nafasi ndogo inareflect ufinyu wa kufikiri. Daraja ni kivuko cha wanaotoka kwenye upeo mkubwa kwenda kwa wenye upeo na fikra ndogo.
Angalia upande wa ccm daraja lipo ukingoni kwa maana si salama kuvuka kwenda huko hivyo nibora kuvuka mapema maana mda wowote litabomokaView attachment 622903
wataalam wa lugha za picha kazi kwenu
Fikra za kijahiliUkiangalia kwa umakini upande wa chadema hauna surface ya kutosha, means wanaokuja huko wanabanana sana na pia nafasi ndogo inareflect ufinyu wa kufikiri. Daraja ni kivuko cha wanaotoka kwenye upeo mkubwa kwenda kwa wenye upeo na fikra ndogo.
Ila ukiangalia vizuri daraja linaonyesha ccm wanashuka darajani na chadema wanapandaRuksa kuvukia upande wowote wa vyama hivi viwili
Ila ukiangalia vizuri daraja linaonyesha ccm wanashuka darajani na chadema wanapanda
Sasa sijui lina maana gani hili