Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Angalia kibonzo cha Masoud Kipanya akisema hili la madini tulipewa lugha ya matumaini.

Kwa nini watu wanabeza haya mazungumzo ya madini, ina maana tulidanganywa?
 
Hapo wachache watakaojua kuwa pale watu walikuwa wanasaka uungwaji mkono wa chama chao na wananchi.
Hakuna cha $300m wala nini labda hii ya kuunda kampuni mbadala wa ACACIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…