Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Haji Manara kaamua kama kawaida yake anapotetea Yanga au GSM na Hersi Said ataangamiza chochote mbele yake hata kama ni baba yake Mzee Sunday.
Kwake mlo na sifa ndio muhimu. Muingiliano wa sauti ambao anarusha kwenye mitandao ni kama kuiponda credibility ya CLOUDS MEDIA na mmiliki wake Kusaga.
Pamoja na madhaifu ya Clouds kama Clouds lakini mjinga mmoja hawezi kuharibu kituo chenye idadi kubwa ya ajira kwa uchawa wake kwa wahindi au waarabu ili aishi Masaki.
Kwa vile incharge wa show ile alikuwa Masoud Kipanya na mwenzake Ciza basi watoke mara moja kutoa ufafanuzi kuweka mambo sawa.
Kwake mlo na sifa ndio muhimu. Muingiliano wa sauti ambao anarusha kwenye mitandao ni kama kuiponda credibility ya CLOUDS MEDIA na mmiliki wake Kusaga.
Pamoja na madhaifu ya Clouds kama Clouds lakini mjinga mmoja hawezi kuharibu kituo chenye idadi kubwa ya ajira kwa uchawa wake kwa wahindi au waarabu ili aishi Masaki.
Kwa vile incharge wa show ile alikuwa Masoud Kipanya na mwenzake Ciza basi watoke mara moja kutoa ufafanuzi kuweka mambo sawa.