johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,804
Katibu mkuu wa CCM komredi Chongollo ametembelea Kiwanda cha kisasa cha kutengeneza magari kinachomilikiwa na mwekezaji wa kitanzania mh Masoud Kipanya.
Kiwanda cha Kipanya kinatengeneza magari ya kisasa yanatembea kwa kutumia nguvu ya umeme wa betri maalumu.
Komredi Chongollo amefurahishwa sana na ubunifu wa Kipanya na ameahidi kumsaidia ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya CCM wa kuinua vipaji na kuongeza ajira.
Kipanya ambaye ndiye Mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo pekee ya magari ya kisasa nchini amemshukuru sana KM Chongollo na kusema anaamini ziara hiyo ina baraka za mwenyekiti wa CCM.
Source: ITV habari
Kiwanda cha Kipanya kinatengeneza magari ya kisasa yanatembea kwa kutumia nguvu ya umeme wa betri maalumu.
Komredi Chongollo amefurahishwa sana na ubunifu wa Kipanya na ameahidi kumsaidia ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya CCM wa kuinua vipaji na kuongeza ajira.
Kipanya ambaye ndiye Mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo pekee ya magari ya kisasa nchini amemshukuru sana KM Chongollo na kusema anaamini ziara hiyo ina baraka za mwenyekiti wa CCM.
Source: ITV habari