Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Katuni bora ya mwaka; jamaa anaongea uharo halafu anauliza kama ameeleweka
Iko siku mtamkataa na vijembe vyakeDaaah kipanya ni hatari sana...
Ni simpo sana , ukiangalia kwa juu , mstari ule unaonyesha dhahiri watekaji walikuwa wamejikita Kawe , walipoona watavamiwa wakaanza kukimbia kwa mtindo wa Zigzaga Mrenda , hatimaye wakaamua kumtupa MO gymkhana .Kweli aisee,hii imeeleweka mwanachi ambaye hajamwelewa analitukana jeshi
Ile SisiTv iliyofuatilia watekaji kutoka osterbay mpaka keep left ya Kawe haionekani vizuri. Ipo hapohapo katikatiNi simpo sana , ukiangalia kwa juu , mstari ule unaonyesha dhahiri watekaji walikuwa wamejikita Kawe , walipoona watavamiwa wakaanza kukimbia kwa mtindo wa Zigzaga Mrenda , hatimaye wakaamua kumtupa MO gymkhana .
Hahahaha, Nimecheka saana aisee
Wakina nani hao watamkataa ??Iko siku mtamkataa na vijembe vyake