Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
Hapa wanapost ke au me? kwani na mtoa mada ni ke?
Nimejiuliza sana hili swali kama ni ME nina wasiwasi if he's straightMleta mada ni me au ke?
Chicha mwiba hilo.Nimejiuliza sana hili swali kama ni ME nina wasiwasi if he's straight
NaniUna matatizo ya kijinsia wewe sio bure.
Chicha mwiba hilo.
Njemba haizeeki
Huyu mbona katili big jamani!!!
View attachment 1911698View attachment 1911703🤣😂😅Hapo kwenye wanaume mod watabadilisha wataweka wanawake.Maana kwenye uzi wetu kule wamesha fanya yao
Umeona eenhh??!!!.Bila shaka ndo waleee wa Kwa tope la kwa mpalange.Maana ni aibu kwa Mwanaume kusema Mwanaume mwenzake ana mvuto.Nilirudi kwenda kuangalia id yake kuna hisia zinanishawishi mwamba ni me.
Kuna kitatizo kidoooogo sehemu,au linaweza kuwa lishakuwa tatizo kubwa pia.
Unataka kufanya nini??.Unamzimia njemba mwenzio?
Unapatikana wapi yakhe nikuletee picha yangu mimi nashindwa kui upload.
Yaani ata starehe ndogo ndogo nazo tunanyimwa. Uzi ule wa warembo ndio wengine tukitoswa na mademu au kutokujibiwa sms tunakuja jipozea hapo. Sasa itakuwaje jameniiiii😭😭😭😭😭View attachment 1911698View attachment 1911703🤣😂😅Hapo kwenye wanaume mod watabadilisha wataweka wanawake.Maana kwenye uzi wetu kule wamesha fanya yao
😋😋😋Waaaoooh