Special thread: Missing someone with special memories in your life

Daah kuna mwanamke nilimuumiza sana, na bado ananipenda sana ninamkumbuka sana ila ninajijua nitamuumiza tena hivyo nimeamua kukaa mbali naye aishi maisha yake, apate furaha. Alijaribu kujiua once, kwa sababu yangu ndio sabqbu inayonipa mashaka hata kuwa naye karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom