Special Thread: Merry Christmas & Happy New Year 2017 Wishes!!

Special Thread: Merry Christmas & Happy New Year 2017 Wishes!!

Bila upendeleo niwatakie woote heri ya maandalizi ya siku kuu ya Christmas na Mwaka mpya, Mungu akijaalia tuuanze tena mwaka salama.

Nawapenda wote!!!!
Asante nawe pia,be blessed.
 
Bila upendeleo niwatakie heri ya Christmass na mwaka mpya wanajamii forum wote love you all,special thanks and wishes goes to sports Forum mnanifanya nafurahi muda wote.
Merry Christmas and Happy New Year 2017.
 
Mie nakusalimu tu maana ni mda mrefu sijakutia machoni
Asante sana wifi yangu,unajua tena wifi akikohoa duh amani inakuwa hamna si inajua tena ndo mume!!!...... hahahha kweli kipande hii nimepotea sana,jukwaa siku hizi halina yale mambo yaliyojaa vina na mizani....ila ukija kule sports hunikosi wifi yangu kule nimejaa tele.
 
Asante sana wifi yangu,unajua tena wifi akikohoa duh amani inakuwa hamna si inajua tena ndo mume!!!...... hahahha kweli kipande hii nimepotea sana,jukwaa siku hizi halina yale mambo yaliyojaa vina na mizani....ila ukija kule sports hunikosi wifi yangu kule nimejaa tele.
Baada ya kuondoka utafiti yani nimepoteza kabisa appetite yakuja huko.Maana alivyoondoka yeye BAK nae akanichunia so nimekosa friend wakuwa naenda nae michezoni.....
 
aiseee i miss mambo haya enzi zile .... Excel umepotea sana pls nipe kawimbo ka little drummer boy
nimepotea tangia nimkute Mokoyo mazingira fulani...nikaanza kuisoma no
wishers nying kwako na mkeo shansarie Ntakuja sikukuu kuwatembelea ha ha ha ila nataka kadi
team bazazi mpo? kama imepotea now days mwekundu , baba paroko Asprin, msaidizi wa paroko umepotea sana Kaizer ivi Mentor siku hizi ukitoa story mbona hunitag tena au nimetumbuliwa ha ha
jaman miss chagga ,Khantwe , Dinazarde my wii na warumi binamu , Miss Neddy ,atoto sikukuu hii mjiandae kwa out
Valentina na mumeo yule mwakani mfunge ndoa .......
Tized nimemiss kukuona jukwaani.. Kibajajitz salamu nying zikufikie .ivi Rocky ,Rich Pol, Mndengereko mgiriki MMU imekuwa ngumu kwenu au??

all jf members n friends receive my wishes for xmass n new years wishes!!!!!!the coming year
that will reward all your future aspirations with overwhelming succes.
ICHANA amehamia wapi siku hizi?
 
Back
Top Bottom