aiseee i miss mambo haya enzi zile ....
Excel umepotea sana pls nipe kawimbo ka
little drummer boy
nimepotea tangia nimkute
Mokoyo mazingira fulani...nikaanza kuisoma no
wishers nying kwako na mkeo
shansarie Ntakuja sikukuu kuwatembelea ha ha ha ila nataka kadi
team bazazi mpo? kama imepotea now days
mwekundu , baba paroko
Asprin, msaidizi wa paroko umepotea sana
Kaizer ivi
Mentor siku hizi ukitoa story mbona hunitag tena au nimetumbuliwa ha ha
jaman
miss chagga ,
Khantwe ,
Dinazarde my wii na
warumi binamu ,
Miss Neddy ,
atoto sikukuu hii mjiandae kwa out
Valentina na mumeo yule mwakani mfunge ndoa .......
Tized nimemiss kukuona jukwaani..
Kibajajitz salamu nying zikufikie .ivi
Rocky ,
Rich Pol,
Mndengereko mgiriki MMU imekuwa ngumu kwenu au??
all jf members n friends receive my wishes for xmass n new years wishes!!!!!!the coming year
that will reward all your future aspirations with overwhelming succes.