Special Thread: Merry Christmas & Happy New Year 2017 Wishes!!

Special Thread: Merry Christmas & Happy New Year 2017 Wishes!!

Hivi King'asti anaweza kuwa hai?
Pamoja naye, namtakia Merry Christmas Karucee na kashinde...

Ntuzu na wasukuma wengine wote.
Mhhhhh kwa kweli hata mie najiuliza
Hata kama analinda ndoa, ndo mpaka hatumuoni popote!

Wakija uwape na salamu zangu
Screenshot_2016-12-10-12-10-24-1.png
 
Asante! nina shida moja kubwa inayonifanya nisiweze kuchepuka.
shansarie kafunga kifaa changu muhimu, na code anazo yeye tu!
Aiseee.....kwani hawa mafundi welding hawawezi toa lock?
Umenikumbusha Kenya, jamaa kamtengenezea mkewe kufuli la bati, hahahha
 
Hahahhaha......nimejiunga kanisa la ufufuo na Uzima
Mashavu yakichuma kunde, hamna jinsi mwenzangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah nimecheka Kwa hiyo shetani akizeeka anakua malaika
 
Aiseee.....kwani hawa mafundi welding hawawezi toa lock?
Umenikumbusha Kenya, jamaa kamtengenezea mkewe kufuli la bati, hahahha
Tatizo anabadili code kila baada ya saa kadhaa
 
X-mass= merry chrismass( giving power to the spirit of Antichrist). So this day is never and will never be good!!! We are celebrating the climax day of ancient paganic roman! The Xmass and many other rituals celebrated during ceaser/emperor days were incorporated in the church to attract more traditional and paganic roman into the church so that they feel at home!! During that time, people will get drunk, torture and chase prisoners while their stomach are fully fed, fornicate, watch people fighting in the lion arena to death!
 
Back
Top Bottom