Special Thread: Merry Christmas & Happy New Year 2017 Wishes!!

Special Thread: Merry Christmas & Happy New Year 2017 Wishes!!

Nami pia nichukue fursa hii kuwatakia kher ya x mass na mwaka mpya Allah atupe akarimu pamoja na kutuwepesishia mipango yetu iwe thabit na pia kuwaondolea maradhi wenye matatizo mbalimbali walionayo ili nao tufarijike nao pamoja kwa kher zako
 
shansarie my wife
Valentina and ur husband
angelita...
kabanga
Arushaone...
Jimena
Heaven on Earth...
Mentor and ur wife
Mr Rocky
MMAHE
Khantwe and ur old babu...
atoto and ur husbands
cute b
mamaafacebook II
Mzee Asprin na wake zako
In this loveliest and happiest of seasons , may you find many reasons to celebrate . Have a wonderful Christmas !
[emoji23] [emoji23] [emoji23] old babu wa wapi tena mi simjuii niko singo kabisa na sijawahi kuwa na mtu kama huyo
 
Kuna mtu nimesahau hata kumcopy naomba anisamehe madam niffa Allah akubarik sana ki ukwel wew ni mmojawapo mtu muhimu xana! nakutakia kila la kher mungu na mafanikio tere pamoja na mshana! nyie ni zaif ya darasa pamoja na wengine wote
 
Mkuu kiwatengu... Nashukuru sana kwa salamu zako za heri.

Mimi na familia yangu pia tunakutakia wewe na familia yako na wapendwa wako wote kwa ujumla heri ya Noeli na baraka tele kwa mwaka mpya 2017.

Niko bize namwaga oil kwenye mStout wangu tayari kuanza safari ya kuelekea migombani kuhiji.
Karibu sana mkuu.
 
Kuna mtu nimesahau hata kumcopy naomba anisamehe madam niffa Allah akubarik sana ki ukwel wew ni mmojawapo mtu muhimu xana! nakutakia kila la kher mungu na mafanikio tere pamoja na mshana! nyie ni zaif ya darasa pamoja na wengine wote
Nifah siyo madame ni binti mchanga...
 
Back
Top Bottom