Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,919
- 183,334
Nataka.We hutaki kuolewa!?
Nataka.We hutaki kuolewa!?
On behalf of me too.thanks! on behalf of myself and my fellow Jf team members.
Amen, barikiwa mpendwa.Asante,Tumuombe Mungu azidi kututetea zaidi tuumalize vyema mwaka.Sala yangu ni hii:
Mungu atutimizie haja za mioyo yetu,wenye kutaka watoto Mungu awasaidie mwaka ujao mwezi kama huu wanyonyeshe.Wenye kutafuta waume/wake mwakani Mungu awape wenza wema.Wenye kutaka kujenga basi mwakani waanze huo ujenzi.Mungu azibariki kazi za mikono yetu.Upendo utawale tusameheane kabla mwaka huu haujaisha.
[emoji33] [emoji33] [emoji33]Naanzaje kukukana kwamfano!!!
Angalia wewe usije ukatumbuliwa kwa reply yako hiyo hahahahaha.....On behalf of me too.
Nafurahi kusikia kuwa unanijalia na tupo pamoja ktk shida na raha hasa kipindi hiki cha serikali ya viwanda.Naanzaje kukukana kwamfano!!!
Hakuna tatizo mpendwa, na tutavijenga pamoja[emoji8]Nafurahi kusikia kuwa unanijalia na tupo pamoja ktk shida na raha hasa kipindi hiki cha serikali ya viwanda.
Haujambo mwanangu kipenzi.[emoji33] [emoji33] [emoji33]
Sijambo mama angu. Hivi mpaka sasa hivi si utakuwa umebakisha 10% tu tehHaujambo mwanangu kipenzi.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Sijambo mama angu. Hivi mpaka sasa hivi si utakuwa umebakisha 10% tu teh
Kwenye ule uzi wa juzi kule juu, kasome vizuri 10% zako[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Takuchapa dota.
10% ya nini?
Uzi gani tena?Kwenye ule uzi wa juzi kule juu, kasome vizuri 10% zako
shansarie my wife
Valentina and ur husband
angelita...
kabanga
Arushaone...
Jimena
Heaven on Earth...
Mentor and ur wife
Mr Rocky
MMAHE
Khantwe and ur old babu...
atoto and ur husbands
cute b
mamaafacebook II
Mzee Asprin na wake zako
In this loveliest and happiest of seasons , may you find many reasons to celebrate . Have a wonderful Christmas !
shansarie my wife
Valentina and ur husband
angelita...
kabanga
Arushaone...
Jimena
Heaven on Earth...
Mentor and ur wife
Mr Rocky
MMAHE
Khantwe and ur old babu...
atoto and ur husbands
cute b
mamaafacebook II
Mzee Asprin na wake zako
In this loveliest and happiest of seasons , may you find many reasons to celebrate . Have a wonderful Christmas !
shansarie my wife
Valentina and ur husband
angelita...
kabanga
Arushaone...
Jimena
Heaven on Earth...
Mentor and ur wife
Mr Rocky
MMAHE
Khantwe and ur old babu...
atoto and ur husbands
cute b
mamaafacebook II
Mzee Asprin na wake zako
In this loveliest and happiest of seasons , may you find many reasons to celebrate . Have a wonderful Christmas !
Wa "nafsi"Uzi gani tena?
Hivi mkeo humu ninani vile babu?Mkuu kiwatengu... Nashukuru sana kwa salamu zako za heri.
Mimi na familia yangu pia tunakutakia wewe na familia yako na wapendwa wako wote kwa ujumla heri ya Noeli na baraka tele kwa mwaka mpya 2017.
Niko bize namwaga oil kwenye mStout wangu tayari kuanza safari ya kuelekea migombani kuhiji.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wa "nafsi"
Ah ah ah au sasa hivi zimebaki 0.1% teh[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yaani nimecheka! Akuu unitue.
Yaani Mungu anisaidie tu, hapana bwana, zimebaki 90%. Hizo 10% ndio inabidi namna ihusike.Ah ah ah au sasa hivi zimebaki 0.1% teh