Special Thread: Merry Christmas & Happy New Year 2017 Wishes!!

Special Thread: Merry Christmas & Happy New Year 2017 Wishes!!

Asante,Tumuombe Mungu azidi kututetea zaidi tuumalize vyema mwaka.Sala yangu ni hii:
Mungu atutimizie haja za mioyo yetu,wenye kutaka watoto Mungu awasaidie mwaka ujao mwezi kama huu wanyonyeshe.Wenye kutafuta waume/wake mwakani Mungu awape wenza wema.Wenye kutaka kujenga basi mwakani waanze huo ujenzi.Mungu azibariki kazi za mikono yetu.Upendo utawale tusameheane kabla mwaka huu haujaisha.
Amen, barikiwa mpendwa.
 
shansarie my wife
Valentina and ur husband
angelita...
kabanga
Arushaone...
Jimena
Heaven on Earth...
Mentor and ur wife
Mr Rocky
MMAHE
Khantwe and ur old babu...
atoto and ur husbands
cute b
mamaafacebook II
Mzee Asprin na wake zako
In this loveliest and happiest of seasons , may you find many reasons to celebrate . Have a wonderful Christmas !
shansarie my wife
Valentina and ur husband
angelita...
kabanga
Arushaone...
Jimena
Heaven on Earth...
Mentor and ur wife
Mr Rocky
MMAHE
Khantwe and ur old babu...
atoto and ur husbands
cute b
mamaafacebook II
Mzee Asprin na wake zako
In this loveliest and happiest of seasons , may you find many reasons to celebrate . Have a wonderful Christmas !
shansarie my wife
Valentina and ur husband
angelita...
kabanga
Arushaone...
Jimena
Heaven on Earth...
Mentor and ur wife
Mr Rocky
MMAHE
Khantwe and ur old babu...
atoto and ur husbands
cute b
mamaafacebook II
Mzee Asprin na wake zako
In this loveliest and happiest of seasons , may you find many reasons to celebrate . Have a wonderful Christmas !

Mkuu kiwatengu... Nashukuru sana kwa salamu zako za heri.

Mimi na familia yangu pia tunakutakia wewe na familia yako na wapendwa wako wote kwa ujumla heri ya Noeli na baraka tele kwa mwaka mpya 2017.

Niko bize namwaga oil kwenye mStout wangu tayari kuanza safari ya kuelekea migombani kuhiji.
 
Mkuu kiwatengu... Nashukuru sana kwa salamu zako za heri.

Mimi na familia yangu pia tunakutakia wewe na familia yako na wapendwa wako wote kwa ujumla heri ya Noeli na baraka tele kwa mwaka mpya 2017.

Niko bize namwaga oil kwenye mStout wangu tayari kuanza safari ya kuelekea migombani kuhiji.
Hivi mkeo humu ninani vile babu?
 
Back
Top Bottom