Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,153
- 124,770
Hahaa ungekuwa na reference wala usingeniuliza ungeweka tu. Hii inaonesha lengo lako ni kunitishaWhaaat....
Niweke reference hapa?
Hahaa ungekuwa na reference wala usingeniuliza ungeweka tu. Hii inaonesha lengo lako ni kunitishaWhaaat....
Niweke reference hapa?
NA WEWE PIA BESTITO NIMEKUMISS KWELISalamu kwenu Marafiki.
Tunaelekea kuutimiza na kuumaliza mwaka 2016, Mungu ametuwezesha kuufikia tena msimu huu wa sikukuu...
Ni jambo zuri sana kutakiana tena heri msimu huu wa sikukuu na kupongezana kwa ujumbe mbalimbali na kufarijiana pia.
Karibuni sana.
May the melody and spirit of the holidays fill your home with love and peace .
I wish you all the best and happy New Year 2017...
View attachment 444554
View attachment 444555
INA MAANA MM SIMO KWENYE LIST BESTITO AISEE VIBAYA HIVYO NDO UMENISAHAU MAZIMAMAZIMA HAYAshansarie my wife
Valentina and ur husband
angelita...
kabanga
Arushaone...
Jimena
Heaven on Earth...
Mentor and ur wife
Mr Rocky
MMAHE
Khantwe and ur old babu...
atoto and ur husbands
cute b
mamaafacebook II
Mzee Asprin na wake zako
In this loveliest and happiest of seasons , may you find many reasons to celebrate . Have a wonderful Christmas !
WATU WANAOTOA SALAMU KINAFIKI UTAWAJUA TU HAYA CHRISTMASS NJEMA NAWE PIA TUMEKUSAMEHEMerry Christmas to all my lovely friends, minsamehe kwa wote niliowakwaza Kwa namna moja au nyingine nami kwa roho safi nimewasameh e wote.
merry Christmas ladyfurahiaINA MAANA MM SIMO KWENYE LIST BESTITO AISEE VIBAYA HIVYO NDO UMENISAHAU MAZIMAMAZIMA HAYA
Haswaaahivi wewe ni Khantwe kweli?
Merry Christmas mkuu.Thank you sky eclat
I'm privileged to get warm [emoji319] wishes from you
Thank you
I always refer to this as the masterpiece of Christmas songs.Miaka ya nyuma ukisikia Jim Reeves anapigwa redioni unajua tayari Xmass, yaani ndio alikuwa alama hasa ya Xmass, siku hizi anaanza kupotea kidogo kwa sababu ya wingi wa waimbaji wa nyimbo za xmass
Jamaa alikuwa na sauti sana
Asante, japo umesahau kumtakia heri hiyo mpenz wangu Smart911.
Basi Kasie mie na Smart911 tunawatakia wana MMU wote heri ya sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya 2017.