PostGE2025 Special Thread: Kauli Tata za Rais Samia katika hotuba zake

PostGE2025 Special Thread: Kauli Tata za Rais Samia katika hotuba zake

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Hana mume ana mwenza (ex husband),aliolewa ndoa ya wake wengi akaachika
Baba Wanu anaishi na wake zake wengine
Ina maana ya juma nature haikukaa pia
images (43).jpeg
 
Kaeni mzungumze vijana wetu wasitumike walivyotumika, unaporudi leo mzee kulia kijana wako kaumizwa mguu, kijana wako kwa bahati mbaya alikufa, ulishindwa nini kumzuia asitoke? ulishindwa nini kumwambia maneno ya hekima asiende?"

Rais Samia akizungumza na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam Desemba 02, 2025.
 
Back
Top Bottom