ITM Tanzania Ltd
Member
- Feb 1, 2021
- 82
- 21
- Thread starter
- #41
Well said ndugu!Good!.
You should sound to hire the fresh graduates. With no any experience.
I've gone through all your advertisements and no one requires an applicant with a less experience.
Sisi tuna kazi, msitushawishi. Wapeni kazi waliopo mtaani..
Funguka man uwaokoe na wengine, nini hasa kilitokea?Hawa ni matapeli.Kuweni makini! Yamenikuta!
Kama siyo personal issues weka public ili uwasaidie wengine,ili na aliyetuhumiwa aweze ku-respond publicly na wengine waweze kujua what's going on-otherwise utabaki kuchukuliwa kama uzushiHawa ni matapeli.Kuweni makini! Yamenikuta!
Habari stephen4440Hawa ni matapeli kuweni makini
Mkuu Nzige MweusiAcheni utapeli mnatangaza nafasi za kazi ambazo hazipo alafu mnaomba kutumiwa hela.Matapeli nyie rudisheni pesa yangu!
Ahsante kwa mchango wako Mkuu Akili Unazo!Hii tuhuma ya utapel Ni nzito Sana mngeifafanulia na kuwaondoa wasiwasi wadau kuliko kumhitaji mdau kuonyesha vielelzo humu otherwise angalieni integrity ya Wadanyakazi wenu...